Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Na mzee Kibao nae vipiKwamba mnaamini kuna wajinga wa hivyo mnaweza kuwapoteza maboya? Ni hivi, katika uhayawani ule dhalimu magu kwa kumtuma Makonda ndio wahusika. Hili hata mkadhikiri uchi hapo kwa Mkapa hamuwezi kulibadilisha.