johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Hata Trump walisema hawezi kushindana lakini uchaguzi ulipofika aliwashangaza wengi!Duuh . . . he is not a presidential material at all. Hana kabisa hiyo karma. CHADEMA watafute mwingine sio huyu kama kweli wanataka kushindana
Sawa bwashee tukutane October 2020Watu hawachagui mvuto bwashee!
Halafu nini kikatokea Jo..Bwashee nilijiunga Chadema 1993 nadhani wewe ulikuwa bado unajifunza miziziology kule Ugweno.
Hahahaaaa........!
Hivi kama jpm aliweza nani atashindwa Mkuu?Duuh . . . he is not a presidential material at all. Hana kabisa hiyo karma. CHADEMA watafute mwingine sio huyu kama kweli wanataka kushindana
yaani huyo jamaa sio presidential outfit kabisa, atafutwe mtu aliyekuzwa upinzani hata kama ni kuunga mkono chama kingine lakini sio nyalandu aliyetokea ccm. yatarudiwa yale ya 2015 ndo mtachoka zaidiHata Trump walisema hawezi kushindana lakini uchaguzi ulipofika aliwashangaza wengi!
Huenda naye akawepo, chama kitaamua.uzuri Wa chadema Ni demokrasia sio ccm.Mwamba si apande mwenyewe?mbona mkuu akitoaga hotuba na yeye anatoa ya kwake...aende kwenye mbio sasa na yeye
Sawa, vikao vitaamua.yaani huyo jamaa sio presidential outfit kabisa, atafutwe mtu aliyekuzwa upinzani hata kama ni kuunga mkono chama kingine lakini sio nyalandu aliyetokea ccm. yatarudiwa yale ya 2015 ndo mtachoka zaidi
Nyarandu wataparuana na Lisu
Lakini hawapeani sumu kwenye vikaowacha atumie haki yake ya kikatiba na tusisahau chadema ni chaka la waovu!
Hawana mgombea urais anayekubalika ndo maana wameamua kutembeza bakuli kwa mgombea urais waone Nani ataingia kwenye Hilo bakuli.Kiukweli, chadema wametenda haki kuruhusu demokrasia kwenye kugombea urais sio maccm
Muulize mbunge Sungura anayo majibu yote!Lakini hawapeani sumu kwenye vikao
asante mkuu, tusubiriSawa, vikao vitaamua.
Jiwe anakula na mtoto wa dada kule wapi???? Kule wapi tena mlipaji Mkuu, wanapiga hela kiufundi!Nitajie mwanasiasa mmoja tu mwenye historia nzuri!
Acha ushamba,,kutia Nia Ni kugeuka?,tatizo la wabongo nafasi za uongozi wanazigeuza za kuganga njaa,,Ina maana anamgeuka rafiki yake wa karibu yule yule wa kwao anaeishi nje kimatibabu (kama inavumyosemekana(
ππππ mkuu ccm wamechanganyikiwa hawaelewi , wanaona nyota tu !Demokrasia safi. JARIBU CCM UONE MOTO! MEMBE UKO WAPI? Tuna mgombea wetu by Polepole! Erythrocyte
By the way, Nyarandu aligombea CCM last time Urais?