P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

Ni sahihi Mkuu, lakini mbona matukio ni ya Wabongo tupu?
 
Nadhani mpaka uchunguzi ukamilike.
Sijajua
Wakati wa ule msako inasemekana alikuwa miami kwann hawa kumkamata hilo wanajua wao

Tatizo hapa tunachanganya mambo mawili. Kuna suala la kuwabandua vidume kama ndugu yetu na wenzake kule state hapo Bwana Ali Mbona hana kesi, hao walikubaliana na kwa state inaruhisika, Sasa hayo masuala ya kuwabandua watu hayana kesi kabisa kwa hiyo hayahitaji kusubiri mahakama.
Kesi alizonazo ni ku host peaties ambazo zina drags pamoja na shutuma za kuharibu watoto wadogo kwa maana under age, mana nasikia anakawaida ya kulea lea watoto wa kiume.
 
Kuchomoka kwenye hizo kesi kwa nchi za wenzetu hasa marekani ni ngumu sana.
 
Kwahyo diddy atakuwa alipiga threesome mondi na meneja. Duh! Wacha tusubirie hiyo connection maana lazima tu alirecord.
na lazima ivuje.
Mh anasema waliingia wakakuta mwamba ana mabaunsa wana vyuma kabisa,na mwenyeji wao swizz aliishia coridoni😁😁😁.


Yesu wangu,nini hiki kinanijia kichwani???shindwa pepoooo wa hisia mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…