Basi kuna tatizo na computer yangu labda au JF mitambo yao. Nime exprience hii kitu now it is a week or so!Mkuu hii kitu yangu ni mma kabisa latest version hata mwezi haijamaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kuna tatizo na computer yangu labda au JF mitambo yao. Nime exprience hii kitu now it is a week or so!Mkuu hii kitu yangu ni mma kabisa latest version hata mwezi haijamaliza.
R.I.P Padre lakin me nashangaa kwa baadhi ya watu kuunganisha matukio ya vifo na corona kila anayekufa now kila mtu ni corona hili jambo sio zuri na linaleta taharuki sana
basi kuna tatizo na computer yangu labda au JF mitambo yao. Nime exprience hii kitu now it is a week or so!
Kwa huu 'usiri' na nguvu kubwa inayotumia serikali kunyamazisha habari za korona,tuna sabbu ya kuhisi vinginevyo.
Tanzania siyo makazi ya Mungu! by Askofu Bagonza.
Kama ilivyo katika bandiko kama corona jina lina ukakasi, tumia hata "changamoto za kupumua" tu jombi.
Kwani si ukipenda chongo, si waweza ita hata ni kengeza tu?
Inaambukiza na watu wanaondoka kila uchao. Bado familia yako haijagongwa. Subiri igongwe ndio akili itakurudiaJobu swali kwanza .Corona ya Tanzania HAIAMBUKIZI?
Inaambukiza na watu wanaondoka kila uchao. Bado familia yako haijagongwa. Subiri igongwe ndio akili itakurudia
Tuache utani watu wanakufa sana.
Wewe una uwendawazimu.CHADEMA watashangilia[emoji52][emoji25]
Ninatudia tena, wewe kwa kuwa haijagonga endelea kukejeli na kuona watu hatuna akili. Kwa ujinga wako unataka tutaje majina ya marehemu humu JF?Subiri itakufikia tu. We endelea kuleta masiharaWako wapi waliombukizwa.?
fikiri Kama mtu mwenye akili timamu
Acha story za vijiweni humu.
Na ukizingatia kwamba marehemu alishakula chumvi nyingi (miaka 80 si haba!!!). Inawezekana muda wake wa kuishi ulishatimiaR.I.P Padre lakin me nashangaa kwa baadhi ya watu kuunganisha matukio ya vifo na corona kila anayekufa now kila mtu ni corona hili jambo sio zuri na linaleta taharuki sana
Ninatudia tena, wewe kwa kuwa haijagonga endelea kukejeli na kuona watu hatuna akili. Kwa ujinga wako unataka tutaje majina ya marehemu humu JF?Subiri itakufikia tu. We endelea kuleta masihara
Kwani huyu mtumishi wa Mungu naye amekufa kwa changamoto za kupumua?Vifo Vimeongezeka Sana yaani tangu mshikaji aseme madhabahuni kuwa hamna COVID19, Basi wanaokufa kwa ugonjwa wa mapafu wameongezeka
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA.. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
R.I.PFather Elineo kama tulivyozea kukuita, nitakukumbuka sana, hasa tulivyokuwa tukipiga Kilaji pamoja.Ni huzuni
Ni majonzi
Mpendwa wetu ametutoka akipatiwa matibabu Hospitali Mugana wilayani Misenyi
Mtumishi huyu wa Bwana amehitimisha safari yake ya Utume katika Parokia ya Mtakatifu Yohana Maria Muzeyi - Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba
Mwili wa Mwendazake huyo utapumzishwa Jumatatu kwenye makaburi maalumu ya Mapadre ya Rubya Bukoba.
Hebu ngoja kwanza, kwahiyo mlikua mnashushia na kitimoto sio?R.I.PFather Elineo kama tulivyozea kukuita, nitakukumbuka sana, hasa tulivyokuwa tukipiga Kilaji pamoja.