Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Mkuu ungei reset simu ili app yao ifutike na Google account yako ifutike.
Maana kupitia Google acc yako ambayo umri allow wapate access katika simu yako wana uwezo wa kuona contacts na hadi picha zako.
Kaka reset simu wanaweza kuaibisha zaidi.
 
Hawa watu wa mikopo ya mtandaoni washenzi mkuu.
Ikichelewa kidogo wao hawataki mazungumzo ni kukufokea na kutukana na ukizubaa washaku post we tapeli au malaya,Je hiyo ni haki!?
 
Hawez fahamu mamb kama hayo mtoa maada.. kichwan hamna kitu uyo yy anaona amewakomoa kumbe anajikomoa...

Lakin kwa akili za mtoa maada ataitaji mkopo wa benki ampeleke wap..hawez kuwa na mawazo ya mikopo ya benki
 
Hapo pesa Yao ushatatulia matatizo Yako ndio wamekuwa wasumbufu..

Acha utapeli lipa pesa za watu!!
 
Pale katika kujiunga kuna kuandika adress,na unapoipakua hiyo app ya mkopo inakutaka uweze ku allow access to contacts,files and location.
Nadhani hapo katika location unafahamu kazi yake.
Pia hao jamaa huwa hawataki kuongea wao wanaanza na fujo directly.
Yani chelewa hata masaa mawili washakufanyia unyama aisee.
 
Acha ujuaji mwingi wewe.
Benki hawawezi kukosa kukopesha kisa eti kideni cha pesa X au kisa kitangazo cha pesa X kuwa wewe tapeli.
Ukienda benki watakutajia vigezo ukitimiza wataitazama dhamana basi mkopo unaingia kwako.

Pia acha mihemko kama mtoto wa kike kiasi unamuita mwenzio mpumbavu,we unaona ni sawa kumtangaza mtu tapeli na kuvunja privacy yake!?
Hivi hujui kuwa hilo ni kosa la jinai!?
Hivi hujui hao wawili wakisimama mahakamani mtoa mada anashinda kesi na atatakiwa kulipwa fidia!?

Ujuaji mwingi kumbe dunderhead!
 
Nabishana au nakujibu?
Ndiyo nadaiwa na swala la kulipa sio leo au kesho, ila uhalisia ni kwamba nimekopa nmb nikiwa nadaiwa na tigo na voda.
Na hawajawahi kuniuliza hayo madeni zaidi ya kukagua vitu vyao muhimu na mimi kupeleka nyaraka muhimu.
Basi kama ni mkopaji wa Benki kalipe huko kwenye app. Inawezekana wakati unakopa NMB basi taarifa hizo zingine hazikuwa zimefika CREDIT REFERENCE BUREAU.

Taarifa hizo zikifika Credit score zako zitashuka na utakuwa rated high risk.Benki kuu imeweka miongozo kwa mabenki nini cha kufanya kama wamepokea mteja wa mkopo ambaye ni high risk.
 
Acha uongo wewe. Unatuonaje?
Mkuu husimbishie mdau. Niongeze tu, siku hizi kampuni kubwa kidogo kabla hazijamwajiri mtu basi nao hupita huko Credit reference bureau kutazama usafi na uaminifu wa mwajiriwa tarajiwa. Wakikuta hulipi huko MPAWA basi hawakuchukui.
 
izo ni shida zake kama aliajiriwa asumbue watu mimi hayanihusu mana alitambulisha namba kama ya kampuni 😁😁
Wewe ndio una wenge hiyo namba ninayo toka 2020 na haikuwa ya kampuni.
Ninaongea ninachokijua.Labda kama yeye alikosea kutumia private number kwa kazi lakini hiyo namba ni yenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…