Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 657
- 1,540
Kwa hotuba ya jana Dunia imejua anaewatuma wauaji ni nani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nakuonea huruma sanaaa Kwa kukosa Akili timamu..Wakristo kwa chuki ndo zao,hapo matamko yatakuwa ni kila siku,chukueni time zenu.
Hatukuona miwaraka na kelele kama hizi,ajabu Leo mapambio yamekuwa mengi na kwaya,shida nini makafiri??Nani alikaa kimya? acha kujitoa ufahamu wewe sio mtoto
Wanafanya au amefanya??... Though bado mahakama haijathibitisha.Tena ni mbaya sana kuwa na wasomi wengi halafu wanafanya mambo ya kinyama kiasi hicho!!
OkHatukuona miwaraka na kelele kama hizi,ajabu Leo mapambio yamekuwa mengi na kwaya,shida nini makafiri??
Mungu yupi? Hata Padre aliyeshiriki kumchinja Albino alikuwa kila Jumapili anahubiri kanisani kama huyo Padre anayeongea hapo Radio Tumaini kwa hiyo usiwaamini sana binadamu hasa hao wanajiona ni wasafi sana na kunyooshea wenzao kumbe ni shetani wakubwa!Msema kweli Mpenzi wa Mungu
Fala mwenyewe kafiri wewe.Huwa nakuonea huruma sanaaa Kwa kukosa Akili timamu..
Upofu wa Akili unawakosesha kuishi maisha mema na jamii kilakitu unapeleka kwenye udini Tu
Wewe Fala badilika Akili dini haiwezi kukufikisha mbinguni
Wanafanya wapo wengi wanafanya ushetani mitaani halafu Jumapili yuko Madhabahuni akihubiri.Wanafanya au amefanya??... Though bado mahakama haijathibitisha.
But naamin umeelewa point yangu
Wapuuzi tuh hawa,eti Leo wanajiita wanamjua mungu,toka lini matapeli wa Imani za watu wakamjua mungu?Mungu yupi? Hata Padre aliyeshiriki kumchinja Albino alikuwa kila Jumapili anahubiri kanisani kama huyo Padre anayeongea hapo Radio Tumaini kwa hiyo usiwaamini sana binadamu hasa hao wanajiona ni wasafi sana na kunyooshea wenzao kumbe ni shetani wakubwa!
Mbona hata mwenyekiti wa Chadema Taifa alisema hivyo, au ilikua ramli na hadaa tu kwa wananchi?🐒Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
okMungu yupi? Hata Padre aliyeshiriki kumchinja Albino alikuwa kila Jumapili anahubiri kanisani kama huyo Padre anayeongea hapo Radio Tumaini kwa hiyo usiwaamini sana binadamu hasa hao wanajiona ni wasafi sana na kunyooshea wenzao kumbe ni shetani wakubwa!
Hakuna uwajibikaji nchi hii she must go!Mbona hata mwenyekiti wa Chadema Taifa alisema hivyo, au ilikua ramli na hadaa tu kwa wananchi?🐒
Wapinzani ndio wakosaji zaidi ulitaka wawaone wengine hata kama hawajapanga uhaini wa Samia Must Go?Intelejesia ya polisi huwa inaona viashiria vya uvunjifu wa amani kwa vyama vya siasa vya upande wa pili na kuzuia mikutano Yao ila kwa mambo mengine ya hatari wala hawajali na madam jana amedhihorisha hilo kwamba vyanzo vyake vinasa mipango vya chama kimoja cha siasa. (Kwingine sijui wanafeli wapi)
Hii issue ya utekaji nilitegemea polisi na madam wangetoa kauli kwamba endapo wananchi tunakutana na situation kama hiyo ya kiongozi wa CHADEMA kuchukuliwa mchana kweupe tufanye nini lakini badala yake wanakuja na kauli ya kifo ni kifo na kulinganisha na matukio yaliyofanyika Kwa kificho
Wakristo kwa chuki ndo zao,hapo matamko yatakuwa ni kila siku,chukueni time zenu.
Hivi JK hawezi kugombea tena urais? Wataalamu wa katiba wanasemaje?