Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

nimeona wengi wanaopinga kujenga ndo wazee wa KATAA NDOA pia... shida nini wakuu? mzee mdukuzi hebu ongeza majina ya wanaopinga kujenga chini ya jina la Ray hata kama wapo hai... [emoji3]
KATAA NDOA.

NDOA NI UTAPELI.

AFYA YA AKILI NI MUHIMU SANA KATIKA MAISHA YAKO.

Kumbe mwisho wa yote ni kukosekana kwa chapaa tu daaah....[emoji2960][emoji28]
 
Vyeo vya jeshi kipindi hicho vilikosa heshima, Brigedia anashindwa kujenga nyumba, kipindi hicho viwanja goba, na Makongo wanapima kwa kurusha jiwe, linapotua ndio mpaka,


Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Hiyo list hapo hakuna aliyeacha kujenga kisa hana hela sema walijisahau tu,Mzee Nnauye angeweza kujenga sema alikuwa mtu wa bata sana
 
Kwa hizi nyumba mnazojenga watz hakuna Mtu anaweza kushindwa kujenga hata Kama unapata kipato Cha laki nne kwa mwezi.

Vyumba vinne na choo cha nje , Ni Nani ashindwe kujenga uchafu Kama huu!?

Mtu makini anayetaka kujenga nyumba ya kukaa Binadamu lazima ajipange Apate Kuanzia mil 400/300/500
Kama kawaida chezea mhaya wewe[emoji16][emoji16]
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

Itaendelea
Unafikiri nyumba ni Sawa na m.a.v.u.z....kila mtu awe nayo
 
Mmemsahau Jasiri Muongoza Njia Ruge, mshikaji alikufa akiwa amepanga kwenye apartment ya chumba kimoja na sebule. Msiba ulifanyika kwa baba yake Prof. Mutahaba

Alikuwa anasaidia mademu kujenga yeye hakuwa hata na kiosk
Sasa ruge ule mgorofa wao wa mikocheni alikuwa hana hata ya kujenga[emoji23][emoji23][emoji23]

Ile ghorofa tu unaweza tenganisha maapatment , ruge yuko njema!

Si unakumbuka hata ile interview yake alisema wazazi wake walikuwa wanamsisitiza ahamie kwenye huo mghorofa anazingua
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

Itaendelea
Steve Nyerere
Jemedari Said.
 
Back
Top Bottom