abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Sisi watu wa pwani ...tuna wanawake warembo pia mkuu ongezea hilo[emoji23][emoji23]
Wakipenda wamependa hawa sio kama wale wa sinoni daraja mbili bila pesa si lolote
Halafu jengine waweza pikiwa kisamvu na ukahisi umekula nyama
Kwani nani alikuwa hana brain ya kuliongoza taifa kati ya magufuli na kikwete?Umeandika sifa nyepesi, sifa kuu umeiacha..
Wana "brain" ya kuliongoza taifa?
Wachaga ndio kina nani?Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.
Hao ni waarabu hakuna mtanzania gaidi.Mbona magaidi wengi wanatoka kwenye hiyo dini.
Watu wa pwani visiwani ndio wafupi, Ila sio wa kutoka Tanganyika.Angalia asili ya utafutaji wao na kazi zao kama kilimo na ufugaji izo jamiu wana ukatili sana na hawapati kabisa
Bara ni kawaida sana huku pwani ukimpiga tu mkeo kibao akienda kwao umemkosa na unaweza kufungwa ila bara huko noma wanapigwa wanavumilia kawaida yao
Mfano niliwai kusikia mauaji kadhaa Tanga na ujambazi wa kutisha miaka ya 2007 ulishamiri ila kila anayekamatwa ni mtu arusha ,mbaya
Kingine watu wa pwani wana vimwili vidogo sana kuliko watu wa bara naona hata vurugu hawawezi
Lini umewahu kusikia watu wa pwani wanakufa njaa na kwahiyo serikali ikalazimika kwenda kuwapa misaada?!
Au kwavile nyie mnachunga ng'ombe ndo mlitarajia kila mtu achunge ng'ombe hata kama sio kazi zao za siri?!
Korosho ambazo zinaliingizia taifa mabilioni ya pesa zinalimwa na nyinyi??
Mbaazi ambazo zilikuwa zinaozeana hadi kwenye maghala kwa kukosa soko mnalima nyie?
Nazi ambazo wengine mnaziona mkishakuja mjin, zinalimwa na nyie?
Acha ujinga!The way mnavyoongea kwa mgeni wa Tanzania anaweza kusema huko kwenu mambo yenu mazuri kweli kweli wakati ni maskini wa kutupwa!!
Kama yapi? Kuchunga ng'ombe, au?!
Na nyie msioridhika mapema mna nini cha maana?
Na ngoma za kipumbavu zinazohitimishwa kwa kukata visimi vya watoto zinachezwa pwani?
Yale yale!! Unaweza kukuta hata kwenye ukoo wako weneyewe kuna wengine hawana hata uhakika wa kula halafu hapa unaona wenzako hawapiganii maisha... VERY STUPID!
Kuna watu wangapi kutoka pwani ambao wewe binafsi au familia yako inawalipia kwa chochote?
Kuna watu wa majungu kama nyie kenge?!
Umeshawahi kufanyiwa huo ushirikina au unasikia tu kwa Waruga ruga wenzako?
Hivi kule walikokua wanaua albino eti ili kupata utajiri ni pwani? Kule wanakoua wazee kisa wana macho mekundu ni pwani? Kule ambako walikuwa wanachuna wenzao ngozi ni pwani?
Stop using carrot and stick! Haiwezekani mtu awe mshirikina, mchawi, na full majungu halafu hapo hapo eti useme ana roho mzuri na anajali watu wengine!
Yule mpima mapapai?Brain la kuongoza Taifa alikua nalo mwendazake tu
wachaga maendeleo gani watayaleta. Nenda kaangalie kwao vijijini kuna maendeleo gani. kungekuwa na maendeleo kwao wasingepakimbia kwao. wachaga wamejaa ubaguzi wa kikabila, wana roho mbaya. Hawawezi kuongoza taasisi za kitaifa, wanapenda sana sifa hata za kijinga. Hawawezi uongozi, angalia NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA. Hakafu ving'ang'anizi hawatoki madarakani. Hovyo kabisaKuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.
Jinga sana hawa watu! Mara kwa mara ni huko huko kwao ndiko utasikia kuna njaa hata kama mvua zinanyesha, lakini ni very rare usikie eti mikoa ya pwani kuna njaa!Umemjibu vizuri sana wao Ndio wanaongoza kwa kufa na njaa Ila sie wavivu eti
Ndio hekima yenyewe ni kuteka watu na kuwapoteza na kufunga biashara zaoAkili hata Ngedere ambayo.
Nchi inaongozwa Kwa Hekima Mkuu.
Watu wa pwani kwa roho mbaya ndio maana mnaongoza kwa ushirikinawachaga maendeleo gani watayaleta. Nenda kaangalie kwao vijijini kuna maendeleo gani. kungekuwa na maendeleo kwao wasingepakimbia kwao. wachaga wamejaa ubaguzi wa kikabila, wana roho mbaya. Hawawezi kuongoza taasisi za kitaifa, wanapenda sana sifa hata za kijinga. Hawawezi uongozi, angalia NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA. Hakafu ving'ang'anizi hawatoki madarakani. Hovyo kabisa
Tungekuwa hatuwapendi tusingewauzia viwanja mjenge karibu na sisi,maisha ya kwetu ni pamoja na watu ndo maana nyumba zetu nje tuliweka vibarwza ili hata tukiwa tinakula mgeni akipita ajumuike,haya Mambo ya kujenga kuweka ukuta mmetuletea watu wa Bara!Tunajali mdomoni tu lkn hatuwapendi watu wabara
Labda hekima ndio wanayo