maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Na kama kweli hawajui hiyo ni sababu tosha ya kuwaondoa madarakani. Haiwezekani intelligentsia yao ihusu vyama vya upinzani tu.Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Wanavyojifanya wasafi na kutaka mamlaka makubwa juu ya binadamu wengine wakati na wao ni washirikina tuPadre aliyehusika kuteka mtoto albino kule Geita who must go?
Hivi JK hawezi kugombea tena urais? Wataalamu wa katiba wanasemaje?Padre yuko sahihi sana!
SAMIA MUST GO!
MUNGU MPE MAISHA MAREFU JAKAYA KIKWETE.
Lakini kumbuka pia wapo Mapadre wa RC ni wanateka na kuua, kama yule Padre aliyeshiriki kumteka Albino na kumua mtoto mdogo asiyekuwa na ubaya wowote. Hivyo usigeneralize tu.Hii ndo raha na uzuri wa kuwa na viongozi wa dini wasomi. Ndio maana RC huwa wanatoa point sana sababu hakuna Padre ambae hajapiga shule.
Ndo maana huwez kuta Padre wa RC anatoka nje na kusema upumbavu et kila serikali duniani ina wauaji... So tuendelee kuuliwa au?
Nendeni Vatican,hii nchi siyo mali ya KANISA KATOLIKI.Love Catholic Church...
Sio hivo. Hawawezi kujifuatilia wenyewe. Sababu Sativa amesema anamfahamu mtesi wake na kumtaja, wao kimya. Lissu alituhumu vyombo na watu wa dola, wao kimya. Kutekwa na kuuwawa mzee Kibao inasemekana wahusika walitumia silaha na magari ya serikali, wao kimya.Tatizo kuu la serikali na jeshi la polisi ni ukosefu wa ufuatiliaji wa haraka na utoaji wa ripoti sahihi kwa wananchi.
Hata shetani alitokea mbinguni na alikuwa karibu sana na Mungu.Lakini kumbuka pia wapo Mapadre wa RC ni wanateka na kuua, kama yule Padre aliyeshiriki kumteka Albino na kumua mtoto mdogo asiyekuwa na ubaya wowote. Hivyo usigeneralize tu.
Kwani Mzee Kibao aliyeuwawa ni mkristo?Wakristo kwa chuki ndo zao,hapo matamko yatakuwa ni kila siku,chukueni time zenu.
Ajiponde pia yeye na Maaskofu wake kama waliweza kuishi na Padre mtekaji na muuaji wa Mtoto Albino huko Geita. Alipashwa aongee kiujumla kuwa watz tupambane kutokomeza utekaji siyo propaganda za kisiasa tu.Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Msema kweli Mpenzi wa MunguSikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
swali zuri sanaKwani Mzee Kibao aliyeuwawa ni mkristo?
Haijalishi,tundu lisu aliekapigwa Risasi si ni mkristo mwenzao,why walikaa kimya kipindi kileKwani Mzee Kibao aliyeuwawa ni mkristo?
Tena ni mbaya sana kuwa na wasomi wengi halafu wanafanya mambo ya kinyama kiasi hicho!!Hata shetani alitokea mbinguni na alikuwa karibu sana na Mungu.
Hii haiondoi RC kuwa na wasomi wengi wenye uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo. Kumbuka mkataba wa DP World ulivochambuliwa. Njoo hotuba ya juzi hapo.
Sasa linganisha na hawa wengine uone
Nani alikaa kimya? Haijalishi kivipi?Haijalishi,tundu lisu aliekapigwa Risasi si ni mkristo mwenzao,why walikaa kimya kipindi kile
Nimempa jibu zuri pia.swali zuri sana
Wanaodai haki za kuishi ni wananchi. Mnapohamishia hoja kwa wapinzani maana yake ni kwamba wewe kama raia hauguswi wala kuathiriwa na hii haliNaunga mkono hoja za padre. Viongozi wanapaswa kuwajibika kwa yanayoendelea na sio kuwatusi wapinzani.
Nani alikaa kimya? acha kujitoa ufahamu wewe sio mtotoNimempa jibu zuri pia.
Kuwa Tundu lisu aliekapigwa Risasi si mkristo mwenzao,why wakaupiga kimya enzi za Mwendazake??Uoga Tuuuh....
Upo sawa.Sio hivo. Hawawezi kujifuatilia wenyewe. Sababu Sativa amesema anamfahamu mtesi wake na kumtaja, wao kimya. Lissu alituhumu vyombo na watu wa dola, wao kimya. Kutekwa na kuuwawa mzee Kibao inasemekana wahusika walitumia silaha na magari ya serikali, wao kimya.
Usomi wenu uko wapi kafiri wee...Hata shetani alitokea mbinguni na alikuwa karibu sana na Mungu.
Hii haiondoi RC kuwa na wasomi wengi wenye uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo. Kumbuka mkataba wa DP World ulivochambuliwa. Njoo hotuba ya juzi hapo.
Sasa linganisha na hawa wengine uone