Pamoja na madhaifu yao, watu wa Pwani ni watu poa sana

Kama Mkenya tena wa bara napitia huu uzi kimya kimya, nahisi kuna cha kuiga hapa, labda na sisi tujaribishe nchi iongozwe na Mkenya mwenye asili ya Pwani, labda mambo ya kikatili yanaweza yakapungua, sema sijui kiuchumi kama tutaendelea kwenye kasi ya leo.
 
Waislam wanamapungufu Yao lakini haiondoi sifa zao za Msingi, unyenyekevu na ukarimu

Mapungufu kwa binadamu ni lazima sisi sio malaika na yapo kwa kila binadamu

Ila kuna wengine wamezidi kuanzia ukatili na roho mbaya
Uislam hata kama huna kitu cha kutoa kama sadaka basi unatoa hata tabasamu kwani nayo inahisabika kama Sadaka

Always smile [emoji2]
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukileta za kuleta utasutwa tu [emoji23][emoji23]

Ndio sifa kubwa ila hawana kufichaficha jambo
Atakugongea mlango asubuhi kama akisikia jambo
 
Dini ya kiislam ni Dini ya Haki MKUU.

Uislam Kwa Kiswahili ni unyenyekevu.

Mimi ni Mkristo Hilo nalijua.

Wapwani wanamapungufu ya kibinadamu, ya kawaida Ila ni nadra Sana kiwanja roho za kikatili.
Mbona magaidi wengi wanatoka kwenye hiyo dini.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Unataka kusema Sisi bila kusoma ni Kama wanyama??
Watu wa pwani wanazaliw smart ndo maana elimu wanapuuza sipo kukejeli ila nakuambia kama unabisha nenda pwani tafuta mtu ambaye hajasoma kabisa yaani hata la saba hajafika then tafuta mtu wa bara ambaye kafika hata la saba

Then angalia nan anaju kuishi kutokana na hli yake

Ni kwamba hawa wana elimu nyingi mfano za mtaani huko pwani waty wanajua miezi tu kwa kuangalia angani na kujua haya ni maji yanatoja au yanaingia na miezi hyo inatajwa kwa kiarabu

Mfano huko south watu wa pwani hawana elimu ila wanauliwa sana kwa kupigwa risasi coz hawataki unyonge sana ni wajanja japo elimu ni zero
 
Tunapigania haki.

Ila jamani watu wa kanda ya ziwa ni makatili sana;wanauana sana kipindi cha kupanda mazao,kipindi cha mavuno...Kuna watu spesho wanakodiwa kwaajili ya kazi ya kuuwa tu dah kanda ya ziwa(Sukuma/Nyamwezi land)acheni uzamani.
Angalia asili ya utafutaji wao na kazi zao kama kilimo na ufugaji izo jamiu wana ukatili sana na hawapati kabisa

Bara ni kawaida sana huku pwani ukimpiga tu mkeo kibao akienda kwao umemkosa na unaweza kufungwa ila bara huko noma wanapigwa wanavumilia kawaida yao

Mfano niliwai kusikia mauaji kadhaa Tanga na ujambazi wa kutisha miaka ya 2007 ulishamiri ila kila anayekamatwa ni mtu arusha ,mbaya


Kingine watu wa pwani wana vimwili vidogo sana kuliko watu wa bara naona hata vurugu hawawezi
 
Pia umesahau maendeleo yote dunianu yapo pwani mfano New york ipo pwani,Landon ipo pwani, California ipo pwani,Texas ipo pwani,Georgia ipo pwani,Toronto ipo pwani,Shanghai ipo pwani yani pwani ndo mwanzo wa maendeleo
 
Pia umesahau maendeleo yote dunianu yapo pwani mfano New york ipo pwani,Landon ipo pwani, California ipo pwani,Texas ipo pwani,Georgia ipo pwani,Toronto ipo pwani,Shanghai ipo pwani yani pwani ndo mwanzo wa maendeleo


Ati nini
 
Na kwa Sasa watu wa pwani ndiyo wanaongoza nchi,
- Mchengerwa
-Nape >
-Aweso
-Ummy
- Makamba
-Jafo
-Ulega
-Mzee Mkuchika
-Ridhiwani
-Hamis Chilo
-Masauni
-Majaliwa
 
Haya uliyoyaandika Bro una uhakika nayo? Mimi niko Pwani mwaka wa 14 sasa najua vizuri tabia na tamaduni za watu wa Pwani.
 
Kusutana kunaondoa sumu ya chuki sana moyoni na ndio maana wakisutana moyo unabaki swaafi huna tena haja ya kutoana roho

Bara wengi wao hawataki kutoa ya moyoni sasa kinachobaki ni kisasi kutoana roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…