Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bukoba na Chimbo alipojifichia Mshua sio MbaliCHADEMA watashangilia[emoji52][emoji25]
RipPadre wa kanisa katoliki wa jimbo la Bukoba ndugu Ireneus miaka 80 amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Mugana wilayani Misenyi amambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Awali padre huyo alikuwa chini ya usaidizi wa mashine y kupumua inayoambatanishwa na mfumo wa mvuke.
Askofu Kilaini amethibitisha kifo hicho
Ufipa imefika?Kwann hii pneumonia haifiki Chato.??
Padre wa kanisa katoliki wa jimbo la Bukoba ndugu Ireneus miaka 80 amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Mugana wilayani Misenyi amambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Awali padre huyo alikuwa chini ya usaidizi wa mashine y kupumua inayoambatanishwa na mfumo wa mvuke.
Askofu Kilaini amethibitisha kifo hicho
Kanisa likiendelea kuchekea ujinga maparoko wote watapukutikaPole kanisa katoliki kwa kumpoteza Padri Ireneus.
Bila shaka sasa tutumie neno 'changamoto ya upumuaji' badala ya lile jina baya la ugonjwa ambalo ukilisema unaonekana si mzalendo wa taifa lako.
Ndugu Ireneus nani? Miaka 80 alikuwa bado ni padre?Padre wa kanisa katoliki wa jimbo la Bukoba ndugu Ireneus miaka 80 amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Mugana wilayani Misenyi amambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Awali padre huyo alikuwa chini ya usaidizi wa mashine y kupumua inayoambatanishwa na mfumo wa mvuke.
Askofu Kilaini amethibitisha kifo hicho
R.I.P
Padre anazeeka na title yake hata akiwa marehemu bado ataitwa tu marehemu padre ....Ndugu Ireneus nani? Miaka 80 alikuwa bado ni padre?
R.I.P Padre lakin me nashangaa kwa baadhi ya watu kuunganisha matukio ya vifo na corona kila anayekufa now kila mtu ni corona hili jambo sio zuri na linaleta taharuki sanaPadre wa kanisa katoliki wa jimbo la Bukoba ndugu Ireneus miaka 80 amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Mugana wilayani Misenyi amambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Awali padre huyo alikuwa chini ya usaidizi wa mashine y kupumua inayoambatanishwa na mfumo wa mvuke.
Askofu Kilaini amethibitisha kifo hicho
Pole kanisa katoliki kwa kumpoteza Padri Ireneus.
Bila shaka sasa tutumie neno 'changamoto ya upumuaji' badala ya lile jina baya la ugonjwa ambalo ukilisema unaonekana si mzalendo wa taifa lako.
CHADEMA watashangilia😐😪
Corona ya Tanzania HAIAMBUKIZI?
muwe mnajiuliza Hilo swali kwanza mmgekuwa mmetumia akili zenu vizuri.
Mtu amelazwa ICU masiku na masiku.
Ulishawahi kuingia ICU au emergency ukakuta mgonjwa Hana hyo mashine ya kupumulia?
Kwa huu 'usiri' na nguvu kubwa inayotumia serikali kunyamazisha habari za korona,tuna sabbu ya kuhisi vinginevyo.Corona ya Tanzania HAIAMBUKIZI?
muwe mnajiuliza Hilo swali kwanza mmgekuwa mmetumia akili zenu vizuri.
Mtu amelazwa ICU masiku na masiku.
Ulishawahi kuingia ICU au emergency ukakuta mgonjwa Hana hyo mashine ya kupumulia?