Pamoja na Dodoma kuwa Katikati ya nchi lakini bado haikupaswa kuwa Makao Makuu

Pamoja na Dodoma kuwa Katikati ya nchi lakini bado haikupaswa kuwa Makao Makuu

Kwamba nikomae tu kwenye jua hata kama kuna kivuli pembeni kisa tu mimi dume. Nyie ndio wale kipindi cha ujana mlikuwa mnajisifia eti "mi mgumu bwana". Mnajinyima starehe kwa kujikomoa wenyewe
Dodoma si wanaishi wanadamu? Ishi kama wao
 
Nikiingia Dodoma ndani ya masaa mawili , mdomo unakuwa umekwishachanika chanika.
 
Kwa location ya mji mkuu singida ingekuwa the best. Mji umepambwa na maji. Temperature haizidi 27°c annually. Connectivity na miji mingine Iko vizuri. Ukisogea ilongero unakutana na ziwa kisisi,ukitaka kwenda hospital ya hydom, au st Gaspar ni chap tu, nenda puma ardhi yenye kutoa nyanya, miwa na matunda mbalimbali. Ee bwana singida inazalisha mpunga, alizeti,asali na vitunguu. Singida Kuna kuku wakienyeji. Madini yapo yakutosha bwana,mgodi mkubwa wa shata gold mine, mpambaa, msigiri nk. Hata hiyo Dodoma inategemea Kila kitu toka singida.piq singida ni katikati ya Nchi, hata hiyo alama ya katikati ya Nchi Iko sgd ( sukamahela). Kiujumla singida ndiyo ingefaa zaidi kuwa makao makuu.kama maji kutoka ziwa Victoria yangefika igunga, tayari Kuna bonde la wembere linalotoa mpunga. Kilimo Cha umwagiliaji kingefana. Mji ungepunguza gharama za maisha. Ndiyo maana singida wanaishi wazungu wa singida big stars. Yaani wakichoka wanaenda Arusha. Siyo majoto joto Kila mahali.
 
Wewe mjinga israel imebadilisha jangwa kuwa nchi inayozalisha Hadi akiba ya chakula leo unazingumzia dodoma ambayo inapata mvua karibu miezi mitatu mfululizo kwa mwaka

Mkiambiwa waafrika akili zenu zipo matakoni wewe ndio mfano namba moja
Dubai by nature ni jangwa tupu lakini leo hii ndipo centre kuu ya biashara na papo njeeema hatari kimaendeleo tena ni top 50 ya majiji bora duniani.

Kweli Waafrika tuna tatizo kiakili si bure [emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wagogo wenyewe wanaikmbia, wanakimbilia dar kupata unyunyu nyie mtayaweza hayo mavumbi ya kitiana upofu?
 
Hali ya hewa ya dar inakufanya mwili upumue , ni kweli kuna joto lakini UNATAKAKA NA KUNAWIRI, Jua halifinyishi macho(haliumizi macho). Halafu kila mtu dar anaonekana ANATABASAMU LA USONI. Ila Dodoma sasa, yaani unaweza kufikiria kila mtu amekasirika au amechoka kumbe ni sababu ya hali ya hewa. Mimi labda mambo ya ajira ndio yaniweke Dom, zaidi ya hapo hapana kwa kweli.
Hakika unachosema ni sahihi kabisa. Jua la dodoma linachoma kama pasi. Kuhusu maji nadhan ni vile dodoma haina access ya mito mikubwa. Maji ya mito ndio mazuri yakisafishwa.

Hayo ya chumvi hata uyachemshe yanazidi kuwa kama dawa. Ni kasheshe kwa kweli. Unakuta mwili unapambana mno kufight hizo hali. Haupumziki jumlisha na harakati za maisha.
 
Ni kweli Dom inafubaza na kuchakaza sura of course ngozi yote ya mwili lazima ichakae na kupoteza nuru sababu zipo kadhaa, hali ya hewa lile joto kavu yaani hakuna humidity, joto/jua linachoma hata mtoto anakuwa na sura ya kizee. Kukiwa na kabaridi pia ni kale kakavu kanakosababisha mtu awe na ngozi kama ya kenge hata akitumia lotion ya viwango best duniani inadunda lakini ndiyo kumeshakuwa makao makuu.
Vimbi lake utadhani ni sumu ya kuchakaza ngozi lakini ndiyo pameshakuwa makao makuu ya nchi, dah..! Hivi Mchonga alikuwa hastui kijiti?
Yan. Sijui bora ingekuwa singida. Ama kama unaenda iringa. Ni shida.
 
Ni kweli Dom inafubaza na kuchakaza sura of course ngozi yote ya mwili lazima ichakae na kupoteza nuru sababu zipo kadhaa, hali ya hewa lile joto kavu yaani hakuna humidity, joto/jua linachoma hata mtoto anakuwa na sura ya kizee. Kukiwa na kabaridi pia ni kale kakavu kanakosababisha mtu awe na ngozi kama ya kenge hata akitumia lotion ya viwango best duniani inadunda lakini ndiyo kumeshakuwa makao makuu.
Vimbi lake utadhani ni sumu ya kuchakaza ngozi lakini ndiyo pameshakuwa makao makuu ya nchi, dah..! Hivi Mchonga alikuwa hastui kijiti?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo.

Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri.

Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.

Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
HASHIMU LUNGWE alisema atahamishia bahari Dodoma mkamuona hafai.
 
HASHIMU LUNGWE alisema atahamishia bahari Dodoma mkamuona hafai.
😀 😀😀😀😀. Ninachoamini ingekuwa nchi za Ulaya au hata Misri ingewezekana kupeleka maji Dodoma kutoka lake Victoria au hata maji ya Mto.

Ukitaka kujua maji ya Dodoma sio kabisa hebu yachemshe kwenye sufuria halafu yaache yatulie kisha yamwage kidogodogo uone unga utakaobaki chini, kwanza na sufuria yenyewe lazima uioshe tena. Hata maji ya bahari hayapo hivyo jamani. Na ninarudia kusema tuombe Mungu iwe ni chumvi kweli kama tunavyoamini miaka yote
 
Back
Top Bottom