Akili ya madrasa nimeikataa siitaki kabisaTumia akili vyema kuona kinachoendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ya madrasa nimeikataa siitaki kabisaTumia akili vyema kuona kinachoendelea.
wapalestina walisherekea vifo vya wenzao na imekuja kuwarudia wao , sion sabab ya kumuonea huruma mtu aliyeshangilia vifo vya wenzaoHilo ndio tangazo la kushindwa vita kwa Israel.
Tujaalie hakuna mateka wa kubadilishwa kosa itakuwa ni la nani na Israel nayo itafanya nini baada ya kuporomosha majengo ya Gaza.Jee wataendelea kuuwa wapalestina waliobaki kwenye makambi au itachukua uamuzi gani mwengine?
Tunaweka historia sawa kwa kufuata malengo ya vita vyenyewe.Kwanini nyie watu mnapenda sana kuona wenzenu wakiuwawa
Yaan wewe badala ushukuru kwa mola kwamba vita imeisha wewe unaanza kutafuta mshindi tena
Ivi unajua mateso wanayopitia watu wa Palestine kweli wewe
Mkuu hivi ni kwanini mnajenga hoja as if ni Netanyau ndio alianzisha hii vita ?Siku ya leo Jumapili Januari 19 vita vya Gaza vinaingia hatua muhimu ambapo kutakuwa na usitishwaji wa vita kwa muda na ambao unaelekea kuwa wa kudumu baada vita vya zaidi ya mwaka mmoja.
Vita hivyo ni kati ya taifa kubwa kijeshi la Israel na washirika wake ambao ni mataifa makubwa dunia dhidi ya vikundi vya wanamgambo ndani ya Gaza vinavyoongozwa na Hamas.
Katika vita hivyo ambavyo huenda ndio vita vibaya zaidi kwa teknolojia za kisasa watu karibu nusu laki wameuliwa sambamba na majengo karibu yote ya ghorofa kuporomoshwa.
Hata hivyo Israel imeshindwa kuupata ushindi iliotangaza kuutafuta.
Vita vilipoanza Israel ilitangaza kutaka kuimaliza Hamas na kuwarudisha nyumbani mateka wote waliokuwa wakishikiliwa ndani ya Gaza.
Siku ya leo ni muhimu sana kwa pande zote zilizokuwa zikipigana. Israel kwa upande wake baada ya kushindwa kuwaokoa mateka wake itakabidhiwa baadhi yao kutoka kwa Hamas ambao watarudishwa nyumbani.
Kwa upande mwengine watu wa Gaza watapata nafuuu ya kuuliwa kwa kasi ya watu wasiopungua 100 kwa siku.
Kilichowazi kwa kila mfuatiliaji wa vita hivi ni kuwa Israel imefanya makubaliano na wale wale ilioazimia kuwamaliza na wasiwepo kabisa Gaza na kwamba mateka imebidi wawapate kwa njia za makubaliano na haikuwa wa kubebwa kibabe kama ilivyowahi kufanyika kuleta Entebe ambalo ndili lililokuwa lengo la awali.
malengo ya zionist israel yalikuwa ni matatuIli ashinde ilitakiwa afanyeje?
lets discuss with common sense then,unafahamu kuwa eneo alilovamiwa israel october 7 kwa recognition ya international boundaries na UN ni eneo la palestine, hvyo hoja ya kwanza raia wa israel hawakutakiwa kuwepo walipokuwepo illegally,pili unafahamu kuwa kabla ya october 7 zaidi ya wapelestine 10,000 walikuwa wanashikiliwa katika mahabusu na magereza ya israel ? Tena bila ya trial yoyote ?,hvyo lengo la hamas ilikuwa ni kuwakamata mateka wengi kadiri inavyowezekana wa kiisrael ili aweze kuwatumia kama bargaining chip katika mabidilishano ya wafungwa wa kiisrael na wapalestine,kuepuka hili serikali ya israel huwa yu tayari wananchi wake wafe kuliko kukamatwa hai kama mateka,kama huamini nenda kasome zaidi kuhusu "hannibal directives"Mkuu hivi ni kwanini mnajenga hoja as if ni Netanyau ndio alianzisha hii vita ?
Ofkoz Israel imewagharimu pakubwa kuanzia uhai na gharama za kuendesha vita...... hakunaga vita isiyo na GHARAMA
Hapa nadhani wakujadiliwa zaidi ni HAMAS
Wamefaidika na nini kwa mpango wao wa Oct 7?
Kwa Israel kuishambulia GAZA sio swala la MALENGO...... hizo ni nyongeza
KISASI ndio motives kubwa ya Israel kuishambulia GAZA
Israel wamelipa KISASI zaidi ya mara 1000 ya walichofanya HAMAS
Imeua zaidi ikiwemo viongozi wote wajuu
Imeteka zaidi
Imeharibu zaidi
Kikubwa kabisa ambacho ndio itakua msingi muhimu kwa faida kwa Israel na hasara kubwa kwa Hamas..... ni nini kitafuata pale GAZA
JE GAZA WILL BE THE SAME AGAIN au ndio Israel ataikandamiza zaidi kuhakikisha ujinga wa Oct 7 haurudii tena?
Let’s wait and see
Ushindi unauchukuliaje mkuu?Siku ya leo Jumapili Januari 19 vita vya Gaza vinaingia hatua muhimu ambapo kutakuwa na usitishwaji wa vita kwa muda na ambao unaelekea kuwa wa kudumu baada vita vya zaidi ya mwaka mmoja.
Vita hivyo ni kati ya taifa kubwa kijeshi la Israel na washirika wake ambao ni mataifa makubwa dunia dhidi ya vikundi vya wanamgambo ndani ya Gaza vinavyoongozwa na Hamas.
Katika vita hivyo ambavyo huenda ndio vita vibaya zaidi kwa teknolojia za kisasa watu karibu nusu laki wameuliwa sambamba na majengo karibu yote ya ghorofa kuporomoshwa.
Hata hivyo Israel imeshindwa kuupata ushindi iliotangaza kuutafuta.
Vita vilipoanza Israel ilitangaza kutaka kuimaliza Hamas na kuwarudisha nyumbani mateka wote waliokuwa wakishikiliwa ndani ya Gaza.
Siku ya leo ni muhimu sana kwa pande zote zilizokuwa zikipigana. Israel kwa upande wake baada ya kushindwa kuwaokoa mateka wake itakabidhiwa baadhi yao kutoka kwa Hamas ambao watarudishwa nyumbani.
Kwa upande mwengine watu wa Gaza watapata nafuuu ya kuuliwa kwa kasi ya watu wasiopungua 100 kwa siku.
Kilichowazi kwa kila mfuatiliaji wa vita hivi ni kuwa Israel imefanya makubaliano na wale wale ilioazimia kuwamaliza na wasiwepo kabisa Gaza na kwamba mateka imebidi wawapate kwa njia za makubaliano na haikuwa wa kubebwa kibabe kama ilivyowahi kufanyika kuleta Entebe ambalo ndili lililokuwa lengo la awali.
Tofauti.Hawa mgambo ni kama hawa wetu au kuna tofauti?
kwa mtu ambae anafikiri sawasawa hii vita haina udini,ila ukitumia ubinaadamu zaidi unapata jibu kweupe,kama ni ishu ya udini nchi nyingi za kiislamu zipo against palestine at all ,angalia misri,jordan,saudi arabia n.k(japo huwa msimamo wake hubadilika badilika) alafu nenda kaangalie nchi ambazo sio kiislamu ndio zimekuwa mstari wa mbele kutetea palestine kupitia two state solution + kuzuia mauaji ya halaiki,nenda na pitia support ya nchi za bangladesh bolivia,brazil,spain n.k ndipo utagundua hii vita sio ya dini ni ubinaadamu tu,na FYI waislam na wayahudi hakuna shida kubwa sana na wanaweza kukaa pamoja shida ni uzayuni na wazayuni wanaojificha katika kivuli cha uyahudi,watu watakapoweza kutofautisha uyahudi na uzayuni watagundua kuwa hata october 7 haikupaswa kutokea.Waisilamu na wakiristu bana utadhani wamebet kwenye hii vita ujinga mtupu
Nalijua Hilo and more kuhusu hiyo vita shida huku kwenu imekua ni vita ya kushindanisha hizi Imani mbilikwa mtu ambae anafikiri sawasawa hii vita haina udini,ila ukitumia ubinaadamu zaidi unapata jibu kweupe,kama ni ishu ya udini nchi nyingi za kiislamu zipo against palestine at all ,angalia misri,jordan,saudi arabia n.k(japo huwa msimamo wake hubadilika badilika) alafu nenda kaangalie nchi ambazo sio kiislamu ndio zimekuwa mstari wa mbele kutetea palestine kupitia two state solution + kuzuia mauaji ya halaiki,nenda na pitia support ya nchi za bangladesh bolivia,brazil,spain n.k ndipo utagundua hii vita sio ya dini ni ubinaadamu tu,na FYI waislam na wayahudi hakuna shida kubwa sana na wanaweza kukaa pamoja shida ni uzayuni na wazayuni wanaojificha katika kivuli cha uyahudi,watu watakapoweza kutofautisha uyahudi na uzayuni watagundua kuwa hata october 7 haikupaswa kutokea.
So LENGO la HAMAS ilikua ni KUUA na KUTEKA kadiri walivyo weza ili KUISHINIKIZA Israel wafanye BARGAIN ya kuwaachia zaidi ya Wapalestine 10,000 walioshikiliwa?lets discuss with common sense then,unafahamu kuwa eneo alilovamiwa israel october 7 kwa recognition ya international boundaries na UN ni eneo la palestine, hvyo hoja ya kwanza raia wa israel hawakutakiwa kuwepo walipokuwepo illegally,pili unafahamu kuwa kabla ya october 7 zaidi ya wapelestine 10,000 walikuwa wanashikiliwa katika mahabusu na magereza ya israel ? Tena bila ya trial yoyote ?,hvyo lengo la hamas ilikuwa ni kuwakamata mateka wengi kadiri inavyowezekana wa kiisrael ili aweze kuwatumia kama bargaining chip katika mabidilishano ya wafungwa wa kiisrael na wapalestine,kuepuka hili serikali ya israel huwa yu tayari wananchi wake wafe kuliko kukamatwa hai kama mateka,kama huamini nenda kasome zaidi kuhusu "hannibal directives"
hamas sio kikundi tu,hamas ni itikadi ya ukombozi,huwezi kuiua kwa mabomu,makombora au kuua viongozi wakeSera ya kuuwa viongozi wao na kuwaua wananchi walidhani wapiganaji wataisha na wanachi watavunjika moyo walete fujo.Hakuna kilichofaa.
Viongozi wakuu wamewauwa lakini walio baki wameshika bendera ya vita.
We jamaaa muongo sana umeandikwa ujinga mtupu ukweli Hamas tangia wamechukua mateka waisrael neno lao ni moja tu wanataka mapatano ili Israel iwaachie mateka wapalestina elf 10000 ambao wanashikiliwa uko Israel wakiwemo watoto wanaweke wajawazito njia zote zengine kuwanusulu wapalestina waliotekwa na Israel ilishindikana ndio wapata ujasir wi ukamanda ukomando wa kuvamia kambi za jesh 4 na kuwabuluta kama paka wanajesh wa israel au IDF wakawachukua kibabe adi GAZA ILI tu wabadilishane na mateka wa kipalestina Netanyahu akagoma ajaingia vitani akakombee mateka wake lkn akutaka kubadilishana na mateka wa kipalestina anaowashikilia zaid ya 10000 vita avikuwa vizuli kwa Israel kapata maafa ya kihistoria katema bungo karudi mezani upya baada ya maafa pande zote mbili sasa Netanyahu anawaachiwa mateka wa kipalestina ili nayeye apewe mateka wake kibri kimemwisha kazika askari wake buku kadhaa karusha taulo ulingoni !!Shida kubwa ni uelewa.
Kwa kiasi kikubwa kwenye vita hii walioathirika na kupoteza sana ni Hamas. Malengo ya Hamas, katika kufanya tukio la kigaidi dhidi ya Israel yalikuwa:
1) Kuamsha agenda yao ya kutaka kupatikana Taifa la Palestina
2) Kwa kushikilia mateka, walitaka Israel iogope kuwashambulia kwa hofu ya wao Hamas wangewaua mateka au mateka wangeuawa wakati wa mashambulio
3) Kutumia shambulio la ugaidi kuonesha wana uwezo wa kuwaua wayahudi kama endapo Israel haitaafiki matakwa yao.
Kikichotokea:
Hamas haikukipata hata kitu kimoja katika ilivyovitaka, ikaishia kusababisha vifo maelfu ya wapalestina; viongozi wake wote wakuu kuuawa, serikali yao kupotea, mfadhili wao mkuu Iran kupoteza nguvu za ulinzi wa anga na vifo vya askari wake, wasaidizi wake, yaani Hezbolla, serikali ya Assad, wote kupigwa vibaya na kupotezewa uwezo wa kiuchumi, na kuifanya Gaza nzima kuwa hoi kabisa kiuchumi na kihuduma.
Kwa upande wa Israel:
1. Wameweza kuisambaratisha serikali ya Hamas na kuwaua maelfu ya wapiganaji wa Hamas na viongozi wao
2) Wamepata mwanya wa kuwaadhibu na kuwatekeza mahasimu wao wakuu. Makamanda na viongozi wa Hezbollah wameuawa, makamanda wa Iran wameuawa, Hezbollah imeteketezwa ndani ya Lebanon na sasa wamepoteza udhibiti wa Serikali ya Lebanon.
3) Wamepata mwanya wa kuuondoa utawala wa Assad nchini Syria.
4) Wameweza kuteketeza kiwanda cha nuklia cha Iran na mifumo yake ya ulinzi wa anga.
5) Wameweza kutengeneza mazingira ya kuwalazimisha Hamas kuwaachilia mateka bila ya malengo yao ya kutaka Taifa la Palestina, kufanikiwa.
6) Israel imeweza kuzima sauti zozote zile za vita hii kuamsha mjadala wa kuundwa kwa Taifa la Palestina. Hata Hamas wenyewe wamebakia kuongelea tu kusimamishwa kwa vita, na siyo kuundwa kwa Taifa la Palestina
Kwa ujumla, Israel imefanikiwa zaidi hata ya ilivyokuwa imetamka, maana hayo ya kuuondoa utawala adui wa Syria, kuunyong'onyesha utawala wa Iran, kuwamaliza viongozi na nguvu za kijeshi za Hezbollah, havikuwepo kwenye malengo makuu, lakini wamefanya.
Hata hivyo, hakuna vita isiyo na hasara, Israel imepoteza mamia ya askari, na rasilimali mbalimbali kwenye vita hii, japo hiyo hasara ni justifiable.
Kwa njia za kigaidi, hakuna namna Hamas itaweza kuwaletea wapalestina Taifa huru. Kila mara wataishia kupoteza zaidi kuliko kupata.
Mbona ujataja waisrael au IDF wangapi wamekufa walemavu uchumi wa israel kama ulichosema kweli ni kimoja tu kuwa wapalestina walikuwa na lengo kuchukua mateka wawatumie kukomboa mateka wapalestina zaid ya 10000 lkn Netanyahu akachagua vita vimekula pande zote mbili mwisho Netanyahu karudi kule kule baada ya maafa makubwa ktk historia ya Israel wamenyoloshwa wamezika IDF kibao tena vijana kabisa. Waisrael wapumbavu sana tena wajinga walipoona Hezbollah inapiga Telaviv wakaogopa wakaona wafanyenao mkataka ili wapate Aman kisha wao wakaendelea kuuwa wapalestina kajitia kutokujua kuwa Masters mind ni IRAN angetaka atulie angeenda kupiga got kwa ayatollah tu ingetosha kuja kushtuka sasa Yemen kila siku anajipigia miji ya Israel jamaa wanaficha kupitia sheria yao makovu ya kivita ni siri ya jesh lazima msemaji w jesh azibitishe taharifa usika. Na awawezi zuiya iyo technology inayotumika kutoka Yemen wasiteme bungo!!! Kama sio Yemen awa mbwa wangeendelea kuuwa vitoto vya Palestina.So LENGO la HAMAS ilikua ni KUUA na KUTEKA kadiri walivyo weza ili KUISHINIKIZA Israel wafanye BARGAIN ya kuwaachia zaidi ya Wapalestine 10,000 walioshikiliwa?
Unajua matokeo yake?
Viongozi WOTE wa juu wa Hamas wameuwawa
Zaidi ya Wapalestina 40,000 wameuwawa
Zaidi ya Wapalestina 20,000 wengine wamakamatwa
Zaidi ya Wapalestina 1,000,000 hawana MAKAZI
Gaza imekaliwa na IDF
Almost Gaza yote imegeuka VIFUSI
Sasa kama haya ni MAFANIKIO basi HONGERA kwao
Mkuu Tujikite na MALENGO ya aliyeanzisha mtanange, Israel yeye alikwisha fanya alichofanya hadi hali kufikia kabla ya Oct 7Mbona ujataja waisrael au IDF wangapi wamekufa walemavu uchumi wa israel kama ulichosema kweli ni kimoja tu kuwa wapalestina walikuwa na lengo kuchukua mateka wawatumie kukomboa mateka wapalestina zaid ya 10000 lkn Netanyahu akachagua vita vimekula pande zote mbili mwisho Netanyahu karudi kule kule baada ya maafa makubwa ktk historia ya Israel wamenyoloshwa wamezika IDF kibao tena vijana kabisa. Waisrael wapumbavu sana tena wajinga walipoona Hezbollah inapiga Telaviv wakaogopa wakaona wafanyenao mkataka ili wapate Aman kisha wao wakaendelea kuuwa wapalestina kajitia kutokujua kuwa Masters mind ni IRAN angetaka atulie angeenda kupiga got kwa ayatollah tu ingetosha kuja kushtuka sasa Yemen kila siku anajipigia miji ya Israel jamaa wanaficha kupitia sheria yao makovu ya kivita ni siri ya jesh lazima msemaji w jesh azibitishe taharifa usika. Na awawezi zuiya iyo technology inayotumika kutoka Yemen wasiteme bungo!!! Kama sio Yemen awa mbwa wangeendelea kuuwa vitoto vya Palestina.
Hizi ndio akili za HAMAS nadhaniWatu bwana wana akili za kuku na mbuzi kabisa.
Mkuu zoezi la kubadilishana wafungwa limefanyika?Hata Netanyahu ana akili kama hizo
1. Israel wamepoteza wanajeshi zaidi ya 20,000+ wakiwemo na majeruhi Hii inafichwafichwa na majeshiMkuu Tujikite na MALENGO ya aliyeanzisha mtanange, Israel yeye alikwisha fanya alichofanya hadi hali kufikia kabla ya Oct 7
MALENGO ya kuvamia kuua na kuteka wawezavyo ili KUSHINIKIZA wapalestina 10k waachiwe
Je MALENGO haya yametimia?
Kumbuka kwamba lengo mama la Netanyau ni KULIPA KISASA na njia ya kulipa kisasa LAZIMA ina gharama zake ikiwemo vifo vya wanajeshi na uchumi
Hebu kokotoa hapa jinsi ambavyo Hamas WAMETIMIZA MALENGO YAO
Kama malengo ilikua ni kuifanya Israel itumie gharama kubwa na kuuwa baadhi ya askari wa IDF hapo ntakuelewa
Hakuna mwenye akili timamu yeyote ataelewa hii hasara kama ni ushindi
1, Wapalestina zaidi ya 40k wameuwawa
2, Wapalestina zaidi ya 20k wamekamatwa tena
3, Wapalestina zaidi ya 2M hawana makazi kabisa Gaza imegeuzwa KIFUSI
4, Viongozi wote wa juu wa Hamas wameuwawa
5, Wapalestina wote kwa sasa wanaishi kama wako Jehanamu
6, Maelefu wamepata ulemavu wa kudumu
The list goes on......
Tatizo lako unamchukulia Netanyau kama MUNGU kwamba akisema jambo ni LAZIMA litatekelezeka
Mnajifariji kwa alichosema badala ya kuangalia HASARA au FAIDA waliopata walioanzisha hili balaa