Pamoja na madhaifu yao, watu wa Pwani ni watu poa sana

Kuna jamaa yangu mmoja yeye alikuaga mkwere alinifundisha vitu vingi sana yani nilikuaga nakosea wazi wazi jamaa ananiambia mzee usiweke wazi vitu hivyo, wewe nyamaza, usiongee wewe sikiliza...kwenye hekima na kuishi na watu wanajua yani wapo vizuri hata kuishi na adui yake...
 
Sisi watu wa pwani hatujasoma Cha ajabu, tulileta raisi, na kulikuwa na vikao vya malalamiko ......na maongez na yule rais handsome Alisema tatizo ndugu zangu hamjasoma, na Hampend shule, hata nafas ya juu nitamuweka Nani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sisi watu wa pwani ...tuna wanawake warembo pia mkuu ongezea hilo😂😂

Wakipenda wamependa hawa sio kama wale wa sinoni daraja mbili bila pesa si lolote

Halafu jengine waweza pikiwa kisamvu na ukahisi umekula nyama
 
Ni dhana ya hovyo Sana hii,wachaga wanapenda sana kusafiria nyota za matajiri wakichaga,mfukoni hana hata mia halafu utamsikia watu wa tanga bwana masikini sana!
Utawasikia watu wa mikoani jengeni kwenu. Uchaggani tumejenga.

Halafu anaposti jumba la Mengi🤣
 
Umesahau udhaifu wa wanaume wa Dar au umefanya makusudi?
 
Umeandika sifa nyepesi, sifa kuu umeiacha..

Wana "brain" ya kuliongoza taifa?
Mkui TZ imeongozwa na Marais wa4 kutokea PWANI. MWINYI, KIKWETE, MKAPA na sasa ni SAMIA. unataka kusema hao wote hawana brain nzuri kushinda wewe ambaye hata MUTUKURA hupajui?
 
Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.
Wachaga wameua taasisi na makampuni mengi sana. TTL ni mfano, Benki nyingi ziliuawa na wachaga.Hawajawahi onesha ubora wa kukuza taasisi bali kuua.
Kumbuka wachaga ndio mameneja wa kwanza kwenye taasisi zetu leo zipo wapi?
 
Jukwaa huru hili,nani kakukataza kuandika wewe vitu ulivo na uhakika navyo?
 
Pia umesahau maendeleo yote dunianu yapo pwani mfano New york ipo pwani,Landon ipo pwani, California ipo pwani,Texas ipo pwani,Georgia ipo pwani,Toronto ipo pwani,Shanghai ipo pwani yani pwani ndo mwanzo wa maendeleo
Logical sehemu yenye bahari ni rahisi sana kumove raw materials,kuestablish kiwanda na hata kuestablish makazi na socialization huwa kubwa,.....ni ngumu sana eti mgeni aache kujenga nyumba Bagamoyo aende kujenga nyumba bariadi the same as U.S ni rahisi mgeni anunue apartment New York bay kuliko kwenda North's na south Dakota
 
Na kwa Sasa watu wa pwani ndiyo wanaongoza nchi,
- Mchengerwa
-Nape >
-Aweso
-Ummy
- Makamba
-Jafo
-Ulega
-Mzee Mkuchika
-Ridhiwani
-Hamis Chilo
-Masauni
-Majaliwa
Aiseee,[emoji16] kuna ukweli flani hivi mchungu
 
Madhaifu Yao makubwa ni Kama ifuatavyo;

1. Uvivu na ubwanyenye.
Lini umewahu kusikia watu wa pwani wanakufa njaa na kwahiyo serikali ikalazimika kwenda kuwapa misaada?!

Au kwavile nyie mnachunga ng'ombe ndo mlitarajia kila mtu achunge ng'ombe hata kama sio kazi zao za asili?!

Korosho ambazo zinaliingizia taifa mabilioni ya pesa zinalimwa na nyinyi??

Mbaazi ambazo zilikuwa zinaozeana hadi kwenye maghala kwa kukosa soko mnalima nyie?

Nazi ambazo wengine mnaziona mkishakuja mjin, zinalimwa na nyie?

Acha ujinga!The way mnavyoongea kwa mgeni wa Tanzania anaweza kusema huko kwenu mambo yenu mazuri kweli kweli wakati ni maskini wa kutupwa!!
2. Hawapendi complication ya mambo katika Mishe zao.
Kama yapi? Kuchunga ng'ombe, au?!
3. Kuridhika mapema.
Na nyie msioridhika mapema mna nini cha maana?
4. Ngoma na vigodoro ambavyo hata hivyo siku hizi ni Kama wamepunguza kidogo.
Na ngoma za kipumbavu zinazohitimishwa kwa kukata visimi vya watoto zinachezwa pwani?
5. Dhana kuwa dunia tunapita hivyo masuala ya kupigania maisha hawana.
Yale yale!! Unaweza kukuta hata kwenye ukoo wako weneyewe kuna wengine hawana hata uhakika wa kula halafu hapa unaona wenzako hawapiganii maisha... VERY STUPID!

Kuna watu wangapi kutoka pwani ambao wewe binafsi au familia yako inawalipia kwa chochote?
6. Mdomo na Majungu. N.k
Kuna watu wa majungu kama nyie kenge?!
7 ushirikina na Uchawi
Umeshawahi kufanyiwa huo ushirikina au unasikia tu kwa Waruga ruga wenzako?

Hivi kule walikokua wanaua albino eti ili kupata utajiri ni pwani? Kule wanakoua wazee kisa wana macho mekundu ni pwani? Kule ambako walikuwa wanachuna wenzao ngozi ni pwani?
Stop using carrot and stick! Haiwezekani mtu awe mshirikina, mchawi, na full majungu halafu hapo hapo eti useme ana roho mzuri na anajali watu wengine!
 
Karibu TANGA taycoon wa fasihi
 
Hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…