Pamoja na kulamba Asali, Mbowe alaani utitiri wa magari, msafara wa Rais hauendani na kubana matumizi

Pamoja na kulamba Asali, Mbowe alaani utitiri wa magari, msafara wa Rais hauendani na kubana matumizi

Hata akilamba tu hamna shida, kwani kuna mtu anaumia?

Tupambanie katiba mpya ndo itatutoa kwenye huu mkwamo kama Watanzania!!
 
Viongozi wetu wanatakiwa wawe wazalendo kwa kubana matumizi.
 
Aikael Ni Odinga wa Tz , mwalimu wangu prof Shivji aliwahi kuniambia nisimuamini mtu mnafiki hata Kama anasema ukweli. Ufipa mmelogwa pyuuuu!
 
Back
Top Bottom