Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Gavoo
 
Kuna element ya muhimu kwenye hii story umeiacha. Kwenye Source Music Awards Suge alipopanda kwenye stage na kusema "... Anybody who wants to be a star and not worry about the executive producer be all on the record, in the video, dancing. Come to Deathrow!" Tupac alikuwa ndio kwanza anakaribia kutoka jela na beef halikuwa serious.

Za chini ya kapeti zinasema kwamba baadaye kwenye after party ya Source Awards, Suge alimfuata Puffy na kumwambia "... I was just fucking with you nigga ..." Tatizo Puffy alimaindi kinoma.

Tarehe 23 September 1995 Suge na Puffy wakiwa entourages zao walihudhuria birthday bash ya producer Jermaine Dupri iliyofanyika Platinum Club, Atlanta. Ugomvi ukatokea kwenye parking ya magari kati ya makundi hayo mawili. Katika purukushani hizo mlinzi wa Puffy, Anthony "Wolf" Jones alichomoa bastola na kupiga risasi kadhaa ambazo baadhi zilimpata mshikaji wa Suge aliyeitwa Big Jake Robles, jamaa akadanja.

Kuanzia hapo uhasama ndio ukawa mkubwa sana. Vita ikakua toka Pac vs Biggie kwenda Bad Boy vs Deathrow kwenda East Coast vs West Coast.
 
Las Vegas ipo Nevada sio Texas, story yako haipo sawa kwa asilimia kubwa sana.
Yaani watu wanaongea pumba tupu humu. Eti Tupac aliuawa na Serikali. Really? Kwa impact gani aliyokuwa nayo kuitetemesha Serikali? You are giving him too much credit. Nataka mtu aniwekee kauli au lyrics au vitendo vya Tupac ambavyo viliitetemesha Serikali mpaka itake kumuua.
 
Pumba nyingine hii hapa. Vifo vya Tupac na Biggie ni state cases, FBI anahusikaje? Au hujui kazi za FBI? Polisi kwenye hizo states, LAPD na LVPD ndio wanapaswa kufanya upelelezi. Kujibu hoja yako kwa nini kesi hazijawa solved ni kwamba wahusika wote waliopaswa kutoa ushahidi walifuata street code, DON'T TALK TO THE POLICE. Sasa watu walioshuhudia hawataki kutoa ushirikiano unafikiri Polisi anafanya nini?
 
2pac kauliwa na Orlando Anderson, inafahamika from a street perspective, Biggie kauliwa na Suge Knight in retaliation. Wala sio code ngumu ku crack. Ila watu wasiojua sasaa.
 
Haujamalizia unajua umeishia katikati
 
2pac kauliwa na Orlando Anderson, inafahamika from a street perspective, Biggie kauliwa na Suge Knight in retaliation. Wala sio code ngumu ku crack. Ila watu wasiojua sasaa.
Kila mtu anajua kilichotokea. Tatizo ni kwamba ili mtu ashitakiwe na afungwe ni lazima kuwe na mashahidi. Sasa kama kila shahidi hataki kutoa ushahidi itakuwa kazi bure. Waendesha mashtaka hawawezi kupoteza muda wao kwa kesi ambazo wanajua hawatashinda.
 
Street code ni adui wa watu weusi marekani. Dumb thing.
 
Very possible serikali ilihusika kifo Cha Tupac wakijua Cha big kitafuata
 
Binafsi Naamini wengi wanaomzungumzia 2Pac na Biggie hapa walikuwa mashabiki wao kabla hata hawajauawa.
Mimi ni mmoja wapo mkuu. Ndio maana imekuwa rahisi kujua mengi kuhusu rapa huyo na mwenzake Big.
 
Ndo nasikia leo hii, mbna mpyaaa mweeeh
 
Huyo mwamba alikuwa anawachana kinomanoma kummqe,he feared no one
Anakwambia kinyume na Mungu, hakuna binadamu ambae anaweza kumfanya yeye amuogope hapa duniani.
Alimchana hadi baba yake mzazi, baada ya dingi kujaribu kumtafuta Pac ili watumie wote pesa zake, na wakati hakuhusika na malezi yake toka utotoni hadi ukubwani.
 
Shukran kwa kutuongezea madini mkuu. Naamini yale ambayo yalikuwa hayafahamiki sasa yamefahamika kupitia comment yako.
 
Mkuu uchangiaji wako umekuwa wenye faida kwenye uzi huu. Endelea kuleta faida watu wajifunze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…