Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Apate sanaa tu, ILA AWAJIBIKE KWA MATENDO YAKE DHIBI YA JAMIII. Basi Insta mmekazanaa kweli kweli kuwapost voda. Hahahahaaaa! Huu ndo mwanzo tu.
Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe!! Wcb team wana post voda daily.. kila siku wanachafua!!! Usije kutegemea abadani watu watatingishika na hii mikwara mbuzi ya kitoto
 
Kweli wewe una roho ya kichawi!! Kwahiyo na akili zako ndogo mwenyewe umekaa unasubiria diamond aadhilike.!! Kweli ndio Maana mungu akaumba jehanum Maana watu kama nyinyi huko panawahusu sana

Mambo mengi sanaa duniani yaanziaga kwa watu wenye akili ndogo sanaaa. Ukipata mda soma hiko kitabu cha GRAIN OF WHEAT kitafungua macho sanaa.

MTU MDOGO KAMA MIMI NI BALAAA ZAIDIIII NA BALAAA KWELI KWELI KULIKO HATA MTU MKUBWA. HIZI ALLEGATIONS ANGETOA MANGE ANGEAMBIWA ANA KINYONGO CAUSE VODA WALIKATISHA MKATABA NAE BAADA YA KUSHINDWANA. ANGETOA MSAANII WA KIKE ANGEAMBIWA ANA WIVU SABABU HAJATOKA.

ILA NIMETOA MIMI LARA 1, MTU MDOGO SANAA KWENYE JAMIII, SINA TITLE YOYOTE ZAIDI YA MTEJA TU WA VODA. Sasa napewa mavitu makubwa makubwa kama ma email ya hao mabosi, napewa in and out ile endorsement ilivokuwa. Haya sasa mtu mdogo mie huyoooo. Nangoja mtume vingineee. Watu wekaa wekaaa, siendeshwi na mtu, hizi tuhuma nimezianza mwenyewe ziatenda navotaka mie. Bill Cosby ilichukua miaka 40 kumtumbua na tangia hapo hajatumbuka so na mimi nimeanza mdogo mdogo.

THE BEST PART KUWA MTU MDOGO YOU HAVE NOTHING TO LOSE, CAUSE YOU HAVE NOTHING TO BEGIN WITH, USEME LABDA NITAPOTEZA KITU FLANI NGOJA NINYAMAZE. I HAVE NOTHING TO LOSE HATA ASIPOCHUKULIWA HATUA KWANI SILI KWANGU NA KUNYA? ILA KAMA MWANAJAMII YOU HAVE TO THINK BEYOND YOURSELF.

MTU MDOGO MIMI NIPO KAZINI.
 
I've already said, there's no there there!

I guarantee you that you will never see any compelling evidence that back up the claims.

The most you will get is innuendo, sensationalism, and downright drivel.

But as for compelling, corroborating evidence, you shall wait with bated breath to infinity and beyond!
Hahaa! So, it's like am waiting for Azam Marine boat to Zanzibar at Dar es salaam international airport!!

@lara1, please do me a favor! Do Nyani Ngabu's findings true? I'd love to know that version coz' my interest now is to find out whether this discussion worth interrupting my sleeping schedule!!
 
Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe!! Wcb team wana post voda daily.. kila siku wanachafua!!! Usije kutegemea abadani watu watatingishika na hii mikwara mbuzi ya kitoto

Hahahahaaaa! Pole washa anza kuja na front na data muhimu ujue ndo basi..

Suposedly nikijitoa ufahamu nikapita short cut yao na ku cycle tu picha kwenye bango, kuattach screenshot allegations za Debby, medical report kaipost tayari, RB iko live tayari na kuandika tu RAPIST IN YOUR BILL BOARD, nikatuma kwa huyo Ian unadhani Ian atafurahi sanaa, na hivi mzungu, kama wanaomsulubu Cosby atatetemeka sio kidogo. Ohh my God! Hahahaa!

That is typical me and typical hood, sio lengo la hizi harakati.

SI AJABU ALIETUMA HIZO EMAIL MTU MDOGO SANAA HUMO VODAAA.

MZAHA MZAHA HUTUMBUA USAHAAAAA! HAHAHAAAA!

Endeleni kuniminya na kuniminyua mbupu naweza ona kwani kitu gani nika foward tu. Hahahahaa!

Anyway it will be ashame not even trying kwenda Media takeout na TMZ and Linda Ikeji nishampa exclusive, anangoja Debby amjibu DM zake kuwa kweli. THE HUSTLE TO CLEAN OUR SOCIETY IS REAL.

Hapo mnaniona shetani mwenye pembe sabaaaa. Hahahaaaaa!
 
Hichi ukisemacho Lara 1,na kwakuwa kinawagusa wanaume wengi wa kiafrika hasa tz basi wanaona kama hayapo... Ukwel acheni usemwe ata kama haukuonekana nyuma huko yaweza kuwa ndo muda wake.......
 
Anyway it will be ashame not even trying kwenda Media takeout na TMZ and Linda Ikeji nishampa exclusive, anangoja Debby amjibu DM zake kuwa kweli. THE HUSTLE TO CLEAN OUR SOCIETY IS REAL.

Hapo mnaniona shetani mwenye pembe sabaaaa. Hahahaaaaa!

Nilidhani umeenda CNN kumbe Linda[emoji23] [emoji23] [emoji23] .!!
Tuma na BBC
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!

Leo nimekaa imenibidi niseme, sababu nipo kikazi as advocate of gender equality and enforcer of women rights i was waiting all this time TAMWA, TAWLA, UTU Mwanamke tu etc waongeee hii issue ila hawakuongea.

Juzi baada ya Rommy Jones, Official Dj wa Diamond kumbaka mtu huko Sweden na kumsikiliza meneja wa Dai, I was hoping even once ange apologise kwa Debora au hata kwa jamii ila ndo kwanza kamkingia kifua Rommy na Dai. That is it.

As jamii naanza kuongea naomba kina Mange Kimambi, Mrekebisha tabia nao waongeee, serious women activists tuangalie hili swala kwa jicho la 3.

History ya Diamond women abuse goes way back, and all these abuses are documented katika tabloids and anahojiwa na kukubali kafanya, even in some interviews zipo online nimezikusanya anakiri kabisaa na anaona sifa kwa unyanyasaji wake dhidi ya wanawake. The best part is internet never forgets.

Ningenyamaza but it is not okay kwa musicians na vijana wadogo zetu kama Dai kuona it is okay kunyanyasa wanawake watakavyo, well it is not. Mwanamke lazima aheshimiwe.

Diamond alimnyanyasa sanaaa, sanaaa, sanaa Amisuu Maliki, yule Miss Ilala, shombe shombe. Alimsingizia katembea nae gazetini. Yule binti alihangaika kujisafisha sema ndo hivo mtu maarufu keshaamua kukuchafua utafanyaje?

Kwa watu wa asili ya kiarabu alimuharibia maisha mpaka yule binti kakimbia nchi, sijui yupo China sijui yuko wapi na kisaikolojia ashapotea. He got away with it sababu yule binti kama wengine hakuwa kasoma, wala hakuwa na nguvu ya kupambana na Diamond.

Akaja kumnyanyasa sanaa sanaa Wema Sepetu. Alikuwa anampa vipondo heavy mara kwa mara. Shame on you Wema kwa kuwa so blind in love kwa kushindwa kureport na kuona sawa tu vipondo ulivyoshushiwa. Na alikiri kwenye Amani (gazeti), picha ipo, makala ipo kuwa ndio anampiga Wema sanaaa, kwa sababu ni jeuri. Watu wakaona sawaaa tu, si kataka mwenyewe.

Interviews nyingi sanaa amekuwa anatoa verbal abuse dhidi ya ma ex wake, live on air. Anatukana wadada hakuna mfanooo. Sababu ma ex wake ndo hivo tena wadogo, shule ya wasiwasi wanashindwa kupambana nae, wanabakia victims tu. Shame on you Jokate kwa kushindwa kuchukua lawsuit againts hii woman abuser. Hizi interview zipo online na huyu mtu hajawajibishwa mpaka kesho.

Kwa wenzetu mtu mwenywe historia ya Diamond hafai kuwa endrosed na kampuni yoyote hata ya mfukoni. Shame shame shame on you Voda and RedGold kwa kumpa huyu mtu endorsement. Vodacom aliesapoti hii ishu ni jipu na atumbuliwe. Tigo wamechukua Joti very clean, hana harufu ya women abuse charges. Shame shame shame on you Voda. Line yangu nishaiflush chooni i cant roll with a company yenye women abuser as their brand ambassador. Hapa ni Tigo baby mwanzo mwisho.

Chris Brown alivompiga Rihana was stripped all his endorsement deals. He has spent 7 years apoligising, giving interviews, being on the front bench ku advocate alichofanya sio sahihi na kuelimisha jamii kwamba ule sio muelekeo na till date hana endorsement ya maana na some countries kama Australia amenyimwa visa entry for something he did 7 years ago.

I call all the women verbally or physically abused by Diamond to speak up even in their Instagram pages, msiogope backlash, we have to break the cycle of silence. Sababu wote mko hai find the courage to do so.

Hata waliokuwa abused na billy cosby it took them 20 years even more kuongea the minute wameongea he lost all his endorsements and was stripped all his honorary degrees and tittles sababu he is a noble citizen.

Goodluck Voda kwa kuwa na brand ambassador mwenye Dj mbakaji na alishawahi kumpiga Gf mpaka mimba ikatoka na aka-confess kwenye interview. What a brand image!

NA ILE MIBANGO YENU YENYE DJ MBAKAJI MWENYE RB VEPEEEEEEEEE! MFANYE MUITOE MAPEMAAAA HIZI HABARI ZIKO MBIONI KWENDA MEDIA MediaTakeOut.com™ 2014 ULE MBANGO UKIFIKA HUKU NA RB YA DEBBY NA HIVI HAWAJAMALIZANA NAE DOLLA ZAKE HAJALIPWA MJUE NI ITAKUWA GLOBAL SCANDAL NCHI KIBAO ONE BRAND!

HABARI ZIKO NJIANI KUELEKEA HUKO NA BLOG ZINGINE GOBAL FANYENI MTOE MIBANGO HIO. OOOOHHH!

ITAKUWA MAJIPU MAWILI;

1. KUKURUPUKA NA
2. KUTOCHUKUA HATUA MADHUBUTI KWA WAKATI

Ndugu sawa umeeleweka ,lakini mimi binafsi na kwa faida ya wengine ambao hawajui hiyo lugha uliyoitumia ni vema ukalirudia hili andiko lako kwa lugha inayoweza kusomeka kwa ufasaa,kama unataka kutumia kiingereza tumia mwanzo mwisho,na kama unataka kutumia kiswahili tumia pia mwanzo mwisho,tafadhali kuwa mkiongoni mwa watu wanaojivunia lugha yako hata kama umesoma sana lakini bado wewe ni mtanzania na lugha yako ni kiswahili
 
Nilidhani umeenda CNN kumbe Linda[emoji23] [emoji23] [emoji23] .!!
Tuma na BBC

HUHITAJI KUUA NZI KWA BOMU WALA MBU KWA KOMBORAAA. Huyu huyu Linda Ikeji tu. Huwezi kukimbia kabla hujatambaa.

SABABU NISHA PLANT IDEA YA RAPIST IN YOUR BILLBORD HAPA HADHARANI, NA HAYO MA EMAIL MTU AKITIA NIA, ANAMUULIZA TU MTU WA VODA, ANAWEZA KUYA FOWARD VILE VILE COZ VOTE HIVO VIKO PUBLIC MTU TU KUTIA NIA.

Sasa wanaweza kumtuliza bwana public haijastukaaa, najua yule mzungu, lazima atagoogle sasa NDO MI POST KAMA HII ITAANZA KUIBUKA WATEJA SUGU TUNALALAMIKA NA KU ILINK VODA MOJA KWA MOJA NA MTUHUMIWA. NA KUNYAAA HUMO HUMO.

See my point ya kutambaa kabla hujakimbia. Maana ingetangulia ile akagoogle na kukuta nothing kidogo ingempa moyo, ila trust me akigoogle sahivi atafurahiii, maana hii mada ishakuwa reposted sanaa. Hahahaaaaa.

HUU MCHEZO HAUTAKI HASIRA NA MZAHA MZAHA HUTUMBUA USAHA.

Ila all in all you resiously think hio michupi ya Mange? Hahahaaa! Mange most of the time anavaa BIKINI, THONGS, G STRING next mapya dada Zenat ajipange upya.
 
Mange tangazo walishashindwana THANKS TO YOU FOR NOTHING VODA WALIGOMA KUONGEZA HELA, MPARE JEURI KAGOMA KUPOKEA KIDOGO. Fanyeni party basi.

NA MIMI MTANISHUKUR ILE MIBANGO IKISHUKA FOR NOTHING OFCOURSE. HAHAHAAAAA!

Sasa kukashifu wanawake Mange ndo kulimfanya Romy abake au? hahahaaaaa!
Hoja sio kushindwana hoja ni kwamba ulikuwa unashadadia matangazo ya hao hao Vodacom kwa Mange wakati Mange anaongoza kwa kukashifu na kutukana watu matusi ya kutisha!! Na wengi anaowakashifu na kuwatukana ni hao hao wanawake unaojifanya hapa kuwaonea uchungu!

Lakini si Mange tu, hata wewe mwenyewe humu ushawahi kutoa posts za kumkashifu Zari!! Kwahiyo mwenye akili timamu anafahamu hoja yako wewe sio kutetea wanaodhalilishwa bali ni you against Diamond and probably na Zari na umeamua kutumia suala la Rommy kupenyeza agenda zako huku ukijaribu kuokoteza vijihabari kutoka magazeti ya udaku kuwa eti ndo hoja ya kuthibitisha Diamond nae since then amekuwa akidhalilisha wanawake!!

The good thing ni kwamba, ni zaidi ya saa moja sasa nimekuomba utoe hizo source lakini umeshindwa but still you expect Vodacom to end someone's contract basing on baseless allegations from anonymous!!
 
Ndugu sawa umeeleweka ,lakini mimi binafsi na kwa faida ya wengine ambao hawajui hiyo lugha uliyoitumia ni vema ukalirudia hili andiko lako kwa lugha inayoweza kusomeka kwa ufasaa,kama unataka kutumia kiingereza tumia mwanzo mwisho,na kama unataka kutumia kiswahili tumia pia mwanzo mwisho,tafadhali kuwa mkiongoni mwa watu wanaojivunia lugha yako hata kama umesoma sana lakini bado wewe ni mtanzania na lugha yako ni kiswahili

Nisaidie basi kutafsiri KINGLEZA SIJATHOMA MWENZIO UJUE, English nimejifunzia kwenye muvi tu ujue. CHONDE CHONDE BABA NAOMBA UNITAFSIRIE KINGEREZA KILICHO NYOOKA, CHONDE CHONDE FATA KANUNI ZA UANDISHI, VERY IMPORTANT PERSON ANAWEZA KUIGOOGLE HII MADA AFU AKASHINDWA KUPATA PICHA. Fanya hivo ndugu yangu, fanya hima himaaaa. Nakutegemea usiniangushe mzungu wangu.
 
See my point ya kutambaa kabla hujakimbia. Maana ingetangulia ile akagoogle na kukuta nothing kidogo ingempa moyo, ila trust me akigoogle sahivi atafurahiii, maana hii mada ishakuwa reposted sanaa. Hahahaaaaa.

Mi nataka kuona matokeo ya hizo plan zako sio kunisimulia elaboration za ndoto zako za mchana.. nataka nikuonyeshe power ya WCB against you stupid haters!! Lets play this game girl and see who comes out a winner..
 
Hahaa! So, it's like am waiting for Azam Marine boat to Zanzibar at Dar es salaam international airport!!

@lara1, please do me a favor! Do Nyani Ngabu's findings true? I'd love to know that version coz' my interest now is to find out whether this discussion worth interrupting my sleeping schedule!!

See, say no more 'cause you already know!
 
Hoja sio kushindwana hoja ni kwamba ulikuwa unashadadia matangazo ya hao hao Vodacom kwa Mange wakati Mange anaongoza kwa kukashifu na kutukana watu matusi ya kutisha!! Na wengi anaowakashifu na kuwatukana ni hao hao wanawake unaojifanya hapa kuwaonea uchungu!

Lakini si Mange tu, hata wewe mwenyewe humu ushawahi kutoa posts za kumkashifu Zari!! Kwahiyo mwenye akili timamu anafahamu hoja yako wewe sio kutetea wanaodhalilishwa bali ni you against Diamond and probably na Zari na umeamua kutumia suala la Rommy kupenyeza agenda zako huku ukijaribu kuokoteza vijihabari kutoka magazeti ya udaku kuwa eti ndo hoja ya kuthibitisha Diamond nae since then amekuwa akidhalilisha wanawake!!

The good thing ni kwamba, ni zaidi ya saa moja sasa nimekuomba utoe hizo source lakini umeshindwa but still you expect Vodacom to end someone's contract basing on baseless allegations from anonymous!!

HAHAHAAAAAAAAAAA! Naona umerudi si uliamua kunyamza wewe. HAHAHAAAA.

2 WRONGS DONT MAKE A RIGHT. Voda walishatambua makosa yao Thanks to you for nothing, na mimi shabiki maandazi i was wrong kwa kutokuona makosa ya Voda, the nice part is wamejitambua na KUSOLVE hilo. Sasa kwasababu nilishadadia mimi mtu mdogo Lara 1, mteja wa buku buku NDO WAACHE TANGAZO LAO NA RAPIST sababu mshangiliaji ndo kapoint out. Hahahahaaa! Interesting.

Zali nishamuomba msamahaaa, uungwana ni vitendo na nimekubali kule kulikuwa kuingilia uhuru binafsi hata siku haijaisha toka niombe huo msamaha tena humu humu YET STILL EVEN AFTER KUOMBA HUO SO CALLED MSAMAHA STILL BANGO LA VODA TZ LINA WANTED FUGITIVE FOR RAPE CHARGES IN SWEEDEN UNAWASAIDIAJE VODA SASA HAPO?
 
Mi nataka kuona matokeo ya hizo plan zako sio kunisimulia elaboration za ndoto zako za mchana.. nataka nikuonyeshe power ya WCB against you stupid haters!! Lets play this game girl and see who comes out a winner..

Matokeo ndo utulie sasa sio kupaparika, kesi ya Bill Cosby yenyewe ilichukua miaka arobaini US alafu mwanangu, je bongo si miaka hata 100 ukute. Sasa haraka ya nini? NO HURRY IN AFRICA, HAKUNA MATATA!

Power ya WCB mi naijua sanaa, I AM A FAN, JUZI TU NIMETOKA KUMPIGIA HARMONIZE DEBE ASIPOPEWA TUZO WALAU 5 NA KILLI AWARDS NAANDAMANA. Cheki nyuzi zangu za nyumaa, nilitokwa povu kweli watu kusema kijana hana kipaji, weeeeeee Ayooola tenaa. Kishingo upande jana nikaona kamuita Dee jay gani sijui Dj anae zingua jamaniii mbona Harmo hivo tenaaa.

POWER YA WCB NAIJUA SANAAAA. ILA RAPE CHARGES MY DEAR IS NOT A JOKE. Huo mda wa kunionesha mimi power malizaneni na Debby. Hahahaaa DONT FORGET MIMI MTU MDOGO SANAA SINA EFFECT KWENYE JAMIII. NYIE TENA WCB NI UNTOUCHABLES.
 
HAHAHAHAAAAAAAA! IRRELAVANT KWAKO BUT VERY VERY RELEVANT KWA VODA WAJIREFECT HIZO KAMPUNI ZINGINE KWANINI ZILIFANYA HAYOOOO. Na Debby SIO MU ALIEJITOKEZA KUTUHUMU AU MZIMU ULE NA MPAKA MANAGEMENT IKATOA TAMKO KAMA MANAGEMENT SIO MTU YEYOTE WA WCB AMBAE SIO MSEMAJI WAO ALIKURUPUKA KUJIBU TUHUMA ZA DEBBY? NAOMBA UITAFUTE HIO INTERVIEW.

Amani hawakuamka asubuhi kutoa hio story ya UBAKAJI, ALIANZA VICTIM KUSHARE KWENYE INSTAGRAM YAKE OF WHICH ILIKUWA OPEN LAST TIME I CHECKED NA SCREEN SHOT ZIKO NYINGI SANAA. AKATOA MEDICAL REPORT NA RB HUMO HUMO KWENYE INSTA. OF WHICH VODA WAKIHITAJI KUJIRIDHISHA JUU YA LILE BANGO LAO WAMESHAJIRIDHISHA BY NOW. Ndo maana nakwambia wewe hii ishu umeidandia tuuu hujui, hata interview hujasikiliza yule meneja alijibu nini yaani umeiona hapa leo ukaivagaa mzima mzima.

Hapa sio mahakamani wala silazimiki kutoa ushuhuda wowote wa kumtia hatiani yoyote mimi nimewakumbusha kama mteja hawa VODA kuwa kuna mbakaji mwenye rb valid ambae ni fugitive kwenye bango lao moja. Kama mteja tu mwenye nia njema kwa kampuni. Sasa kama wanajali brand yao it enough wao kutumia RESOURCES zao kujiridhisha au wangoje aje kudakwa na interpol AIBU IZIDI KUWA KUBWA. Hahahaaa. Na tena itaonesha tarehe flani mteja Lara 1 wa vocha za buku directly na publicly alituambia kabisaaa tukachuna au whatever.

Ndo maana nikakwambia hii ishu huijui na hio interview ya Dai alivowavua nguo mademu zake wote hukuisikilizaa, ilikuwa na backlash balaaa, you simply have no clue. Iko wewe i google itakuja. Times have changed all you have to do is type key words and enter.

Mimi nimekwambia madai yangu yoote yapo google, kwa leo tunaanza hvio, Voda wakichuna TUTAANZA KUKUMBUSHANA TU KWA NJIA NJEMA NA KIMOJA KIMOJAAAAA. HARAKA YA NINI? RELAXXXXXXX! HII SIO KESI YA JINAI WALA MADAI HII NI KESI YA KIMAADILI.
Mara ya kwanza nilikuuliza ni nini kimekufanya udhani sijaona hiyo interview hujajibu but the very same irrelevant information!

Alichoongea Sallam ni kwamba Rommy amekuwa na mawasiliano na yule demu for almost 2 years na walipofika Sweden yule demu akamfuata Rommy akiwa amemletea zawadi ya simu!!

Putting other cra'ps aside, baada ya hizo allegations Sallam akakaa na huyo demu ambae alitaka kuwa compensated $12K! Sina haja ya kueleza yote ila tu nakushangaa unavyong'aninia kwamba hizo habari nazikuta hapa wakati nazifahamu from the very first day!

Labda nikujuze jambo moja; mimi jukwaa langu kuu JF hii ni entertainment and celebrity and it didn't happen by chance coz' even what I do in real world relates to forums of my interest hapa JF kwahiyo acha kung'ang'ania vitu usivyovijua!

Kwamba hapa sio mahakamani ingawaje ulidai una ushahidi; unathibitisha jambo moja tu... blah blah coz' kama uliona ni Mahakamani pekee ndiko unaweza kutoa evidence; sasa nini kilikufanya ulete hoja yako JF !!

Anyway, I ain't that kind of a person who loves arguing with no evidence... mie sio mfuasi wa habari za kuokoteza vichochoroni... so, stay blessed!!!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!

Leo nimekaa imenibidi niseme, sababu nipo kikazi as advocate of gender equality and enforcer of women rights i was waiting all this time TAMWA, TAWLA, UTU Mwanamke tu etc waongeee hii issue ila hawakuongea.

Juzi baada ya Rommy Jones, Official Dj wa Diamond kumbaka mtu huko Sweden na kumsikiliza meneja wa Dai, I was hoping even once ange apologise kwa Debora au hata kwa jamii ila ndo kwanza kamkingia kifua Rommy na Dai. That is it.

As jamii naanza kuongea naomba kina Mange Kimambi, Mrekebisha tabia nao waongeee, serious women activists tuangalie hili swala kwa jicho la 3.

History ya Diamond women abuse goes way back, and all these abuses are documented katika tabloids and anahojiwa na kukubali kafanya, even in some interviews zipo online nimezikusanya anakiri kabisaa na anaona sifa kwa unyanyasaji wake dhidi ya wanawake. The best part is internet never forgets.

Ningenyamaza but it is not okay kwa musicians na vijana wadogo zetu kama Dai kuona it is okay kunyanyasa wanawake watakavyo, well it is not. Mwanamke lazima aheshimiwe.

Diamond alimnyanyasa sanaaa, sanaaa, sanaa Amisuu Maliki, yule Miss Ilala, shombe shombe. Alimsingizia katembea nae gazetini. Yule binti alihangaika kujisafisha sema ndo hivo mtu maarufu keshaamua kukuchafua utafanyaje?

Kwa watu wa asili ya kiarabu alimuharibia maisha mpaka yule binti kakimbia nchi, sijui yupo China sijui yuko wapi na kisaikolojia ashapotea. He got away with it sababu yule binti kama wengine hakuwa kasoma, wala hakuwa na nguvu ya kupambana na Diamond.

Akaja kumnyanyasa sanaa sanaa Wema Sepetu. Alikuwa anampa vipondo heavy mara kwa mara. Shame on you Wema kwa kuwa so blind in love kwa kushindwa kureport na kuona sawa tu vipondo ulivyoshushiwa. Na alikiri kwenye Amani (gazeti), picha ipo, makala ipo kuwa ndio anampiga Wema sanaaa, kwa sababu ni jeuri. Watu wakaona sawaaa tu, si kataka mwenyewe.

Interviews nyingi sanaa amekuwa anatoa verbal abuse dhidi ya ma ex wake, live on air. Anatukana wadada hakuna mfanooo. Sababu ma ex wake ndo hivo tena wadogo, shule ya wasiwasi wanashindwa kupambana nae, wanabakia victims tu. Shame on you Jokate kwa kushindwa kuchukua lawsuit againts hii woman abuser. Hizi interview zipo online na huyu mtu hajawajibishwa mpaka kesho.

Kwa wenzetu mtu mwenywe historia ya Diamond hafai kuwa endrosed na kampuni yoyote hata ya mfukoni. Shame shame shame on you Voda and RedGold kwa kumpa huyu mtu endorsement. Vodacom aliesapoti hii ishu ni jipu na atumbuliwe. Tigo wamechukua Joti very clean, hana harufu ya women abuse charges. Shame shame shame on you Voda. Line yangu nishaiflush chooni i cant roll with a company yenye women abuser as their brand ambassador. Hapa ni Tigo baby mwanzo mwisho.

Chris Brown alivompiga Rihana was stripped all his endorsement deals. He has spent 7 years apoligising, giving interviews, being on the front bench ku advocate alichofanya sio sahihi na kuelimisha jamii kwamba ule sio muelekeo na till date hana endorsement ya maana na some countries kama Australia amenyimwa visa entry for something he did 7 years ago.

I call all the women verbally or physically abused by Diamond to speak up even in their Instagram pages, msiogope backlash, we have to break the cycle of silence. Sababu wote mko hai find the courage to do so.

Hata waliokuwa abused na billy cosby it took them 20 years even more kuongea the minute wameongea he lost all his endorsements and was stripped all his honorary degrees and tittles sababu he is a noble citizen.

Goodluck Voda kwa kuwa na brand ambassador mwenye Dj mbakaji na alishawahi kumpiga Gf mpaka mimba ikatoka na aka-confess kwenye interview. What a brand image!

NA ILE MIBANGO YENU YENYE DJ MBAKAJI MWENYE RB VEPEEEEEEEEE! MFANYE MUITOE MAPEMAAAA HIZI HABARI ZIKO MBIONI KWENDA MEDIA MediaTakeOut.com™ 2014 ULE MBANGO UKIFIKA HUKU NA RB YA DEBBY NA HIVI HAWAJAMALIZANA NAE DOLLA ZAKE HAJALIPWA MJUE NI ITAKUWA GLOBAL SCANDAL NCHI KIBAO ONE BRAND!

HABARI ZIKO NJIANI KUELEKEA HUKO NA BLOG ZINGINE GOBAL FANYENI MTOE MIBANGO HIO. OOOOHHH!

ITAKUWA MAJIPU MAWILI;

1. KUKURUPUKA NA
2. KUTOCHUKUA HATUA MADHUBUTI KWA WAKATI
umegeuza umbea kuwa mtajiii,,,shame on you.... Wema anapigwa afu hasemi muda huo anapigwa ulikuwepo? yaaan mibongo bna jitu linaish changanyiken huko linajifanya habar za Sinza zote linazjua...hahhaha Cheza na mwingne Sio Chibu Dangoteee........
 
Back
Top Bottom