LGE2024 Padri Kitima ashukia serikali kwa kuengua wagombea kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Asema uonevu ulianza rasmi mwaka 2016!

LGE2024 Padri Kitima ashukia serikali kwa kuengua wagombea kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Asema uonevu ulianza rasmi mwaka 2016!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Katibu Mkuu wa TEC Padri ametoa rai kwa mamlaka za juu kuacha kuigilia mamlaka za chini hususani katika mchakato wa kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa na Vijiji.

Amesema katika Chaguzi za hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuwanyima haki baadhi ya wagombea hasa wa upinzani kutokana na sababu ambazo azina mashiko.


Father Kitima wakati anazungumza hivi karibuni amedokeza kuwa kumekuwa na uonevu kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa.

Amedokeza kuhusu vitendo vinavyoendelea vya kuengua wapinzani katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa na kuongeza kuwa aina hiyo ya uonevu ilianza mwaka 2016

Soma pia: Askofu Ruwa'ichi: Kuandikisha watoto kupiga Kura ni Hatari kwa Taifa, Tunalea Wahuni na Wezi

My take: Kwamba CCM ndicho kilichokuwa mstari wa mbele kupigania ukombozi afrika,kupinga ubaguzi afrika ya kusni lakini sasa ndicho chama kinchachofanya ubaguzi Tannzania. Je CCM wana sera ya apartheid/ubaguzi?




Kwamba CCM ndicho kilichokuwa mstari wa mbele kupigania ukombozi afrika,kupinga ubaguzi afrika ya kusni lakini sasa ndicho chama kinchachofanya ubaguzi Tannzania. Je CCM wana sera ya apartheid/ubaguzi?


View: https://x.com/HildaNewton21/status/1855593626589421783

Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana

Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
RC mbona iko imara na itaendelea kuuw imara tu kwa sababu imejengwa juu ya msingi imara. Unaona protestant na madhehebu mengine yametokea RC lakini kanisa bado lipo. Mwamposa aendelee na shughuli zake ila CCM imeleta sera ya ubaguzi inayotakiwa kupingwa na wananchi wote wapenda haki

Kanisa linahubiri siasa,unyumbulifu wao unanishangaza,toka kuwa umoja wa kiimani,kuruhusu ushoga na Sasa miguu yote ndani ya siasa,sijui kesho watanyumbulika na kuwa nini,jeshi!?

Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Kitima yuko against uovu popote ulipo uovu ni Mahali pake pa kazi usimpangie,

RC mbona iko imara na itaendelea kuuw imara tu kwa sababu imejengwa juu ya msingi imara. Unaona protestant na madhehebu mengine yametokea RC lakini kanisa bado lipo. Mwamposa aendelee na shughuli zake ila CCM imeleta sera ya ubaguzi inayotakiwa kupingwa na wananchi wote wapenda haki
Kanisa watu,Kama walokole na madhehebu mengine wanaongezeka jua wanatoka RC,kumbuka pia RC wengi hawaendi kanisani

Kitima yuko against uovu popote ulipo uovu ni Mahali pake pa kazi usimpangie,
Alitoa tamko kuhudu padre kushiriki mauaji ya albino?..alishawahi sema lolote kuhusu liwati kwa vijana kanisani?

Kanisa watu,Kama walokole na madhehebu mengine wanaongezeka jua wanatoka RC,kumbuka pia RC wengi hawaendi kanisani
Hilo silifahamu,. naona watu wanajaa tu kanisani. RC hallfi leo wala kesho. Utakufa wewe, wajukuu zako na wengine wanaofuata lakini kanisa litabaki

Alibino anahusianaje na uchaguzi? Nachofahamu yuko chini ya vyombo vya ulinzi
Alitoa tamko kuhudu padre kushiriki mauaji ya albino?..alishawahi sema lolote kuhusu liwati kwa vijana kanisani?

Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Haya yote uliyoandika hayamzui yeye binafsi kutoa maoni yake kuhusu ubaguzi unaoendelea kwenye zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Ccm ni Ile Ile watu wake ni wale wale kwahiyo unafananusha kanisa katoliki na huo uchafu wako 🤣 🤣 😏

Hilo silifahamu,. naona watu wanajaa tu kanisani. RC hallfi leo wala kesho. Utakufa wewe, wajukuu zako na wengine wanaofuata lakini kanisa litabaki
Huko ulaya makanisa yanafungwa na kugeuzwa bar,club na msikiti kwa kukosa waamini

Alibino anahusianaje na uchaguzi? Nachofahamu yuko chini ya vyombo vya ulinzi
Uelewa duni au kusudi?!

Uelewa duni au kusudi?!
Naona unamuangalia messenger na dini yake bila kuzingatia ujumbe wake. Je serikali ya CCM inaendesha sera ya Apartheid/ubaguzi? Hili ndilo la kujiuliza

CCM ni hatari kwa taifa letu tunawaihitaji kina Kitima wengi zaidi.

Naona unamuangalia messenger na dini yake bila kuzingatia ujumbe wake. Je serikali ya CCM inaendesha sera ya Apartheid/ubaguzi? Hili ndilo la kujiuliza
Ahubiri dini, ndiyo kazi yake,au laa Kama ana hamu Kali ya kufanya siasa avue joho avae gwanda, apartheid ya CCM Iko wapi!?

Hakika CCM ni makaburu weusi.

Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Anakuchanganya sababu ubongo wako mdogo sana. Mbona hachanganyi lolote? Waumini kwenda kwa Mwamposa ni haki yao. Ingeshangaza kama angeanza wakataza wakati hapa anazungumzia Demokrasia. Watu wakaabudu wanapotaka. Hata wakienda kwa Sheikh Kundecha ni maamuzi yao.

Father Kitima wakati anazungumza hivi karibuni amedokeza kuwa kumekuwa na uonevu kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa.

Amedokeza kuhusu vitendo vinavyoendelea vya kuengua wapinzani katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa na kuongeza kuwa aina hiyo ya uonevu ilianza mwaka 2016

Soma pia: Askofu Ruwa'ichi: Kuandikisha watoto kupiga Kura ni Hatari kwa Taifa, Tunalea Wahuni na Wezi

My take: Kwamba CCM ndicho kilichokuwa mstari wa mbele kupigania ukombozi afrika,kupinga ubaguzi afrika ya kusni lakini sasa ndicho chama kinchachofanya ubaguzi Tannzania. Je CCM wana sera ya apartheid/ubaguzi?


Ujumbe murua kabisa. Wahuni watapinga

Ahubiri dini, ndiyo kazi yake,au laa Kama ana hamu Kali ya kufanya siasa avue joho avae gwanda, apartheid ya CCM Iko wapi!?
Dini ni pamoja na kupinga dhulma ya aina yeyote ile...kwani katika imani yako uchafu huu unaofanya na makaburu CCM unampendeza Mungu?
 
Katibu Mkuu wa TEC Padri ametoa rai kwa mamlaka za juu kuacha kuigilia mamlaka za chini hususani katika mchakato wa kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa na Vijiji.

Amesema katika Chaguzi za hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuwanyima haki baadhi ya wagombea hasa wa upinzani kutokana na sababu ambazo azina mashiko.
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
20240907_095744 (1).jpg
IMG-20200726-WA0000.jpg




 
Katibu Mkuu wa TEC Padri ametoa rai kwa mamlaka za juu kuacha kuigilia mamlaka za chini hususani katika mchakato wa kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa na Vijiji.

Amesema katika Chaguzi za hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuwanyima haki baadhi ya wagombea hasa wa upinzani kutokana na sababu ambazo azina mashiko.
Ndio tushapaga hamna namna chief
 
Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Kwani umeona Kuna parokia au kigango kilichofungwa?

Lakini pia unajua Kila mtu yupo huru kuabudu anapotaka?

Mbona husemi waislamu na madhehebu mengine wanaojiunga na ukatoliki Kila siku kwamba warudi kwenye dini zao?

Yote hayo ni kuonyesha kwanza unachuki na kanisa husika lakini pili wewe ni mwanaCcM na mnufaika wa yanayoendelea. Ndio maana unaumia kusikia ukweli unasema.

Mwisho mapadri hawapaswi kusema uongo ni dhambi hivyo wacha waseme ukweli ukikuuma sawa TU.
 
Kanisa linahubiri siasa,unyumbulifu wao unanishangaza,toka kuwa umoja wa kiimani,kuruhusu ushoga na Sasa miguu yote ndani ya siasa,sijui kesho watanyumbulika na kuwa nini,jeshi!?
Ni vile Katoliki yeye anaamini ndiye baba na mama wa siasa na dini ya watu wote. Katoliki inapaswa kuhubiriwa injili ya Kristu. Katoliki inatakiwa kubatizwa. Katoliki inatakiwa kuongoka. Ameeen!

NB: Kukemea maovu katika jamii, bila kujali hali, mahali na hadhi, ndiyo wito sahihi wa kila Mkristu.
 
Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.
Mkuu ukatoliki ni imani huru, ukitaka njoo usipotaka usije, sisi hatupigi propaganda watu wajiunge na ukatoliki, ukiwa sehemu yetu fuata taratibu zetu.
Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.
Hiyo ni haiba ya mtu, kupambana na wanaovunja sheria za nchi sio kazi ya Padre/Askofu ama kanisa, ni kazi ya Serikali na sheria zake. Mababa wa imani wao ni kukemea, kama wanavyokemea madhalimu ya Serikali.
Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe.
Siasa ni za nani? siasa ni za kila mtu, mimi, wewe na huyo padre. Yeye yuko hapo akiwazungumzia waumini wake wakatoliki ikiwemo mimi na wengine wanaosoma huu uzi.

Wakatoliki zaidi ya 23M (33% ya watanzania) tunamsikiliza Padre Kitima, si kwa sababu ni Padre tu, hapana bali kwa sababu ya hoja zake zenye kulijenga taifa, na hizi hoja zake si kwa watoliki tu bali na wale wa imani zingine. Kiufupi anatutakia wema watanzania wote.

Tatizo ni kwamba kuna baadhi ya watu wanadhani tukikosoa uongozi wa Rais SSH, tunaukosoa kwa sababu ya Dini yake, Hapana, hata angekuwa Mpagani, Mhindu ama mkatoliki bado tungekosoa akienda ndivyo sivyo!

Mwisho: Msipambane na ukatoliki, ume exist kwa zaidi ya miaka 2000 (Tunatanguliwa na Hinduism na Budhisim), vita vyote vya kidini na kisiasa ukatoliki ulipigana na ulishinda, hautakaa utetereke kamwe!

ROMA LOCUTA, CAUSA FINITA EST!
 
Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Haraka haraka wewe ni Malaya wa kisiasa wa CCM huwezi kuona alichoongea.

Pamoja na yote wewe na CCM mnachochea machafuko,hata kama kiburu chenu ni uwepo wa siraha na majeshi .Ipo siku isiyo na jina mtalipa gharama hizi.

Kumbuka hili" UPUMBAVU WA MUNGU NI ZAIDI YA HEKIMA YA MWANADAMU."
Huko ulaya makanisa yanafungwa na kugeuzwa bar,club na msikiti kwa kukosa waamini
 
Mkuu ukatoliki ni imani huru, ukitaka njoo usipotaka usije, sisi hatupigi propaganda watu wajiunge na ukatoliki, ukiwa sehemu yetu fuata taratibu zetu.

Hiyo ni haiba ya mtu, kupambana na wanaovunja sheria za nchi sio kazi ya Padre/Askofu ama kanisa, ni kazi ya Serikali na sheria zake. Mababa wa imani wao ni kukemea, kama wanavyokemea madhalimu ya Serikali.

Siasa ni za nani? siasa ni za kila mtu, mimi, wewe na huyo padre. Yeye yuko hapo akiwazungumzia waumini wake wakatoliki ikiwemo mimi na wengine wanaosoma huu uzi.

Wakatoliki zaidi ya 23M (33% ya watanzania) tunamsikiliza Padre Kitima, si kwa sababu ni Padre tu, hapana bali kwa sababu ya hoja zake zenye kulijenga taifa, na hizi hoja zake si kwa watoliki tu bali na wale wa imani zingine. Kiufupi anatutakia wema watanzania wote.

Tatizo ni kwamba kuna baadhi ya watu wanadhani tukikosoa uongozi wa Rais SSH, tunaukosoa kwa sababu ya Dini yake, Hapana, hata angekuwa Mpagani, Mhindu ama mkatoliki bado tungekosoa akienda ndivyo sivyo!

Mwisho: Msipambane na ukatoliki, ume exist kwa zaidi ya miaka 2000 (Tunatanguliwa na Hinduism na Budhisim), vita vyote vya kidini na kisiasa ukatoliki ulipigana na ulishinda, hautakaa utetereke kamwe!


ROMA LOCUTA, CAUSA FINITA EST!
Amina sana!
KUISHI NI KRISTU NA KUFA NI FAIDA
 
Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Ni kweli mimi ni mkatoriki lakini kwa hili acha nimuite mpumbavu
 
CCM inamfanya uovu Kiongozi yeyote wa dini anayenyamazia maovu katika jamii huyo hapaswi kuaminiwa na jamii inayomzunguka maana anakuwa ameshapoteza sifa ya kuwa Kiongozi wa imani.
 
Kuna mambo mengi tu kwenye Kanisa lake kama Katibu Mkuu wa TEC hajayafanyia kazi. Ningefurahi kumuona Padri Kitima akipambana kurudisha waumini wa RC wanokimbilia kwa Mwamposa na wachungaji wengine.

Ningefurahi kumuona Fr Kitima akipambana na mapadre wanaoua albino au kujihusisha na ufisadi wa fedha za kanisa.

Huyu Baba Padre aendelee tu na majukumu ya kuchunga kondoo wake. Hii kazi ya siasa awaachie wenyewe. Wanatuchanganya sana
Nyie ndiyo watu mliosababisha tukaja kuwa na Rais kama Jiwe.
 
Anakuchanganya sababu ubongo wako mdogo sana. Mbona hachanganyi lolote? Waumini kwenda kwa Mwamposa ni haki yao. Ingeshangaza kama angeanza wakataza wakati hapa anazungumzia Demokrasia. Watu wakaabudu wanapotaka. Hata wakienda kwa Sheikh Kundecha ni maamuzi yao.
Wanakwenda kwa Mwamposa kutafuta wasichokipata kwa Fr Kitima
 
Anakuchanganya sababu ubongo wako mdogo sana. Mbona hachanganyi lolote? Waumini kwenda kwa Mwamposa ni haki yao. Ingeshangaza kama angeanza wakataza wakati hapa anazungumzia Demokrasia. Watu wakaabudu wanapotaka. Hata wakienda kwa Sheikh Kundecha ni maamuzi yao.
Fr Kitima ni cousin Brother wa Tundu Lissu, kila analoongea ni kupaza sauti ya Lissu kutumia Kanisa.

Haya mambo ya kutumia kiti cha Kanisa kuelezea sentiments zake ndiyo yaliyoipasua Rwanda vipande vipande kwenye genocide ya 1994.
 
Kanisa watu,Kama walokole na madhehebu mengine wanaongezeka jua wanatoka RC,kumbuka pia RC wengi hawaendi kanisani
RC hakunà waumini ea Fr. Kitima. Hata akifa RC haifi, subiri Mwamposa afe kanisa làke linakufa pia maana wale ni waumini wa Mwamposa siyo kanisa maana hilo kanisa halipo kwenye orodha ya makanisa.
Unakumbuka Getrude Lwakatare na kanisa lake? Liko wapi?
 
mbona hizi ni fosari ndogondogo fr kitima
 
Unaweza kuwa sahihi kumlaumu Fr. Kitima au kiongozi yeyote wa dini.

Lakini ukweli hubaki kuwa ukweli iwe umesemwa na kiongozi wa mchepuo wowote au mtu ambaye kwamba.

Tujirekebishe.
 
RC hakunà waumini ea Fr. Kitima. Hata akifa RC haifi, subiri Mwamposa afe kanisa làke linakufa pia maana wale ni waumini wa Mwamposa siyo kanisa maana hilo kanisa halipo kwenye orodha ya makanisa.
Unakumbuka Getrude Lwakatare na kanisa lake? Liko wapi?
Hawarudi RC Bali watatafuta mfanya maajabu mwingine
 
Back
Top Bottom