imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Aug 17, 2022 #81 Vesuvius said: N honey budger Click to expand... Piga galagaza lakini wanakuja tu uongo mbaya Mwamba na Lissu ni ukoo wa Nyegere😂😂
Vesuvius said: N honey budger Click to expand... Piga galagaza lakini wanakuja tu uongo mbaya Mwamba na Lissu ni ukoo wa Nyegere😂😂
Sang'udi JF-Expert Member Joined May 16, 2016 Posts 9,138 Reaction score 22,236 Aug 17, 2022 #82 Palipo na udhia penyeza rupia. Hongera SSH, hapa uliupiga mwingi.
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Aug 17, 2022 #83 Sang'udi said: Palipo na udhia penyeza rupia. Hongera SSH, hapa uliupiga mwingi. Click to expand... Kweni hata manunuzi ya Magufuli yaliishia wapi?
Sang'udi said: Palipo na udhia penyeza rupia. Hongera SSH, hapa uliupiga mwingi. Click to expand... Kweni hata manunuzi ya Magufuli yaliishia wapi?
mwanawao JF-Expert Member Joined Aug 18, 2010 Posts 3,192 Reaction score 5,743 Aug 17, 2022 #84 Hata akilamba tu hamna shida, kwani kuna mtu anaumia? Tupambanie katiba mpya ndo itatutoa kwenye huu mkwamo kama Watanzania!!
Hata akilamba tu hamna shida, kwani kuna mtu anaumia? Tupambanie katiba mpya ndo itatutoa kwenye huu mkwamo kama Watanzania!!
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Aug 17, 2022 #85 mwanawao said: Tupambanie katiba mpya ndo itatutoa kwenye huu mkwamo kama Watanzania Click to expand... Tunashikilia hapohapo.
mwanawao said: Tupambanie katiba mpya ndo itatutoa kwenye huu mkwamo kama Watanzania Click to expand... Tunashikilia hapohapo.
M mmaroroi JF-Expert Member Joined May 8, 2008 Posts 4,635 Reaction score 2,271 Aug 17, 2022 #86 Viongozi wetu wanatakiwa wawe wazalendo kwa kubana matumizi.
enelisamwakapala JF-Expert Member Joined Apr 19, 2018 Posts 377 Reaction score 493 Aug 18, 2022 #87 Aikael Ni Odinga wa Tz , mwalimu wangu prof Shivji aliwahi kuniambia nisimuamini mtu mnafiki hata Kama anasema ukweli. Ufipa mmelogwa pyuuuu!
Aikael Ni Odinga wa Tz , mwalimu wangu prof Shivji aliwahi kuniambia nisimuamini mtu mnafiki hata Kama anasema ukweli. Ufipa mmelogwa pyuuuu!