Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Kwani Mapadri hustaafu? Sijawahi kusikia hicho kitu.Ndugu Ireneus nani? Miaka 80 alikuwa bado ni padre?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Mapadri hustaafu? Sijawahi kusikia hicho kitu.Ndugu Ireneus nani? Miaka 80 alikuwa bado ni padre?
Apumzike kwa amaniBWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA.. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Kwa hiyo tuseme neumonia kusema corona ni dhambi sio?Kwahiyo huko nyuma watu walikuwa hawafi hadi saizi kila kifo iwe Corona?
Hata huku vifo vitafika wee subiri kidogo, hasa hao wanaopokezana mikeMpaka jana, Zimbabwe mawaziri 4 wamefariki na kuthibitishwa kuwa wamefariki kwa tatizo la Covid 19, huku wengine kadhaa wakiwa katika hali mbaya hospitalini.
Kati ya waliofariki hiyo juzi, mmoja ni Kabudi wao wa huko.
Peleka hukoo uchawi wako wa kijinga. Jifunze kutumia akili ya mdomo wako vizuri, sawa!???Hata huku vifo vitafika wee subiri kidogo, hasa hao wanaopokezana mike
Unakimbia kifo sio?? pole yakoPeleka hukoo uchawi wako wa kijinga. Jifunze kutumia akili ya mdomo wako vizuri, sawa!???
R.I.P Padre lakin me nashangaa kwa baadhi ya watu kuunganisha matukio ya vifo na corona kila anayekufa now kila mtu ni corona hili jambo sio zuri na linaleta taharuki sana