Pamoja na kuvurugika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ni kwanini Waziri Jafo hajiuzulu?

Bombabomba,

Umefanya analysis ya uhakika sana Mkuu

Hata kama hao CCM "watajipa" ushindi wa 90% plus katika uchaguzi huu, lakini hao viongozi watafanya kazi na wananchi, ambao wanajua wazi kuwa nyinyi mnaodaiwa kushinda, mmebebwa na mifumo ya kidola
 
Ccm bila figisu kama hizo ingeshafutika siku nyingi.Ccm haina uwezo wa kusimama yenyewe kwa hoja bali kwa damu yanayoendelea ni ushahidi
 
Enda shule ujikomboe hakuna neno kujiudhuru ni kujiuzulu, achana kuhangaika na walimwengu tafuta jinsi ya kujikwamua
Huwezijikwamua pasipomazingira ya kujikwamua
 
Watu smart na wachaMungu kina MeckSadick walijiengua kitambo.Kwa kupigwa na njaa lzm ujitoe ufahamu,usiombe njaa
 
Huu ni "UJAFUZI" wa serikali za mitaa, jafo amefanya kazi yake vizuri, ameshapongezwa gizani,atazawadiwa hadharani muda muafaka ukifika
 
Uvumilivu una mwisho.
Ukondoo una mwisho.
 
Unapojikwamua wakati hakuna mazingira ya kujikwamua, utapata mtelemko wakati mazingira yakiwepo ya kujikwamua
Vikwazo ni vingi,tofauti na nchi zilizoendelea ushindwe wwe tu
 
Ccm wamekimbia na mpira sijui wanaogopea nn mechi japo wanna kila kitu kuanzia polisi nk wamenunua ndege,sgr,stigler,hospital nk
 
Hivi kwenye kata ambazo wagombea wa CCM wameteuliwa watapigiwa kura au ndio wamepita bila kupingwa?
 
Hivi Jafo anajua kuwa ni yeye ndiye anataka kuivuruga amani na anataka kuleta umwagaji damu nchini??

Hivi kukitokea machafuko hapa nchini kutokana na huu "uchafuzi" wanaoufanya, ni nani atalaumiwa??

Na hii akili ya kitoto nilionayo sasa nimeanza kuamini kwanini CCM huwaambia wapiga kura kua "mkiwachagua wapinzani wataleta vita.."Hamkufanya maandalizi...hamkutoa semina za ujazaji wa form kwa wagombea wenu na Ruzuku yote mmeiweka makao makuu halafu mnategemea muwe perfect..mbona ACT hawalalamiki...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…