Pamoja na Maumivu Makali Mbona Hatuwezi Kama Wenzetu?Tumelishwa Nini?

Asilimia kubwa ya Watanzania ni Mazezeta.
 
Mandamano ya sasa Kenya hayajaitishwa na upinzani amka utajikojolea
 
Asilimia kubwa ya Watanzania ni Mazezeta.
Ona vijana wa Kenya wanayo andika mitandaoni! Ni kutudharau tuu kutokana na vijana tulio nao.
 

Attachments

  • IMG-20240626-WA0010.jpg
    54.6 KB · Views: 1
Ona vijana wa Kenya wanayo andika mitandaoni! Ni kutudharau tuu kutokana na vijana tulio nao.
Euphoria, sasa wakichoma kama Wasomalia watakuja huku kama Wakimbizi halafu hapo ndio wataelewa maisha ya ukimbizini.
 
Euphoria, sasa wakichoma kama Wasomalia watakuja huku kama Wakimbizi halafu hapo ndio wataelewa maisha ya ukimbizini.
Hujawaelewa hiyo kebehi yao, wanasema wao ndio danger yenyewe! Wakija huku taifa la kina Mwijaku na Steve Nyerere wanatufukuza na kuishi hapa. Anyway sio uhalisia bali ni jejeli ya aina fulani kutokana na vijana wa hapa kwetu kuishi maisha ya "kichawa" baala ya kuwa majasiri.
 
Akili yako ilpoishia ndipo cc zetu zimeanzia hapo kwa hyo ww ni kilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…