Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko sahihi huyo Padre, kwa sababu kauli zao hao viongozi zinathibitisha kuhusu suala hili.Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Wewe unasemaje katika hili?Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Niambie!
Naunga mkono hoja za padre. Viongozi wanapaswa kuwajibika kwa yanayoendelea na sio kuwatusi wapinzani.Wewe unasemaje katika hili?
Watafanywa kama walivyofanywa kule Congo na Tshisekedi,,,,,walijifanya kuingilia siasa za nchi ila mwisho wao kilichowakuta ni aibuSikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Kwani lazima wawajue hapo hapo si ndio maana unafanyika uchunguzi!!? Uchunguzi ndio utaleta majibu sahihi siyo propaganda za wanasiasa uchwara. Kumbuka Dr. Slaa alishasema Chadema huwa wanateka watu hata juzi Mbowe mwenyewe amesema anateka wanachama wake wasiowaaminifu kwa chama. Msikilize hapa kwenye video clip hapa chini.Yuko sahihi,kama hawajui basi hawafai kuwa pale maana waneshindwa kulinda raia wao
Ni ujinga kuwakatisha tamaa viongozi wa dini wanaohoji usalama wa wananchi. Vijana wa leo mnapata wapi akili hizi hafifu?Watafanywa kama walivyofanywa kule Congo na Tshisekedi,,,,,walijifanya kuingilia siasa za nchi ila mwisho wao kilichowakuta ni aibu
Kwani na yeye hajjui? Kuwa kuna Padre mwenzie Geita anahusika kuteka na kuua mtoto Albino na kumkatakata viungoSikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Kama wanatumika na mabeberu nao wembe ni ule ule,,,,DRC walishaonyesha njia na wakaufyata hizi zama sio za kuwaendekeza vibaraka wa wazunguNi ujinga kuwakatisha tamaa viongozi wa dini wanaohoji usalama wa wananchi. Vijana wa leo mnapata wapi akili hizi hafifu?
Padre aliyehusika kuteka mtoto albino kule Geita who must go?Padre yuko sahihi sana!
SAMIA MUST GO!
MUNGU MPE MAISHA MAREFU JAKAYA KIKWETE.