And how long unafanya tahajud adi jicho la 3 kufunguka na inachukua miaka? Je kila ukitaka kufungua jicho la tatu adi ufanye tahajud au ukifanya iyo tahajud one time inatosha next time jicho la tatu litakuafunguka automatically bila tahajudKupitia tahajudi.. Hasa tahajudi maizi
Jicho la tatu na ile nimewahi sikia inaotwa Astral projection ni vitu viwili tofaut au sawiaNitalijibu kwa kirefu kidogo
Ukiachana na imani ya kale ya Wamisri kwamba kumlaza marehemu kifudifudi ni dharau kubwa kuna hizi dhana hapa
1. Dhana ya mbingu na kuzimu
Imani zote zinaongelea maisha baada ya kifo na kwamba mbingu iko juu na kuzimu kuko chini ...hivyo unamlaza marehemu kuelekea kule atakakokwenda
2. Roho inapouacha mwili mawasiliano mengine yote ni kupitia jicho lionalo kwenye ulimwengu usioonekana, hapa kazi ya macho yatazamayo hukoma. ..hivyo kulaza kifudifudi ni sawa na kuliziba
3. Binadamu tumeumbwa kusimama, na ku move kuelekea mbele na si kinyume chake hatuendi kinyume nyume kwahiyo hata mawasiliano yetu ya kiroho ni ya kufunguka angani na si chini ya ardhi
4. Kuna jinsi nyingine za kumuweka marehemu kama kumsimamisha, kumkalisha kumlaza ubavu ubavu lakini kamwe si kifudifudi
With serious practice not less than 18 monthsAnd how long unafanya tahajud adi jicho la 3 kufunguka na inachukua miaka? Je kila ukitaka kufungua jicho la tatu adi ufanye tahajud au ukifanya iyo tahajud one time inatosha next time jicho la tatu litakuafunguka automatically bila tahajud
Sawa Lete vyuma mimi Mna shida navyoTakurudia kaka[emoji1545]
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Asante sanaBro sina CBS kuongezea zaid ya kusema jazakhalau kheir ma Allah akupe siha njema kaka ili uweze kutujuza maana elimu bahari bro shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Inshallah.. Tuombe KheriBro naomba niwe kijana wako ili nipate kujifunza niwe mrithi wa elim kaka hata ukiwa haupo niendeleze darasa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jicho la tatu ni dhana ya fumbo na esoteric ya jicho la kubahatisha lisiloonekana, ambalo kawaida huonyeshwa kama liko kwenye paji la uso, ambalo hutoa mtazamo zaidi ya macho ya kawaida. Katika mila ya kiroho ya Kihindi, jicho la tatu linamaanisha ajna chakraSawa rafiki yangu mshana Jr
Hili jicho la tatu ni Nini na mtawezaje kulitumia?
Habari mkuu Mshana Jr Mimi ni muumini mzuri sana wa meditation. Mimi napenda kufanya meditation ya pumzi, Sasa wakati nafanya ile pumzi ninayoivuta taratiiibu kupitia pua huwa naisikia ikipanda kwenye paji la uso kwa ndani (huwa nahisi kiubaridi kikali sana cha aina yake), Je, hiyo ni dalili ya jicho la tatu kufunguka? Au nakosea naweza kujiletea madhara?Jicho la tatu ni dhana ya fumbo na esoteric ya jicho la kubahatisha lisiloonekana, ambalo kawaida huonyeshwa kama liko kwenye paji la uso, ambalo hutoa mtazamo zaidi ya macho ya kawaida. Katika mila ya kiroho ya Kihindi, jicho la tatu linamaanisha ajna chakra
Jicho la tatu ni la kiroho na huona ya mbeleni kabla ya jicho la nyama
Watabiri wengi hulitumia sana jicho hilo na hata baadhi ya hawa wanaojiita manabii na mitume japo wao hulipata kupitia ushirikina
Usivute kwa kulazimisha fanya iwe natural breathingHabari mkuu Mshana Jr Mimi ni muumini mzuri sana wa meditation. Mimi napenda kufanya meditation ya pumzi, Sasa wakati nafanya ile pumzi ninayoivuta taratiiibu kupitia pua huwa naisikia ikipanda kwenye paji la uso kwa ndani (huwa nahisi kiubaridi kikali sana cha aina yake), Je, hiyo ni dalili ya jicho la tatu kufunguka? Au nakosea naweza kujiletea madhara?