imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Piga galagaza lakini wanakuja tu uongo mbaya Mwamba na Lissu ni ukoo wa Nyegere😂😂N honey budger
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga galagaza lakini wanakuja tu uongo mbaya Mwamba na Lissu ni ukoo wa Nyegere😂😂N honey budger
Kweni hata manunuzi ya Magufuli yaliishia wapi?Palipo na udhia penyeza rupia. Hongera SSH, hapa uliupiga mwingi.
Tunashikilia hapohapo.Tupambanie katiba mpya ndo itatutoa kwenye huu mkwamo kama Watanzania