Padre wa Kanisa Katoliki Italia afukuzwa baada ya kuhubiri kwamba Papa Francis ni 'Masonic' na 'Anti-pope'

Nipo deep kuliko unavyodhani mkuu,
Ungekuwa upo deep kiasi cha kuyajua mengi kunishinda ungeshanielewa pale juu nilipokwambia uombe hekima kwanza ndiyo ujadili haya mambo ya imani.

Imagine huijui hata sekunde moja ya pumzi yako lakini unathubutu kusema hapa kwamba watu fulani ni wa shetani,who are you bro?mimi nitaenda motoni unajuaje kama nitaenda motoni mzee?just kwa sababu ni Mkatoliki?umeujuaje utendaji wa Mungu?umeijuaje hekima ya Mungu ktk kuwahukumu wale waliojitahidi au kujaribu kumtafuta lakini wakawa hawapo sehemu sahihi?

Usijimilikishe wewe ukuu,Mungu ana taratibu zake siyo mimi wala wewe anayezijua itoshe kusema tusali kwa imani zetu tukingoja yajayo hakuna mwenye mamlaka ya kumuhukumu mwenzake.
 
duuu vatikan haikosei ikitamka ndo ilivo ...walipinga wakina luther wakauwawa sasa s sembuse hawa wameachwa hai....mtaguso mkuu wa 2 wa vatikan unasema papa hakosei...na roma haibadiliki...ww ndo umeivamia vatikan...meng yatakuja makubwa .
 
Upo sahihi sana ktk hili.
 
Kanisa na imani yetu haitayumba kwani tumelelewa kwny misingi imara..huyo papa hawezi kututeteresha..atapita na yy kama walivyopita wengine waovu na kanisa bado liko pale pale...kuna waves kwenye maisha ya imani ni jukumu letu kusimama imara...
Nitakiri imani yangu ya kanisa katoliki mpk kufa...
 
Papa benedict sijui ni nini tu kilimlazimu kujiudhuru, na ukicheki francis kasubiri benedict afe ndio afanye yake.

Kuna kardinali mmoja alisema pala benedict kpnd anajiudhuru alidhan hatoishi hata zaidi ya mwaka
Alikaa karibu miaka 10 baada ya kujiuzulu, tena akiwa na afya nzuri tu.
 
Asante sana , Let us be proud of our Catholicism.
 
Uwe unakiri imani ya Mungu ili uwe na uzima wa milele siku yako ikiwadia sio kuweka imani kwenye kanisa pekee.

Ndani ya kanisa lolote kuna sintofahamu nyini, hivyo unaweza jikuta unawekeza tumaini kwenye mapokeo yaliyowekwa na wanadamu ukasahau kuimarisha uhusiano wako binafsi na YEHOVA.

Hakuna kanisa linalompeleka mtu mbinguni bali imani thabiti iliyojengwa juu ya Neno la Mungu kupitia kwa Yesu Kristu.

Yohana 17:3​

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
 
Fara wewe
 
Sawa...
 
Utakuwa hauna tofauti na waprotestant ambao kwao hata wakitofautiana mavazi wanaanzisha kanisa jipya
 
Uovu upi uliomchukiza Mungu hadi kuiteketeza dunia kwa moto zaidi ya ushoga na gharika enzi za Nuhu?
Nasisitiza, kulikuwapo Mapapa waovu zaidi ya huyu lakini walipita na kanisa likasimama. Ni kwa kuwa watu mpo wavivu tu wa kusoma
 
Mungu gan tena?? . .... ..POPE maana yake n baba mtakatifu yaan (mungu wa wakatoliki wote)...nimetoka milembe juz sjamaliza dozi
Ni kweli,kupitia maneno yako nimeiona hiyo shida waliyokupeleka nayo huko Milembe.

Mungu na akupe uponyaji wake urudi ktk hali yako ya kawaida.
 
Jamaa wameamua kumwambia kwamba hawaungi mkono hiko. Huu ndio mwanzo wa UAMSHO mpya ndani ya RC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…