Bila hata kuonyesha au kueleza ni mabadiliko gani yamefanyika.Nadhani pia una " walakini" na mabadiliko ya HJA na IGA tuloaminishwa siku Ile kuwa yamefanyika.
Mkuu Mimi mtu Mdogo sana tena mnatuita dayasporaHiyo mialiko yenu "mikubwa" ndiko wanakoruhusiwa kuwa wadanganyifu, matapeli?
Sasa sura kamili ya utawala wa Samia imejifunua wazi.
Siyo kwamba ni mtu asiye aminika kwa lolote, bali ni mtu aliye tayari kudanganya kwa maksudi kabisa bila ya aibu.
Zaidi ya hapo, amejipambanua kuwa ni fisadi wa kutisha sana. Endapo ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa nchi hii kwa miaka ijayo, nina hakika hatutaepukana na machafuko ya aina moja au nyingine.
Huyu ni kiongozi asiyekuwa na maslahi ya nchi moyoni mwake hata kidogo.
Halafu bila hata kutumia akili, na wewe hapa unakuja na upuuzi. Kwani kuondoka kwake ndiko kungehalalisha utapeli wa mwaliko huo?
Who are you challenging. Who is not reliable?Mkuu Mimi mtu Mdogo sana tena mnatuita dayaspora
I am just challenging jamaa because he’s not reliable
Kwahiyo faza kilaini na na mwadhama kardinali Rugambwa wametofautiana? Kanisa moja takatifu la mitume [emoji23]Rais wa JMT amtembelea Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa Kanisani Tabora
Kuna umuhimu wa hawa waliomo kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama wa nchi hii kuanza kuhoji kuhusishwa kwao katika matukio ya kitapeli namna hii.
Mchumia tumbo umevimbiwa na asali tayariWapuuzi wakubwa nyie, ubovu wa IGA ni upi haswa?. Mliweza kuiona IGA baada ya kuvuja msitegemee kuja kuuona mkataba wa biashara kati ya Dubai na Tanzania. Kwanza ni kosa kisheria kuonyesha vipengele vya mkataba wa kibiashara, kinachoandikwa mle ni siri ya pande mbili. Pili serikali haiwezi kuingia gharama kubwa ya utetezi dhidi ya wote watakaoishambulia mitandaoni wakiongelea mikataba tena ambayo uelewa mpana wa watakaohoji ni mdogo sana.
Hakika Bwashee,mana hiyo ni jumuiya ktk chama chakavuNi kwa Sababu BAKWATA iliasisiwa na Mwenyekheri Julius Nyerere [emoji23][emoji23]
Wajipimaje wkt hata wito waliitikia,Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"
Usinifokee, nani alikuambia Kuna mihuri ya challenging mnayo wachache… peleka kichefuchefu chako kuleWho are you challenging. Who is not reliable?
If you do not believe what Dr Kitima is saying, it is easy to verify that.
If you believe Samia is right, then tell us the basis of your your belief.
People are unashamedly telling blatant lies, and still we have gullible citizens giving them benefit of the doubt?
I am led to believe that you have your own reasons for allowing yourself to be lied to, and attempting to abate the same to the rest of us.
Kwenye hii nchi yenu wao sio yao ?Wakaanzishe serikali Yao huko vatikan. Watuachie nchi yetu ya aman.
Subiria utakuja kushangazwa na utakachoonaWagalatia hasa kutoka katoliki huwa wanajiaminisha kuwa kanisa ndio lina run hii nchi, sasa wanaumbuliwa waziwazi
Waraka unasemaje?. Fitina yote kwisha habari yake.Mchumia tumbo umevimbiwa na asali tayari
Sasa basi kinakushughulisha nini wakisema hawakubaliani na mkataba?.Sisi hatukuwachagua TEC kuongoza nchi wao waendeleee kusoma kwenye makanisa yao
Sio kila kitu wana haki ya kukijadili, kuna uendeshaji mzima wa bandari kisasa ambao wao hawana uelewa wa masuala ya aina hiyo.Sasa basi kinakushughulisha nini wakisema hawakubaliani na mkataba?.
Sio theology tu, wana degree ya philosophy pia. Ukija kwenye elimu yetu ya wote Fr. Kitima ana PhD, ni mbobevu wa sheria. Amenifundisha Constitution Law pale SAUT.Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"
Kwakweli mimi siwezi kwenda kwenye hafla ambayo sijui inahusu nini, nitaamdika tu barua ya kujibu mwaliko.Alialikwa bila kuambiwa mwaliko ulihusu nini
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha
Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.
FR CHARLES KITIMA
katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.
Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948
2000
Ikulu Chamwino, Dodoma
Tafadhali Njoo na Kadi Hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Una nchi wewe pi.mbi!?Wakaanzishe serikali Yao huko vatikan. Watuachie nchi yetu ya aman.
Akili kisoda! Kwa ujuha wako unaona ni sahihi mikataba kusainiwa gizani!?Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"