Dodoma si wanaishi wanadamu? Ishi kama waoKwamba nikomae tu kwenye jua hata kama kuna kivuli pembeni kisa tu mimi dume. Nyie ndio wale kipindi cha ujana mlikuwa mnajisifia eti "mi mgumu bwana". Mnajinyima starehe kwa kujikomoa wenyewe
Humidity is a concentration of water vapour present in the air.Kwahiyo jua la Dar ni Afadhali kuliko Dodoma???
Dodoma si wanaishi wanadamu? Ishi kama wao.
Yaani sanaaa.Nchi ina walalamishi balaa!
Dubai by nature ni jangwa tupu lakini leo hii ndipo centre kuu ya biashara na papo njeeema hatari kimaendeleo tena ni top 50 ya majiji bora duniani.Wewe mjinga israel imebadilisha jangwa kuwa nchi inayozalisha Hadi akiba ya chakula leo unazingumzia dodoma ambayo inapata mvua karibu miezi mitatu mfululizo kwa mwaka
Mkiambiwa waafrika akili zenu zipo matakoni wewe ndio mfano namba moja
Acha ushamba weweWagogo wenyewe wanaikmbia, wanakimbilia dar kupata unyunyu nyie mtayaweza hayo mavumbi ya kitiana upofu?
Hakika unachosema ni sahihi kabisa. Jua la dodoma linachoma kama pasi. Kuhusu maji nadhan ni vile dodoma haina access ya mito mikubwa. Maji ya mito ndio mazuri yakisafishwa.Hali ya hewa ya dar inakufanya mwili upumue , ni kweli kuna joto lakini UNATAKAKA NA KUNAWIRI, Jua halifinyishi macho(haliumizi macho). Halafu kila mtu dar anaonekana ANATABASAMU LA USONI. Ila Dodoma sasa, yaani unaweza kufikiria kila mtu amekasirika au amechoka kumbe ni sababu ya hali ya hewa. Mimi labda mambo ya ajira ndio yaniweke Dom, zaidi ya hapo hapana kwa kweli.
Jua la dar ni mwanafunzi wa jua la dom, acha mkuu sio mchezoKwahiyo jua la Dar ni Afadhali kuliko Dodoma???
Yan. Sijui bora ingekuwa singida. Ama kama unaenda iringa. Ni shida.Ni kweli Dom inafubaza na kuchakaza sura of course ngozi yote ya mwili lazima ichakae na kupoteza nuru sababu zipo kadhaa, hali ya hewa lile joto kavu yaani hakuna humidity, joto/jua linachoma hata mtoto anakuwa na sura ya kizee. Kukiwa na kabaridi pia ni kale kakavu kanakosababisha mtu awe na ngozi kama ya kenge hata akitumia lotion ya viwango best duniani inadunda lakini ndiyo kumeshakuwa makao makuu.
Vimbi lake utadhani ni sumu ya kuchakaza ngozi lakini ndiyo pameshakuwa makao makuu ya nchi, dah..! Hivi Mchonga alikuwa hastui kijiti?
We ushawahi ona mgogo mjanja? Wacha ulofa we mjukuu wa matonyaAcha ushamba wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kweli Dom inafubaza na kuchakaza sura of course ngozi yote ya mwili lazima ichakae na kupoteza nuru sababu zipo kadhaa, hali ya hewa lile joto kavu yaani hakuna humidity, joto/jua linachoma hata mtoto anakuwa na sura ya kizee. Kukiwa na kabaridi pia ni kale kakavu kanakosababisha mtu awe na ngozi kama ya kenge hata akitumia lotion ya viwango best duniani inadunda lakini ndiyo kumeshakuwa makao makuu.
Vimbi lake utadhani ni sumu ya kuchakaza ngozi lakini ndiyo pameshakuwa makao makuu ya nchi, dah..! Hivi Mchonga alikuwa hastui kijiti?
HASHIMU LUNGWE alisema atahamishia bahari Dodoma mkamuona hafai.Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo.
Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri.
Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
π ππππ. Ninachoamini ingekuwa nchi za Ulaya au hata Misri ingewezekana kupeleka maji Dodoma kutoka lake Victoria au hata maji ya Mto.HASHIMU LUNGWE alisema atahamishia bahari Dodoma mkamuona hafai.
kanaogopa kupauka.Ndo maana Rais wa sasa anakaa hapa siku 2 kisha anapaa Dar wiki, nje siku 5 kisha Zenji siku 4. Hapataki kabisa.