Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du, ''nyoka'' je?Nasisimka nikiona panya dah
Retired Luteni Kanali Magawa(Panya Mfichuzi Mkuu wa Mabomu Tanzania(PMMMT)[emoji378]Amestaafu na rank gani shekh?
Hahahaa unawaogopaNasisimka nikiona panya dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Arudi bongo huku, afukuzane na mapaka ya kichawi
Ila achunge pesa za penshen kunapanya madanga huku watamfilisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vp penshen yake nasikia anakula bats ugaibuniView attachment 1808767
Akati amesha zeeka, nguvu hana au atumie mkongo na vumbi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inabidi atafutiwe demu sasa maana tayari ameachana na issue za kijeshi zilizokuwa zinambana.
Asife bila kuacha watoto.
Maisha hayako fair wallah [emoji23][emoji23][emoji23]Panya kala shavu wakati kuna mwana ana degree 2 hajawahi kukanyaga ofisini [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msimwambie Wema Sepetu.....
panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.
Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia
Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO
Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake
Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.
View attachment 1808755
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umenenaArudi bongo huku, afukuzane na mapaka ya kichawi
Ila achunge pesa za penshen kunapanya madanga huku watamfilisi.
kuna mtanzania MATAGA ana miaka 10 nyumbani anatafuta kazi , kabla ya panya kuzaliwa mpaka anamaliza kazi.panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.
Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia
Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO
Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake
Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.
View attachment 1808755