Kabla hawaja anzisha hiyo biashara walisha kaa chini na kupiga hesabu kuwa kuna watu kama wewe. Hivyo wanajua wapi kwa kuwashikia. Endelea kukenua meno ukidhani ww ni mjanjausinitishe ww bana au na ww ndo hao hao wanaosambaza taarifa za wateja wao bila ruhusa zao?? binafsi sitarajii kukopa kwaiyo bado nimewapiga tuu..π
Au we unaonaje best?Kwamba pori la katavi bado kubwa..? Hahahah
sasa watanishikaje we vipi eti? kuna app wamenip 20000 wngine 50000 wengine buku saba kuna wa elfu 80000 sio app moja ani mtu anitafute kisa buku 7 πππKabla hawaja anzisha hiyo biashara walisha kaa chini na kupiga hesabu kuwa kuna watu kama wewe. Hivyo wanajua wapi kwa kuwashikia. Endelea kukenua meno ukidhani ww ni mjanja
Me ushanitisha tayari. Na uoga wangu huu, nishaanza ku behave.Au we unaonaje best?
Waliendelea kutuma jumbe za udhalilishaji kwa ndugu?h
hapana walishaacha kitambo hili sekeseke ni la last year ila tulisumbuana hadi huu mwaka mwanzoni
Bank zinahitaji security tu ,wewe ukipelekeka hati ya nyumba wanachoangalia ni original?Kama ndio utapewa loan hata kama unadaiwa na duniaSawa kama hutarajii kukopa bank za tanzania maisha Yako yote sawa ila kama utahitaji kukopa Kaa ukijua hao jamaa washapeleka record zako sababu uliweka nida watanzania wengi hawajui hii kitu na hayo madeni yanapanda Kwa riba Kila mda mliokubalia
Acha basi!!! ππππMe ushanitisha tayari. Na uoga wangu huu, nishaanza ku behave.
Kipindi unalipa hela kwa walati uliwahi kupata malalamiko yeyote kwa ndugu zako kuhusu kusumbuliwa na meseji za wadeni wako?namba sijawapa na sio za wadhamini niliowaweka
Kipindi unalipa hela kwa walati uliwahi kupata malalamiko yeyote kwa ndugu zako kuhusu kusumbuliwa na meseji za wadeni wako?
kiboko na mimi nani kiboko?πππ
Wewe kiboko
πππ
Jamaa anatuonaje sijui! πHahaaaaa, nzi mwenzio wa kijani anatuokota. Anadhani wote tu UVCCM.
Siyo kughafilika bali ni kughadhibika, yaani kuchukizwa. Kughafilika ni kusahau kituBinafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua,
Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa
Tabu na mateso vilianza pale niliposhindwa rejesha pesa yao kwa wakati tena hata wiki haikufika lakini chamoto nilikiona, nilipokea meseji za watu nnaowaheshimu ikiwemo wazazi kuwa natangazwa mimi tapeli na nimewaweka wao kama wadhamini, nikaja kujua ni wale watu wa app wanatumia namba za watu wangu wakati sikuwapa hizo namba,
Kweli nilichukizwa kwa kifupi nilikwazika na kughafilika sana na nikaamua sasa kama mbwai iwe mbwai liwalo na liwe siwalipi na nikaamua sasa nilkope app zote niwaonyeshe kazi kuna app walizonipa kuna app walinitosa mana nilichukua hata kama ni buku 7 twende ππ.
Usiulize nilikuwa napigiwa simu ngapi kwa siku.
Yule alivyonitangaza tu ndo ikawa ndiyo kama ashajilipa.Huyo m loan riba ni 34% halafu ni siku 5 tu unaambiwa tayari.
Ulifanyeje kuwakwepa?
Walinidhalilisha nilipata hasira sanaππππππmkuu umetisha sana dawa ya moto ni moto au sio
Safi sana umewanyooshaWalinidhalilisha nilipata hasira sana
Sometime nahisi huenda ni miradi ya hao hao vigogo pia, hasa pale BOTHatuna serikali kwa sasa mkuu.Huu upuuzi huenda una baraka za vigogo wa hii serikali na bila shaka wananufaika na hii biashara.