Pamba yaahidiwa 100million na GSM kama itaifunga Yanga

Pamba yaahidiwa 100million na GSM kama itaifunga Yanga

[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mfanyakazi wa wasafi aseme anamkubali zaidi ali kibakuli na n'jomba nchumali, kuliko nyandomo...
Hathubutu.. [emoji1787][emoji23]
No permanent friend... when it comes to economic interests

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
1738430659798.jpg
 
Sijui kwanini mwanza siku Izi vipaji HALISI vimepotea.

Enzi za JIMBO CUP ya DIALLO kuna vipaji vilizalishwa balaa Sanaa..

*wapi NATIONAL FC hii timu ilikiwasha Sana kina EMANUEL KINGU, LUBIGISA MADATA, BONIFACE PAWASA n.k wapo wengi Sanaa.

*Wapi IGO BOYS vijana wa igoma Hawa ni noma WALIKIWASHA sawa sawa

*CHENGA MBILI KIATU FC Hawa jamaa walikinukisha hatare Sanaa wametoa wachezaji wakubwa wengi.

*CHANNEL FC walikipiga haswa haswa

*BARCELONA Hawa jamaa maskani yao ni hapo kota za polisi mabatini ilikua ni chama la maana.

*WAJUGUNA FC hili chama uhuni MWINGI wazee wa vurugu fujo na mpira wa kukamiana wababe Sana sijui waliishia wapi.

NB.
Ukifanya scouting nzurii pale mwanza Kuna talent Sana na Haitakua tena sehemu ya yanga na Simba kuchukua point Bure Bure pale CCM KIRUMBA kule kina Aziz k wapo kibao

For years inasemwa pamba ilikua ni tawi la yanga "mdogo ake yanga ni pamba" mdogo ake Simba ni TOTO AFRICANS

All in all, ngoja tuone Kama MENDE ataangusha KABATI.
Nyakati zimebadilika mkuu....now wazazi wanasisitiza tu elimu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.

Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]

Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
kumekucha
 
[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.

Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]

Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hata wakifungwa si wanapewa hela tu.
 
[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.

Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]

Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Duh! Kazi kwao Pamba
 
Sijui kwanini mwanza siku Izi vipaji HALISI vimepotea.

Enzi za JIMBO CUP ya DIALLO kuna vipaji vilizalishwa balaa Sanaa..

*wapi NATIONAL FC hii timu ilikiwasha Sana kina EMANUEL KINGU, LUBIGISA MADATA, BONIFACE PAWASA n.k wapo wengi Sanaa.

*Wapi IGO BOYS vijana wa igoma Hawa ni noma WALIKIWASHA sawa sawa

*CHENGA MBILI KIATU FC Hawa jamaa walikinukisha hatare Sanaa wametoa wachezaji wakubwa wengi.

*CHANNEL FC walikipiga haswa haswa

*BARCELONA Hawa jamaa maskani yao ni hapo kota za polisi mabatini ilikua ni chama la maana.

*WAJUGUNA FC hili chama uhuni MWINGI wazee wa vurugu fujo na mpira wa kukamiana wababe Sana sijui waliishia wapi.

NB.
Ukifanya scouting nzurii pale mwanza Kuna talent Sana na Haitakua tena sehemu ya yanga na Simba kuchukua point Bure Bure pale CCM KIRUMBA kule kina Aziz k wapo kibao

For years inasemwa pamba ilikua ni tawi la yanga "mdogo ake yanga ni pamba" mdogo ake Simba ni TOTO AFRICANS

All in all, ngoja tuone Kama MENDE ataangusha KABATI.
Naamini vipaji vipo ila Mwanza ni kama hawataki kuipa kipaumbele kwa sasa wakati nguvu kubwa ingewekwa pale ingefaidisha mikoa zaidi ya 5.

Badala ya kujenga uwanja wa kisasa pale penye vipaji na historia ya kuzalisha vipaji kama unavyosema, wanaupeleka kwa wadudu wa Arusha.
 
[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.

Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa 100million[emoji23]

Makolo mulibhwanji....View attachment 3250523

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ndio yale yale tunayosema wajinga wa utopolo wanapinga. Jaribu kufikiria Yanga anacheza na Pamba mechi ya mwisho inayoamua Bingwa wa Ligi. Hizo hela anazojifanya kuwahaidi Pamba washinde si ndizo watakazopewa ili wafungwe! Hiyo fair game itatokea wapi hapo!? Ni mwendo wa kununua tu.

Haiingii akilini timu icheze dhidi ya Simba ihaidiwe mamilioni ili waifunge Simba, wakati ikicheza na timu nyingine haihaidiwi pesa, cha ajabu ukimfunga Simba na ukizifunga timu nyingine mfano KMC bado unapata pointi 3 zile zile, hapo hamuoni kuna shida sehemu.!? Huo ni upangaji matokeo wa wazi wazi kwani kuifunga Simba ni kumsafishia njia yule mpinzani wake akachukue ubingwa ndio maana wakicheza na timu nyingine tofauti hawahaidiwi fedha.
 
Back
Top Bottom