Mkuu wa wilaya ya Temeke jokate mwegelo amesema ndani ya siku mbili zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa wakiwemo vijana wanaojiita ‘panya road’ ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu wa kuvamia nyumba na kupora mali pamoja na kuwajeruhi watu
Source:
#EastAfricaRadioView attachment 2358700
Mpongeze kwanza DCHuo ni uonevu. Ukamataji wa hovyo bila uchunguzi. Polisi ilikuwa wapi miaka zaidi ya 10 sasa? (Toka ile Clip ya Wanaume wa Dar es Salaam- Sauti ya mtu wa MARA).
Huwezi kurupuka uka kamata watu hovyo hovyo tu.
Huo ni uonevu. Ukamataji wa hovyo bila uchunguzi. Polisi ilikuwa wapi miaka zaidi ya 10 sasa? (Toka ile Clip ya Wanaume wa Dar es Salaam- Sauti ya mtu wa MARA).
Huwezi kurupuka uka kamata watu hovyo hovyo tu.
Hizo si kauli za kutoa public. Kuna mambo ya kusema na kuto kusema kama kiongozim problem is huna maadili hayoHao vijana wmekamatwa bila kuwatembezea kipigo? Nilitegemea mkuu wa wilaya aseme pia ni wangapi wameuawa Kwa kipigo ili liwe fundisho Kwa madogo wengine wapuuzi.
Ulikubariana na nani wewe nani ulikubariana nae kwani wanapokuja kupiga watu na kuua hua mnakubariana pia? Acha uchokoSi tulikubaliana watuhumiwa wasikamatwe bila upelelezi? Tuanzie hapo. Kisha tujiulize:
"Hawa waliokamatwa wana vitambulisho vya kuwa wao ni Panya road?"
Ingebidi litumike neno "wanaotuhumiwa kuwa panya road" mpaka mahakama itakavyothibitisha vinginevyoSi tulikubaliana watuhumiwa wasikamatwe bila upelelezi? Tuanzie hapo. Kisha tujiulize:
"Hawa waliokamatwa wana vitambulisho vya kuwa wao ni Panya road?"
Ulikubariana na nani wewe nani ulikubariana nae kwani wanapokuja kupiga watu na kuua hua mnakubariana pia? Acha uchoko
Kata miguu wooote washindwe kutembea kabisa wasotee matako kumamake alafu tuone..Hakuna classification hapa. Ukidakwa night Kali we ni PANYA.
Miguu koma.
Basi km ulikubariana endelea kukubariana sisi tukikamata tunachonga miguu.. endelea kuwafuga ila tusiwadakeTulikubaliana Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan. Samahani kukujumuisha wewe kutokea Burundi.
Ingebidi litumike neno "wanaotuhumiwa kuwa panya road" mpaka mahakama itakavyothibitisha vinginevyo
Wewe watetee sisi tukiwadaka hao machoko wenzio hakuna msalie mtume tunachonga miguu tushawachoka...Mkuu ogopa sana nchi iliyojaa ma Centre Forward kama walivyoorodheshwa hapa:
View attachment 2358785
Hapa hakuna kitu,ni "reaction tu"tunataka tuone action,sio mnaonyesha plan wakati tukio limetoka,Hawa wakuu wa wilaya,wengi wao wanauza sura tu na kula bia,watu wakiuliwa ndio wwnatokea na kutoa matamko,hawasemi plan zao za muda mrefu.Mkuu wa wilaya ya Temeke jokate mwegelo amesema ndani ya siku mbili zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa wakiwemo vijana wanaojiita ‘panya road’ ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu wa kuvamia nyumba na kupora mali pamoja na kuwajeruhi watu
Source:
#EastAfricaRadioView attachment 2358700
Hilo ni agizo la polisi, hakuna kukamatwa bila upeelelezi.Ulikubariana na nani wewe nani ulikubariana nae kwani wanapokuja kupiga watu na kuua hua mnakubariana pia? Acha uchoko
Kwamba wewe ni mjumbe kiongozi humo:Wewe watetee sisi tukiwadaka hao machoko wenzio hakuna msalie mtume tunachonga miguu tushawachoka...
Akili za nyumbu wanazijua wenyewe, watakuja kutetea wahalifu hapa eti ni haki za binadamu.Kwamba wewe ni mjumbe kiongozi humo:
View attachment 2358794
Kujadili lolote nawe ni kupoteza muda bure.
Hospitali au kituo cha polisi utamkuta uko ila sana sana utamkuta hospitali akiwa hana miguu maana miguu ndio inamtia jeuri ya kutembea na kupiga na kuua watu..Hilo ni agizo la polisi, hakuna kukamatwa bila upeelelezi.
Mahakama pekee ndiyo iliyo na weledi wa kuwatambua wahalifu. Si raia, polisi wala mburula yeyote. Wewe ni Mahakama ya wapi?Akili za nyumbu wanazijua wenyewe, watakuja kutetea wahalifu hapa eti ni haki za binadamu.