P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

Watangazaji pia wanaweza kuwa wanamfanya aegamie upande fulani ktk matumizi ya lugha iwe Kiingereza au Kiswahili kama mfano wa clip mbili nilizoweka, P-Funk na mtangazaji wa Bongo5 TV ni watu wana ''rapport / bond '' yaani mzuka wao ni wa aina moja. Na hakika hata angekuwa yupo studio za Mkasi TV pia itakuwa hivyo hivyo.
Huyo P funky kaanza kutumia sana kiswahili baada ya kujihusisha na bongo flava. Kabla ya hapo kiswahili kwake ni muda mfupi sana alikuwa anakitumia. He isnt pretending.
 
Habari zenu ndugu zangu napenda kujua historia ya huyu producer mkongwe hapa nchini nimeangalia interview zake mbalimbali nimevutiwa na uwezo wake wa kuelezea vitu pia huyu jamaa ana content Sana hababaishi.

Napenda kujua asili yake kwa sababu kwenye interview zake nyingi anaonekana kiswahili kumpa shida sana katika uzungumzaji wake kama sio mbwembwe.

Ukfatilia interview alofanya na dj Lil omy wa times FM utagundua nilichokisema

Hivyo basi nakaribisha michango yenu kwa anayejua historia ya pfunky majani
Mzawa na baba yake ni raia wa Netherland ila sheria ya tanzania inasema kwa wote waliozaliwa tanzania baba akiwa ni mgeni lazima wanapofika umri wa miaka 18 lazima waende mahakamani kukana uraia wa baba sasa nina uhakika hajafanya hivyo bado ni mboga au kitoweo cha uhamiaji.
 
Hapo hao wana tofauti gani na wewe unayekesha kutafuta Vocabulary ili uje ukomoe watu humu JF? Tena wakati mwingine una quote mtu aliyeandika Kiswahili safi kabisa na wewe kumwaga malugha yako..

Fisadi kuu hivi hicho kidoti kwenye avatar yako uwa ni sjida?
 
Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.

We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.

Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.

Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.

Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
Ni ushamba tu unaowasumbua,ebu waambie waende kwenye interview ya kingereza kitupu kama hawatambwela,ninachojiuliza ni je wakiwa nje wakihojiwa kwa kiingereza pia huwa wanachanganyaga na kiswahili??maana kwa hali yeyote kiswahii ndio lugha wanayoifahamu kwa ufasaha zaidi kuliko hicho kingereza
 
Yaani uishi na kina Kobe Bryant miaka 5 asubuhi upo nao jioni upo nao mchana upo nao..mazoezini kambini na kwenye mechi halafu eti ubaki tu kuongea kama kingwendu??..huo utakua sio tu ulofa ila utakua ufala..lazima ubebe swaga za mtoni..hao mnaowaona wanakaa mbele na wakirudi wanaongea kama senga ujue walikua wanajifungia tu vyumbani huko..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu umenivunja mbavu chaa cjui umewaza nn!
 
International School of Tanganyika. Ada Mil 15


Shule ya Sekondari Masela. Ada Bure (Kiingilio miguu yako).

Usikute kuna mtu analalamika kafelishwa hapo.
Dadeki!
 
Hapo hao wana tofauti gani na wewe unayekesha kutafuta Vocabulary ili uje ukomoe watu humu JF? Tena wakati mwingine una quote mtu aliyeandika Kiswahili safi kabisa na wewe kumwaga malugha yako..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Shkamoo Fisadi.
 
Yaani uishi na kina Kobe Bryant miaka 5 asubuhi upo nao jioni upo nao mchana upo nao..mazoezini kambini na kwenye mechi halafu eti ubaki tu kuongea kama kingwendu??..huo utakua sio tu ulofa ila utakua ufala..lazima ubebe swaga za mtoni..hao mnaowaona wanakaa mbele na wakirudi wanaongea kama senga ujue walikua wanajifungia tu vyumbani huko..

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila kingereza chenye swaga za mamtoni kitamu acheni tu.

Watu hawa wakiongea huwa sitamani waache The bold & Seven Mosha.
 
Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.

We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.

Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.

Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.

Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.


Mkuu hao wote uliowataja ni fake. Diamond na Hasheem Kiingereza wamjuwa hivi majuzi tu na mpaka leo bado hawakijuwi vizuri ila wanajifanya hawajuwi Kiswahili....Ukisikia utumwa wa kiakili ni huu. Hasheem mpaka leo akiwa Marekani anaogopa kuongea na wamarekani weusi kuogopa kuchekwa kwa ajili ya lafudhi yake kuwa ngumu na Domo ndiyo kabisaaaa, yaani bora aongee tu Kiganda.
 
Mkuu hao wote uliowataja ni fake. Diamond na Hasheem Kiingereza wamjuwa hivi majuzi tu na mpaka leo bado hawakijuwi vizuri ila wanajifanya hawajuwi Kiswahili....Ukisikia utumwa wa kiakili ni huu. Hasheem mpaka leo akiwa Marekani anaogopa kuongea na wamarekani weusi kuogopa kuchekwa kwa ajili ya lafudhi yake kuwa ngumu na Domo ndiyo kabisaaaa, yaani bora aongee tu Kiganda.

Basi noma sana...
 
Back
Top Bottom