Pamoja na Maumivu Makali Mbona Hatuwezi Kama Wenzetu?Tumelishwa Nini?

Pamoja na Maumivu Makali Mbona Hatuwezi Kama Wenzetu?Tumelishwa Nini?

Huko Kenya katika budget yao iliyosomwa siku moja na sisi kuna vitu vimetangazwa kama ongezeko la kodi nk mambo ambayo yana maumivu kwa raia.
Tofauti na tabia zetu, wao ASAP wakaingia barabarani bila kujali chama au sura na kupinga kwa nguvu moja hadi Serikali imesalimu amri na kutangaza kufuta kodi hizo.
Kwanini wenzetu wanaweza sisi hata tuwekewe kodi ya kuvuta oxygen hatuta goma zaidi ya kusifu kuwa "anaupiga mwingi"?
Jee ni uchawi gani umetumika kutuloga hadi kuwa taifa la mazombie?
Kwa sababu watu wetu wengi wanajua mbinu za kumudu maumivu...
 
Shida ni upinzani wanatuuza kila siku. Kwa yanayoendelea upinzani walipashwa kuitisha la mgambo kieleweke. Hii mikutano ya sijui tutaruka na chopa ifike mwisho.
Wananchi wanahitaji kuongozwa kufika Ng’ambo ile.
Wajeda wameungana na watesi
Nchi inaongozwa na wezi
Upinzani walipashwa wawe kwenye zinakotungwa sheria na kupitisha miswada hewa..
Mkuu si mlisema kufikia 2020 upinzani hakutakuwepo na kweli bungeni hawapo!!! Mmesahau vitimbi na madhila mliowasababishia???

Yaani muanzishe matatizo halafu mlie kuwa wapinzani wamewauza!!! Kila mtu ashinde mechi zake Mkuu.

Na wapinzani tunawaomba watulie hivyo hivyo mpaka namba lisomeke.

Mlidhani wanaadhirika wapinzani pekee yao. Sasa hivi ni zamu yenu kulianzisha!!!

⚖️Justice for Asimwe#
 
Steve Bannon anaita “controlled opposition” hiyo ndiyo iko tanzagiza ndiyo maana hausikii chochote kwenye mambo muhimu yanayogusa wengi ambayo yanaweza kuangusha serikali ya tanzagiza, sasa kenya ni tofauti kidogo opposition wanataka kuiangusha serikali hivyo wakipata nafasi wanaitumia hasa kufanikisha lengo lao kama opposition hiyo ndiyo tofauti …

⚖️Justice for Asimwe#
 
Huko Kenya katika budget yao iliyosomwa siku moja na sisi kuna vitu vimetangazwa kama ongezeko la kodi nk mambo ambayo yana maumivu kwa raia.
Tofauti na tabia zetu, wao ASAP wakaingia barabarani bila kujali chama au sura na kupinga kwa nguvu moja hadi Serikali imesalimu amri na kutangaza kufuta kodi hizo.
Kwanini wenzetu wanaweza sisi hata tuwekewe kodi ya kuvuta oxygen hatuta goma zaidi ya kusifu kuwa "anaupiga mwingi"?
Jee ni uchawi gani umetumika kutuloga hadi kuwa taifa la mazombie?
Tanzania ni taifa linaloongoza kuwa na watu wajinga na Mazezeta ulimwenguni
 
Huko Kenya katika budget yao iliyosomwa siku moja na sisi kuna vitu vimetangazwa kama ongezeko la kodi nk mambo ambayo yana maumivu kwa raia.
Tofauti na tabia zetu, wao ASAP wakaingia barabarani bila kujali chama au sura na kupinga kwa nguvu moja hadi Serikali imesalimu amri na kutangaza kufuta kodi hizo.
Kwanini wenzetu wanaweza sisi hata tuwekewe kodi ya kuvuta oxygen hatuta goma zaidi ya kusifu kuwa "anaupiga mwingi"?
Jee ni uchawi gani umetumika kutuloga hadi kuwa taifa la mazombie?
Bado threshold ya maumivu haijafikiwa.

Wewe ulidhani Wale Magaidi w Kenya walitoka Somalia au Kenya? Sasa hivi wako wapi?
 
Huko Kenya katika budget yao iliyosomwa siku moja na sisi kuna vitu vimetangazwa kama ongezeko la kodi nk mambo ambayo yana maumivu kwa raia.
Tofauti na tabia zetu, wao ASAP wakaingia barabarani bila kujali chama au sura na kupinga kwa nguvu moja hadi Serikali imesalimu amri na kutangaza kufuta kodi hizo.
Kwanini wenzetu wanaweza sisi hata tuwekewe kodi ya kuvuta oxygen hatuta goma zaidi ya kusifu kuwa "anaupiga mwingi"?
Jee ni uchawi gani umetumika kutuloga hadi kuwa taifa la mazombie?
Ukizoea maumivu hata yakija ya kubinywa pu...bu bado utaona ni kawaida. Wakenya mfumo wao walishajengewa si wa kuvumilia kero.
 
Steve Bannon anaita “controlled opposition” hiyo ndiyo iko tanzagiza ndiyo maana hausikii chochote kwenye mambo muhimu yanayogusa wengi ambayo yanaweza kuangusha serikali ya tanzagiza, sasa kenya ni tofauti kidogo opposition wanataka kuiangusha serikali hivyo wakipata nafasi wanaitumia hasa kufanikisha lengo lao kama opposition hiyo ndiyo tofauti …
Toa ujinga wako hapa.
 
Ukizoea maumivu hata yakija ya kubinywa pu...bu bado utaona ni kawaida. Wakenya mfumo wao walishajengewa si wa kuvumilia kero.
Wakuu wa hawajaamua kuleta mabadiliko ktk nchi yao.

Wakiamua hata kesho mambo yanabadilika.
 
Watanzania sio wapumbavu, wameweka viongozi na wanawaamini.

Kama muandamanishaji alichapwa Dodoma, hakuna aliyeandamana, DJ akapigwa segere matata, hakuna aliyeandamana, unatutaka nini?

Kwanza uchumi wetu kwa kiasi kikubwa haujaungwa na uchumi wa nchi na dunia kama kenya. Nimelima mahindi nyuma ya nyumba au shambani kwa ajili ya kula, kwani Mwigulu ananifata shambani kunikata kodi? Nafuga tu kuku nakula wakati wa sikukuu, kwani mwigulu atanifata eti nisikachinje mpaka nilipe kodi?

Napongeza serikali kwa ku-detach uchumi wetu huku vijijini na mfumo rasmi, nawahakikishia, hatutaandamana, labda kama kuna maandamano ya kumpongeza Samia

👏👏👏👏👏👏👏🔊🎧🎶🎵

⚖️Justice for Asimwe#
 
Imagine kwenye nishati muhimu kama ya gesi wameweka kodi alafu watu wako kimya tu


Inauma sema basi tu [emoji24]
 
Mwenge wa Uhuru ambao uliwafanya waliotutangulia Uhuru, tuliopo sasa na Vizazi vyetu kuwa Wapumbavu tu Milele.
Haya ni mawazo ya kupuuzwa kabisa.
Ugoigoi wa asili tu.
Hata hivyo, hakuna sababu ya kufanya vurugu za kuumiza wengi wasio na hatia.
Ni muhimu ikibidi akili itumike waumizwe watesi.
 
Haya ni mawazo ya kupuuzwa kabisa.
Ugoigoi wa asili tu.
Hata hivyo, hakuna sababu ya kufanya vurugu za kuumiza wengi wasio na hatia.
Ni muhimu ikibidi akili itumike waumizwe watesi.

Mkuu kuandama ni tofauti na kufanya fujo vurugu. Na mara nyingi waleta fujo ni polisi wakitumiwa na wanaharamu!!!

⚖️Justice for Asimwe#
 
Back
Top Bottom