Padre Titus Amigu anasema muda huu kupitia Radio Maria kuwa viongozi wakuu wa nchi wanajua wauaji ni akina nani

Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Na kama kweli hawajui hiyo ni sababu tosha ya kuwaondoa madarakani. Haiwezekani intelligentsia yao ihusu vyama vya upinzani tu.
 
Lakini kumbuka pia wapo Mapadre wa RC ni wanateka na kuua, kama yule Padre aliyeshiriki kumteka Albino na kumua mtoto mdogo asiyekuwa na ubaya wowote. Hivyo usigeneralize tu.
 
Tatizo kuu la serikali na jeshi la polisi ni ukosefu wa ufuatiliaji wa haraka na utoaji wa ripoti sahihi kwa wananchi.
Sio hivo. Hawawezi kujifuatilia wenyewe. Sababu Sativa amesema anamfahamu mtesi wake na kumtaja, wao kimya. Lissu alituhumu vyombo na watu wa dola, wao kimya. Kutekwa na kuuwawa mzee Kibao inasemekana wahusika walitumia silaha na magari ya serikali, wao kimya.
 
Lakini kumbuka pia wapo Mapadre wa RC ni wanateka na kuua, kama yule Padre aliyeshiriki kumteka Albino na kumua mtoto mdogo asiyekuwa na ubaya wowote. Hivyo usigeneralize tu.
Hata shetani alitokea mbinguni na alikuwa karibu sana na Mungu.

Hii haiondoi RC kuwa na wasomi wengi wenye uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo. Kumbuka mkataba wa DP World ulivochambuliwa. Njoo hotuba ya juzi hapo.

Sasa linganisha na hawa wengine uone
 
Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Ajiponde pia yeye na Maaskofu wake kama waliweza kuishi na Padre mtekaji na muuaji wa Mtoto Albino huko Geita. Alipashwa aongee kiujumla kuwa watz tupambane kutokomeza utekaji siyo propaganda za kisiasa tu.
 
Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowahibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
Msema kweli Mpenzi wa Mungu
 
Tena ni mbaya sana kuwa na wasomi wengi halafu wanafanya mambo ya kinyama kiasi hicho!!
 
Upo sawa.

Ukiangalia mnyororo wa matukio ya utekaji kwa vyovyote vile wanaojiita vyombo vya usalama wanahusika.
 
Usomi wenu uko wapi kafiri wee...

Usomi unajipambanua katika kuisadiia jamii,sasa usomi wenu nyinyi makafiri ni katika kuibia serikali kisha ndipo mje mjiite wasomi?

Usomi wa KANISA uko wapi,wa kuwa hodari wa kutoa waraka kwa serikali??

Hovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…