Pamoja na hasara kubwa waliyoipata Hamas lakini Israel imeukosa ushindi

Waisilamu na wakiristu bana utadhani wamebet kwenye hii vita ujinga mtupu
 
Sasa kama hakuna mateka wa kubadilishana nao unategemea nini ? Ni hasira juu ya hasira ni mwendo na kichapo tu.
 
Acha kujipa moyo wewe hata miundo mbinu inapoharibiwa nayo ni hasara kubwa.

Mbona wewe unakaa kwenye nyumba ya kupanga, haukai kwenye magofu. Wenzake Gaza huko ndani hakukaliki wengine wanalala kwenye magofu.
 
Shida kubwa ni uelewa.

Kwa kiasi kikubwa kwenye vita hii walioathirika na kupoteza sana ni Hamas. Malengo ya Hamas, katika kufanya tukio la kigaidi dhidi ya Israel yalikuwa:
1) Kuamsha agenda yao ya kutaka kupatikana Taifa la Palestina

2) Kwa kushikilia mateka, walitaka Israel iogope kuwashambulia kwa hofu ya wao Hamas wangewaua mateka au mateka wangeuawa wakati wa mashambulio

3) Kutumia shambulio la ugaidi kuonesha wana uwezo wa kuwaua wayahudi kama endapo Israel haitaafiki matakwa yao.

Kikichotokea:
Hamas haikukipata hata kitu kimoja katika ilivyovitaka, ikaishia kusababisha vifo maelfu ya wapalestina; viongozi wake wote wakuu kuuawa, serikali yao kupotea, mfadhili wao mkuu Iran kupoteza nguvu za ulinzi wa anga na vifo vya askari wake, wasaidizi wake, yaani Hezbolla, serikali ya Assad, wote kupigwa vibaya na kupotezewa uwezo wa kiuchumi, na kuifanya Gaza nzima kuwa hoi kabisa kiuchumi na kihuduma.

Kwa upande wa Israel:

1. Wameweza kuisambaratisha serikali ya Hamas na kuwaua maelfu ya wapiganaji wa Hamas na viongozi wao

2) Wamepata mwanya wa kuwaadhibu na kuwatekeza mahasimu wao wakuu. Makamanda na viongozi wa Hezbollah wameuawa, makamanda wa Iran wameuawa, Hezbollah imeteketezwa ndani ya Lebanon na sasa wamepoteza udhibiti wa Serikali ya Lebanon.

3) Wamepata mwanya wa kuuondoa utawala wa Assad nchini Syria.

4) Wameweza kuteketeza kiwanda cha nuklia cha Iran na mifumo yake ya ulinzi wa anga.

5) Wameweza kutengeneza mazingira ya kuwalazimisha Hamas kuwaachilia mateka bila ya malengo yao ya kutaka Taifa la Palestina, kufanikiwa.

6) Israel imeweza kuzima sauti zozote zile za vita hii kuamsha mjadala wa kuundwa kwa Taifa la Palestina. Hata Hamas wenyewe wamebakia kuongelea tu kusimamishwa kwa vita, na siyo kuundwa kwa Taifa la Palestina

Kwa ujumla, Israel imefanikiwa zaidi hata ya ilivyokuwa imetamka, maana hayo ya kuuondoa utawala adui wa Syria, kuunyong'onyesha utawala wa Iran, kuwamaliza viongozi na nguvu za kijeshi za Hezbollah, havikuwepo kwenye malengo makuu, lakini wamefanya.

Hata hivyo, hakuna vita isiyo na hasara, Israel imepoteza mamia ya askari, na rasilimali mbalimbali kwenye vita hii, japo hiyo hasara ni justifiable.

Kwa njia za kigaidi, hakuna namna Hamas itaweza kuwaletea wapalestina Taifa huru. Kila mara wataishia kupoteza zaidi kuliko kupata.
 
Huijui Iran hata kidogo kaa kimya tuu nenda kachambue kanisani hizo hoja zako.
 
Kwa taarifa yako hamas hard kwenye utawala Gaza ndio makubaliano na Israel anatoa jesh maeneo maalum ya watu sio Gaza. Huu ujinga ni kama ule mnaolishana kwamba hezbollah ameshinda wakati alipigwa mande kila mahali mpaka akakubali kunyoosha.mikono
upofu sio kutokuwa na macho tu
 
Huu ni ujinga mnaoendelea kulishana misikitini na madrasa,Hamasi October 7,2023 walianzisha vita lengo kuiangamiza Israel,Israeli ikaingia mzigoni ikawapiga Kona zote mpaka wamesalia kwenye mashimo utawala wa Hamas Gaza umeangushwa hakuna wanapotawala zaidi ya mashimo waliomo ambamo namo Kila saa wanawindwa kukubali kurudisha mateka ni kusalimu amri kwa Hamas maana Trump Alisha waambia ikifika 20 Januari hawajaachia mateka atawafanya kitu mbaya ndo unaona wanasalim amri,uwe unatumia akili kobasi
 
Wao wakishangilia Israel wanaumia nini? Kwann wanawapiga mabomu? Ama kweli nani mshindi sasa kama wameshinda kwanini wanaua Watu wanaoshangilia kushindwa?
 
Kwanini nyie watu mnapenda sana kuona wenzenu wakiuwawa

Yaan wewe badala ushukuru kwa mola kwamba vita imeisha wewe unaanza kutafuta mshindi tena

Ivi unajua mateso wanayopitia watu wa Palestine kweli wewe
 
Dah Waduwanzi wameua watu kibao,lakini wameshindwa kushinda vita..Wameshwindwa kuwarudisha mateka,na wameshindwa kuwamaliza Hamas.
 
Hiv hujui Israel mpaka muda huu imepatana nini mkuu au umekuwa kipofu ni sawa. Golan height imeondoka yote. Pale west bank wale masetler wameondoka na vijiji kibao. Na kwasasa hamas harud kutawala gaza cjui kama unaelewa au umelewa
 
Hamas wasiwepo kiasi kwamba angeingia mitaani tu kuunda serikali isiyo na Hamas na ingekuwa ni tusi kuwaomba Hamas msaada wa kuwapata mateka
Hamas ni watu
Wasiwepo maana yake wote wafe?
 
Huwezi jua labda lengo lao ilikuwa kuua watu zaidi ya elfu 45 na kubomoa majumba
 
Nyinyo
Thamani ya waisraeli 33 ni sawa na wapalestina 1890??!!!.Hii nimeona kwenye deal la kubadilishana wafungwa!!!
Nyinyi mazwazwa kazi kupotosha watu lkn mtawapotosha mazwazwa wenzenu tu waislamu vichwani wako oky wanaelewa ukweli huu muisrael m 1 anasamani yoyote mbele ya .waislamu 1 ata ktk mapigigano waisrael wawe 10 kwa muislam 1 tu na anawakalisha!! Ona kwann nawaita mazwazwa ona akili zenu za kitoto na propaganda zenu za kitoto nije kwenye mada yako kwanini muisrael 1 kwa wapalestina 50 jibu lake ni ili tu bisha zwazwa ww waisrael ndio Magaid OG wao wameteka wapalestina wengi sana wamewafungia uko Israel ata kabla ya 7octb waliwateka wapalestina zaid ya 10000 wakiwemo watoto ivo uvamizi wa Hamas iyo 7octb ilikuwa na lengo moja tu kuwachukua waisrael kama mia300 ili wawatumie kuwakomboa wapalestina wenzao waliojaa ktk jela za Israel ndio maana baada ya 7octb Hamas wakaitangazia dunia kuwa wao awataki vita ila wanataka tu Israel iwaachilie wapalestina wanaowashikilia uko kwao Israel lengo la HAMAS awakuona Sababu ya kuwachukua waisrael 10000 lkn awa awa mia300 watawalazimisha waisrael iwe kama ivo unaona sasa 1 kwa 50 manake waisrael 20 wapalestina 1000 waisrael 100 wapalestina 5000 lengo tu kuwatoa wapalestina kwenye mikono ya magaid ya Israel hii misheni waisrael waliikataa mwanzo wakaona waingie vitani baada kuona vita avikuweza kufanikisha kupata waisrael nawao kupoteza wanajeshi wengi kupata ulemavu wakudumu na asala zengine chungunzima Netanyahu na waisrael kwa ujumla wameona watiii amri ya Hamas ndio mana duniani nzima wanajua waisrael wameshindwa vita ndio mana sasa wanakula matapishi yao waliokataa mwanzo kwann ili lasasa wasikubali tangia mwanzio lingeepusha vifo vya wapalestina wasionatia lkn pia lingeokoa wanajesh wa IDF elf kadhaa waliokufa na kuifanya Israel kiuchumi iyumbe sana kwasasa kwaiyo hii kusema eti muisrael 1 samani yake sawa na wapalestina 50 kichekesho cha mazwazwa wengi wamechafukwa na ushindi huu wa wapalestina niwatakie asubui njema jumatatu njema watetezi wa haki wote pamoja n mazwazwa wetu.
 
Tumia akili vyema kuona kinachoendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…