Pamba yaahidiwa 100million na GSM kama itaifunga Yanga

...hakuna mwenye akili timamu ataitilia maanani taarifa hii ya kijinga
 
Hujaelewa mkuu...hapa ni kuwa pamba watapewa pesa wakiifunga yanga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Tatizo yanga ukicheza naye unaanza na Kono la nyani ,je inawezekana Pamba waifunge yanga goli 6?
 
Hadharani ukinipiga kwa knockout nakupa milioni 100 nyuma ya pazia ukikubali nikupige tu hata kwa pointi nakupa milioni 200
 
MLiobet YANGA WIN

MJIPANGE MAJARIBU HAYO

MWENZENU HAPO ANAINGIZA BILLIONS YANGA DRW NYIE MNAISHIA KUNYOA MA..Z
 
Unachukua pesa yako unaiweka bank, unakuja ujumbe wa Sms unashangilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…