LGE2024 Padri Kitima ashukia serikali kwa kuengua wagombea kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Asema uonevu ulianza rasmi mwaka 2016!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ccm walijisahau hawaamini kama vyama vingine vingekubalika kiasi hicho
 
Kwamba mungu ana upumbavu,unajua maana ya upumbavu!?..unaweza kithubutu kumwambia babaako mpumbavu?!
 
ni muhimu zaidi kanuni, taratibu, sheria na katiba ya nchi vikazingatiwa.

maelekezo na malalamiko yasio na mashiko kisheria ni makelele tu.

Father anaheshimika sana, lakini maoni yake ni completely useless kama hajayajenga katika msingi na ushahidi wa kisheria. Huruma haina maana sana kwenye ushindani

uchaguzi ni Nov. 27,2024🐒
 
Kila kanisa,misikiti na Hindu temples zikihubiri siana na kuwa na ashki na siasa kiasi hiki,tutakua na nchi, mwisho wake nini!?
Acha upumbavu. We unataka asiseme kitu wakati nchi inaelekea pabaya. Kuhubiri siasa ukiwa na maana ya kupinga dhulma inayoendelea? Kwa akili yako iliyooza unafikiri viongozi wote wa dini wangekemea uovu unaofanywa na serikali nchi ingeenda kubaya? aisee....
 
Nchi inaelekea pabaya wapi!?..Kama kujaza form ya kugombea serikali za mitaa huwezi,unafaa vipi kuwa kiongozi!?
 
Tuataona kama ni makelele tu.
 
Tuataona kama ni makelele tu.
huna haja kuonana na yeyote gentleman. Nov 27 piga kura kwendra zako nyumbani..

wasiofaa na wasio na sifa na vigezo vya kikatiba waenguliwe wote kwenye mchakato.

hawafai kua viongozi kabisa 🐒
 
mashudu
 
Mimi sikujiandikisha kabisa pamoja na vi-SMS vyao ikiwa namna ya kupinga haya maovu.
 
Hayo uliyosema ni mambo madogo na ya kipuuzi ukifanananisha na mustakabali wa nchi.
 
Mbona anayemsifia ndio ametufikisha hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Anzisha Uzi uyazungumzie ya Kanisa utajibiwa huko,Yeye acha atekeleze wajibu wake kama mwananchi,hakuna pa kujificha na uchafu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…