Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Naona umekuja na ID nyingine ya ku quotes ile comment yako ya juu.

😂😂😂 wabongo bado tuna safari ndefu sana. Yani mtu anaamua kutumia ID mbili tofauti kwa sababu tu ya mambo madogo kama haya dah...

Vijana wengi wa kiafrika haswa wakibongo wamekuwa hawafahamu mifumo ya kibaguzi wa rangi inayotumiwa na vyombo vya usalama vya Marekani, na ndio maana haishangazi kuona polisi mzungu anauwa mtu mweusi kimya kimya na jumba bovu kudondoshewa gang au mtu mweusi mwenzake ili kupoteza ushahidi wa ukatili wao.

Hata hayo makundi unayosema ya gang members, mengi yanapewa silaha na hao hao polisi na vyombo vingine vya usalama ili wauwane wao kwa wao. Ila kama hauna uwezo au ujanja wa kufikiria nje ya box hauwezi kulijua na kulitambua hili zaidi ya kukariri ma puppet fulan wanaopewa pesa na hao hao wana usalama ili waje wapotoshe jamii na kupoteza ushahidi.

Nina imani kama isingekuwa mambo ya mitandao kupanuka duniani na watu kujua ukweli wa kile kinachoendelea katika dunia basi hata mauaji ya kina....
1) George Floyd
2) Daunte Wright
3) Andre Hill
4) Manuel Ellis
5) Breonna Taylor
..... na wengine wengi yangeonganishwa na matukio ya kihalifu. Kwamba mauaji yao yangeonekana yametokana na magenge fulani ya kihalifu kama yale yaliohusishwa na vifo vya kina 2pac nk. Lakini kwa vile dunia ya leo sio sawa na ile ya kina 2pac basi imekuwa ngumu wao (polisi) kujiweka mbali na mauaji hayo kama walivyozoea huko nyuma.
Weak logic, wack argument. Watu weusi marekani ifike mahali pia na wao wakubali madhaifu yao.
 
Huyo jamaa story zake ni zile conspiracy theories. It is well known shooter ni Orlando au mtu aliekuwa nao kwenye ile gari usiku ule kama tukiamua kutokumuanini Keefe D. 2Pac kafa sababu ya gang stuff, hakuna cha FBI wala nani. Ni ujinga ulimcost. Biggie kafa kama collateral.
Kwanza ile shooting ya Pac sio style ya FBI hata kdg. Ile ni style ya gang related shootouts hakuna jipya
 
Lete vitu kikubwa hapa ni 2pac wanaokupinga Hawa ni akina au wadau wa B.I.G.....
Kweli mkuu, inashangaza mtu anakimbilia kupinga bila kuwa na fact ya uhakika kuhusu kile wanachopinga.
Mtu anapinga hata ile picha ya gari inayoonesha aliposhambuliwa 2pac.

Yani jamaa wanachekesha sana 😂😂😂
 
Mtasema mengi sana ila 2Pac na B.I.G wapo chini futi 6
Marehemu hana haki, mama BIG anafukua magaburi tu atrend[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23]
 
Weak logic, wack argument. Watu weusi marekani ifike mahali pia na wao wakubali madhaifu yao.
Sikatai kwamba watu weusi ni dhaifu na hii sio kwa Marekani tu bali ni kwa dunia nzima. Ndio maana leo tunapewa tu silaha ili tuuwane wenyewe kwa wenyewe huko Congo, Mali, Sudan Kusini nk.

Na hii imeendelea kuwa hivyo hata kwa huko Marekani kwenyewe ambapo wazee wa vitengo wamekuwa wakiwatumia vijana weusi kwa malengo yao maalumu kama ya kuwapa silaha wauwane au wazee wenyewe waingie mzigoni kufanya jambo na jumba bovu kuwaangushia hao wenye magenge ili kupoteza ushahidi haraka na kuiaminisha dunia kwamba hakuna mkono wa serikali uliohusika.

Lakini hakuna marefu yasio na ncha. Sasa mambo yameanza kujulikana taratibu kupitia mauaji ya wazi yanayo rekodiwa na watu walio kwenye matukio. Ila kabla ya hapo hakuna aliekuwa anajua au kufahamu kwamba polisi walikuwa wanahusika na mauaji ya wamarekani weusi mbali mbali.
 
Kwanza ile shooting ya Pac sio style ya FBI hata kdg. Ile ni style ya gang related shootouts hakuna jipya
Soma vizuri utaelewa
Sikatai kwamba watu weusi ni dhaifu na hii sio kwa Marekani tu bali ni kwa dunia nzima. Ndio maana leo tunapewa tu silaha ili tuuwane wenyewe kwa wenyewe huko Congo, Mali, Sudan Kusini nk.

Na hii imeendelea kuwa hivyo hata kwa huko Marekani kwenyewe ambapo wazee wa vitengo wamekuwa wakiwatumia vijana weusi kwa malengo yao maalumu kama ya kuwapa silaha wauwane au wazee wenyewe waingie mzigoni kufanya jambo na jumba bovu kuwaangushia hao wenye magenge ili kupoteza ushahidi haraka na kuiaminisha dunia kwamba hakuna mkono wa serikali uliohusika.

Lakini hakuna marefu yasio na ncha. Sasa mambo yameanza kujulikana taratibu kupitia mauaji ya wazi yanayo rekodiwa na watu walio kwenye matukio. Ila kabla ya hapo hakuna aliekuwa anajua au kufahamu kwamba polisi walikuwa wanahusika na mauaji ya wamarekani weusi mbali mbali.
 
Kwani Hawa kina pac hawakua wajenzi huru ila ngozi nyeusi Ina laana Yani mzungu anakupa silaha na ulinzi umuue mweusi mwenzio una furahi na kutekeleza R.I.P Nipsey Hussle kina pac na madogo kina juice, take off,....... nk ..
 
Anyway kwa kufupisha tu wewe baki na matango pori yako uliyolishwa. Hakuna hata neno moja la maana uliloandika.
Wewe ni wale mnaosubiri mtu aandike jambo fulan afu mrukie fasta kujifanya mnakosoa bila kuonesha fact ya ukosoaji wenyewe.
Yani umeshagundua kuwa wewe binafsi hauwezi kuandika lolote likaeleweka hadi urukie kile alichoandika mungine kwa ku quote ndo uonekane kuwa na wewe ujua kila kitu na wakati unachoandika hakina mashiko yoyote kwa watu wenye akili.
Hata kama sina cha kuandika, ukiposti uongo lazima nikuanike. Nimekuwekea facts nyingi tu kwenye response zangu. Unless hujui maana ya facts.
 
Soma vizuri utaelewa
Mtu mweusi dhaifu labda ni wewe mwenyewe. Hakuna mahali ambapo watu hawauani duniani hapa na sio afrika tu. Kuna mahali watu wanauana kama Ukraine sasa hivi!? Au napo hapo ni watu weusi wamepewa silaha wauane!?

Unaandika madai mengi bila ushahidi hata kidogo. Hayo malengo ambayo watu wa vitengo wanawatumia watu weusi kuyatimiza ni yepi!? Mbn huyataji!? Ina maana huko kwenye vitengo hamna watu weusi!?

Pac shooting and even Big was too noisy if you know what I mean. And FBIs don't do noisy ever! Its not their style. Yaani kwenye mataa, mivurumisho ya risasi kibao ambazo zingeweza kuwadhuru na wasiohusika. Katika ya jiji la vegas raia kibao wanashuhudia. Hiyo ni move ya mtu ambaye hajawatrained kiassassin. 2pac hakua na ulinzi wowote wa maana zaidi ya kuambatana na wahuni tu wa deathrow muda wote, FBI wangemtaka ingekuwa clean and quick.

Kama unataka kutuaminisha hiyo theory yako utahitaji kufanya zaidi ya kurusha tuhuma na madai yasiyo na msingi wala ushahidi na coincidences ambazo zimetokana na kutokujua mpangilio wa matukio ya tukio zima vzr (za kutunga).
 
Kweli mkuu, inashangaza mtu anakimbilia kupinga bila kuwa na fact ya uhakika kuhusu kile wanachopinga.
Mtu anapinga hata ile picha ya gari inayoonesha aliposhambuliwa 2pac.

Yani jamaa wanachekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Tupac hakushambuliwa hapo iliposimama hiyo gari. Tafuta documentary ya Frank Alexander ambaye alikuwa bodyguard wa Tupac inaitwa Before I Wake. Ameelezea matukio yote ya siku hiyo. Acha kusikiliza maneno ya kijiweni, do your homework kabla hujaandika upotoshaji wako humu.
 
Mtu mweusi dhaifu labda ni wewe mwenyewe. Hakuna mahali ambapo watu hawauani duniani hapa na sio afrika tu. Kuna mahali watu wanauana kama Ukraine sasa hivi!? Au napo hapo ni watu weusi wamepewa silaha wauane!?

Unaandika madai mengi bila ushahidi hata kidogo. Hayo malengo ambayo watu wa vitengo wanawatumia watu weusi kuyatimiza ni yepi!? Mbn huyataji!? Ina maana huko kwenye vitengo hamna watu weusi!?

Pac shooting and even Big was too noisy if you know what I mean. And FBIs don't do noisy ever! Its not their style. Yaani kwenye mataa, mivurumisho ya risasi kibao ambazo zingeweza kuwadhuru na wasiohusika. Katika ya jiji la vegas raia kibao wanashuhudia. Hiyo ni move ya mtu ambaye hajawatrained kiassassin. 2pac hakua na ulinzi wowote wa maana zaidi ya kuambatana na wahuni tu wa deathrow muda wote, FBI wangemtaka ingekuwa clean and quick.

Kama unataka kutuaminisha hiyo theory yako utahitaji kufanya zaidi ya kurusha tuhuma na madai yasiyo na msingi wala ushahidi na coincidences ambazo zimetokana na kutokujua mpangilio wa matukio ya tukio zima vzr (za kutunga).
Mkuu kuna watu huwa wanapotosha sana humu. Wanaandika uongo. Ukiwasanua na kuwapa facts wanavimba kama unga wa ngano.
 
Tupac hakushambuliwa hapo iliposimama hiyo gari. Tafuta documentary ya Frank Alexander ambaye alikuwa bodyguard wa Tupac inaitwa Before I Wake. Ameelezea matukio yote ya siku hiyo. Acha kusikiliza maneno ya kijiweni, do your homework kabla hujaandika upotoshaji wako humu.
Lakini kuhusu maneno aliyojibiwa rais wa marekani baada ya kutaka kudhibiti ulimwengu wa muziki(2pac) ,nisahihi au hapana
 
Sijui ata unawaza nini. Ila una poor very poor logic.
Naona umekuja na ID nyingine ya ku quotes ile comment yako ya juu.

😂😂😂 wabongo bado tuna safari ndefu sana. Yani mtu anaamua kutumia ID mbili tofauti kwa sababu tu ya mambo madogo kama haya dah...

Vijana wengi wa kiafrika haswa wakibongo wamekuwa hawafahamu mifumo ya kibaguzi wa rangi inayotumiwa na vyombo vya usalama vya Marekani, na ndio maana haishangazi kuona polisi mzungu anauwa mtu mweusi kimya kimya na jumba bovu kudondoshewa gang au mtu mweusi mwenzake ili kupoteza ushahidi wa ukatili wao.

Hata hayo makundi unayosema ya gang members, mengi yanapewa silaha na hao hao polisi na vyombo vingine vya usalama ili wauwane wao kwa wao. Ila kama hauna uwezo au ujanja wa kufikiria nje ya box hauwezi kulijua na kulitambua hili zaidi ya kukariri ma puppet fulan wanaopewa pesa na hao hao wana usalama ili waje wapotoshe jamii na kupoteza ushahidi.

Nina imani kama isingekuwa mambo ya mitandao kupanuka duniani na watu kujua ukweli wa kile kinachoendelea katika dunia basi hata mauaji ya kina....
1) George Floyd
2) Daunte Wright
3) Andre Hill
4) Manuel Ellis
5) Breonna Taylor
..... na wengine wengi yangeonganishwa na matukio ya kihalifu. Kwamba mauaji yao yangeonekana yametokana na magenge fulani ya kihalifu kama yale yaliohusishwa na vifo vya kina 2pac nk. Lakini kwa vile dunia ya leo sio sawa na ile ya kina 2pac basi imekuwa ngumu wao (polisi) kujiweka mbali na mauaji hayo kama walivyozoea huko nyuma.
 
Naona umekuja na ID nyingine ya ku quotes ile comment yako ya juu.

[emoji23][emoji23][emoji23] wabongo bado tuna safari ndefu sana. Yani mtu anaamua kutumia ID mbili tofauti kwa sababu tu ya mambo madogo kama haya dah...

Vijana wengi wa kiafrika haswa wakibongo wamekuwa hawafahamu mifumo ya kibaguzi wa rangi inayotumiwa na vyombo vya usalama vya Marekani, na ndio maana haishangazi kuona polisi mzungu anauwa mtu mweusi kimya kimya na jumba bovu kudondoshewa gang au mtu mweusi mwenzake ili kupoteza ushahidi wa ukatili wao.

Hata hayo makundi unayosema ya gang members, mengi yanapewa silaha na hao hao polisi na vyombo vingine vya usalama ili wauwane wao kwa wao. Ila kama hauna uwezo au ujanja wa kufikiria nje ya box hauwezi kulijua na kulitambua hili zaidi ya kukariri ma puppet fulan wanaopewa pesa na hao hao wana usalama ili waje wapotoshe jamii na kupoteza ushahidi.

Nina imani kama isingekuwa mambo ya mitandao kupanuka duniani na watu kujua ukweli wa kile kinachoendelea katika dunia basi hata mauaji ya kina....
1) George Floyd
2) Daunte Wright
3) Andre Hill
4) Manuel Ellis
5) Breonna Taylor
..... na wengine wengi yangeonganishwa na matukio ya kihalifu. Kwamba mauaji yao yangeonekana yametokana na magenge fulani ya kihalifu kama yale yaliohusishwa na vifo vya kina 2pac nk. Lakini kwa vile dunia ya leo sio sawa na ile ya kina 2pac basi imekuwa ngumu wao (polisi) kujiweka mbali na mauaji hayo kama walivyozoea huko nyuma.
Sihitaji ID nyingine ku-debate na shallow minded kama wewe. Mpaka sasa hakuna response yoyote uliyoleta with facts. Umejaza bla bla tu. By the way kama kulikuwa hakuna mitandao mbona vifo vya Pac na Biggie tulisikia? Rodney King je? Najua utakuwa hata hujui stori yake. Dunia nzima ilisikia na hakukuwa na mitandao.
 
Tupac alikuwa na hasira baada ya kutokea ugomvi baina yake na BIG kuhusu utunzi wa wimbo fulani, alikwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kujisifu kuwa amelala na Faith Evans mke wa BIG.

BIG akaona isiwe shida ammalize tu. Kundi la Tupac likaamua nalo lilipize kisasi na vijana wawili wadogo wakaondoka kiurahisi sana.

Faith Evans akatoa wimbo mmoja mkali sana wa kumkumbuka BIG chini ya uongozi wa P Didy....
Kumbe wote wajinga tuu🤣🤣🤣 wameuana kisa mbususu🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom