P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

Mh anasema waliingia wakakuta mwamba ana mabaunsa wana vyuma kabisa,na mwenyeji wao swizz aliishia coridoni😁😁😁.


Yesu wangu,nini hiki kinanijia kichwani???shindwa pepoooo wa hisia mbaya.
Lazima vyuma vilisuguana. Moto uliwaka.
 
Refusing to answer a question yaweza tumika kutengeneza mystery zaidi ya watu kukufuatilia
 
Habari umeokoteza mtandaoni bila ushahidi wowote unauleta humu kupiga porojo....stupid wahed
 
Ukisoma maovu yake kwa umakini utaona kuwa hana tofauti kabisa na Mohammed, sema tu Diddy hana hulka ya kuoa wajane na vitoto vidogo kama Aisha.
 
Umekurupuka kuandika uzi wako, huyo producer anaitwa Rodney jones 'Lil Rod'

Meekmill ni msanii wa Hip hop wa marekani, edit uzi wako acha kuchafua watu
 
Ndio hivo hawa wasanii wana mengi sana, itabidi tuanze kutupia jicho kwa wasanii wote waliopewa collabo na Hawa wasanii wa nje isije kuwa viboga vilihusika 🀣🀣🀣
Hii hatari hii, tuwapime kwa kupiga tochi kwenye nya zao
 
Nadhani kwenye masuala ya kiroho Kinyeo kina nafasi yake ya kipekee! Tuwaulize wataalamu wa kiroho.

Wanaokula kinyeo ni vampire kwenye ulimwengu wa roho wanakuwa na nguvu na wanawanyonya nguvu watu wengine.
 
Tuna wasiwasi na Justin Bieber aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…