Mkuu snoop sio Blood Yule Ni Crip aka CwalkSnoop na Tupac gang wao ni west coast hasa California so ni bloods ,east coast watoto wa mjini Newyork ni hao akina Didy na magenge yao ndio crips
Hizi vita za magenge ya wahuni mitaani Marekani hasa bloods na crips Ndio zilozochochea hilo battle pia ,Maana batttle walipeleka mitaani kabisa
Huyu shababi anaazaje kupigwa Rungu?😂kwa TD Jakes mbona kama mnaleta utani
Mcenge Baridi 😂Anapiga na kupigwa hata hao aliokua anawachukua wengi wao dabo laini pia
Msomali kutokea wapi baba yake hana hata chembe ya usomali wala babu yake. Nenda katazame historia ya baba ake.hata kukosana na Mase pamoja na Black Lob sababu ni umafia wake,blood line ya kisomali ile aiachi asili.
Hahaaa ,mbona anapigwa pipe vizuri tu huyo ? ,Unaijua Marekani au unaisikiaHuyu shababi anaazaje kupigwa Rungu?[emoji23]View attachment 2948434
Tena usikute ana mme kabisaHuyu shababi anaazaje kupigwa Rungu?[emoji23]View attachment 2948434
Hahaaa ,mbona anapigwa pipe vizuri tu huyo ? ,Unaijua Marekani au unaisikia
black wengi US ni matokeo ya trade slave kutoka Africa.Msomali kutokea wapi baba yake hana hata chembe ya usomali wala babu yake. Nenda katazame historia ya baba ake.
Zile jela zao tu wamejazwa serial killers , wavuta madawa ya kulevya ,physchopaths ,mapedophiles wabakaji ,vibaka ,majambazi nkHahahahah nyokow
Meek Mill Kaliwa na Diddy nackiaUnataka kutuambia diddy kaishamla kisamvu cha kopo bwana jamie foxx [emoji848]
Mpaka mchungaji
Astaghafirullah.
Yan usher raymnd ninavyomkubali mwamba yule unaniambia nae kaliwa mkuu???? Dah [emoji24] kmmkeeeKaribu wote aliowa sign kwenye label yake alikuwa anawafira kama condition ya kuwa promote. Amemla Usher Raymond, Meek Mill, TD Jakes
Bill Gosby, R Kelly, P Diddy na wengine kibao still to comeMimi nadhani wazungu ni waongo hizi ni fabrication. Wamempoteza Jonathan majors hivihivi kwa ubaguzi wao.
Oya hd mzee wa Amani nae ana kashfa mkuu?Kuna mambo ni mazito sana Mkuu, kuna kashfa za Mahatma Ghandi aisee huwezi kuzania kabis ila ndio wanadamu tuna mambo mengi.
Dahh hii noma sana mkuu😁Ndio anavyowafanyia hivyo, unasizi kisha unapigwa mkuyenge 😂 halafu ukija kusanuka unakuta mmelala na mademu kibao kukuzuga 😂
Tupac inasemekana alivyoenda jela wahuni wakamteka wakambandua sema kinguvu sio kwa kutaka kama hao wengineStates kuna watu wamepinda kuliko maelezo na wanapigwa pipe vizuri
Kuna Series moja ya kitambo inahusu uharifu unaofanyika jela inaitwa OZZile jela zao tu wamejazwa serial killers , wavuta madawa ya kulevya ,physchopaths ,mapedophiles wabakaji ,vibaka ,majambazi nk
Unaenda kukutana na majitu ambayo hujawahi kudhani kama yana exist dunia hii .
Jela za Marekani penyewe mtoto wa mama anainamishwa kirahisi sana ,maana kuna washenzi mule wameshindikana.
Hawa wajinga wanasema snoop kaingiliwa,snoopy, Jamie foxx 50 cent wana uwezo wa kumzalisha p Diddy asubuhi tu.Diddy labda kama kafirwa na Snoop Dogg ila sio kinyume chake 😂