GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Feb 12, 2025 #1 Kwahiyo wana Yanga SC tumeamua kutumia 'Inshu' ya Chasambi ili Kuificha kwakujua kuwa Sisi Mashabiki ni hohe hahe?
Kwahiyo wana Yanga SC tumeamua kutumia 'Inshu' ya Chasambi ili Kuificha kwakujua kuwa Sisi Mashabiki ni hohe hahe?
Msingida JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,239 Reaction score 11,731 Feb 12, 2025 #2 Morocco ndio kwenye hela kwa sasa, wacha biashara ifanyike
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Feb 12, 2025 Thread starter #3 Msingida said: Morocco ndio kwenye hela kwa sasa, wacha biashara ifanyike Click to expand... Kwahiyo wanavyoificha hii Taarifa wanadhani / walidhani kuwa tunaojua Kuchimba Taarifa za Ndani na Siri hatutoipata?
Msingida said: Morocco ndio kwenye hela kwa sasa, wacha biashara ifanyike Click to expand... Kwahiyo wanavyoificha hii Taarifa wanadhani / walidhani kuwa tunaojua Kuchimba Taarifa za Ndani na Siri hatutoipata?
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 9,530 Reaction score 20,988 Feb 12, 2025 #4 Kipindi kile ulituambia Max ana mgomo wala hakua majeruhi baadae tukamouna uwanjani leo umekuja na jipya tupe mrejesho kwanza wa lile la kwanza kabla hatujatoa maoni kwenye hili
Kipindi kile ulituambia Max ana mgomo wala hakua majeruhi baadae tukamouna uwanjani leo umekuja na jipya tupe mrejesho kwanza wa lile la kwanza kabla hatujatoa maoni kwenye hili
KING MIDAS JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 8,589 Reaction score 16,936 Feb 12, 2025 #5 GENTAMYCINE said: Kwahiyo wana Yanga SC tumeamua kutumia 'Inshu' ya Chasambi ili Kuificha kwakujua kuwa Sisi Mashabiki ni hohe hahe? Click to expand... GENTAMYCINE kuanzia lini wewe ni Yanga team?
GENTAMYCINE said: Kwahiyo wana Yanga SC tumeamua kutumia 'Inshu' ya Chasambi ili Kuificha kwakujua kuwa Sisi Mashabiki ni hohe hahe? Click to expand... GENTAMYCINE kuanzia lini wewe ni Yanga team?
blackkodi Member Joined Aug 20, 2024 Posts 73 Reaction score 130 Feb 12, 2025 #6 Style anayondoka max ndo ile ile aliondoka makambo