City Rider
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 402
- 1,212
Raisi alishatoa agizo, punguza muhari.Hospitali au kituo cha polisi utamkuta uko ila sana sana utamkuta hospitali akiwa hana miguu maana miguu ndio inamtia jeuri ya kutembea na kupiga na kuua watu..
Kwenye hili naungana na wewe, Raisi alishaweka msimamo wazi. Hakuna kukamatwa bila upeelelezi. Polisi hawezi kutoa hukumu, polisi kazi yake ni kutoa ushahidi tuMahakama pekee ndiyo iliyo na weledi wa kuwatambua wahalifu. Si raia, polisi wala mburula yeyote. Wewe ni Mahakama ya wapi?
Tukikamata sisi tunawakata miguu wewe hayo utajua na wenzako uko mliko ila mjue tukiwadaka tunawakata miguu.. Acha kuwatetea tena wafikishie huu ujumbe uko mlikoRaisi alishatoa agizo, punguza muhari.
Watu watashindwa kwenda kuwala mademu zao au wake za watu mida ya night kali.))Hakuna classification hapa. Ukidakwa night Kali we ni PANYA.
Miguu koma.
mwamba unawajua askari wetu au yan hapo ukute panya road watatu tu wengine wote jumba bovuWakikamatwa wakatwe miguu woote Kwanza watajieleza baadae kumamake hao wasenge hawana huruma weeewe nani unawaonea huruma?
Mkuu usinifundushe namna ya kunusa basi.Hizo si kauli za kutoa public. Kuna mambo ya kusema na kuto kusema kama kiongozim problem is huna maadili hayo
Tushawachoka hakuna cha kujua wala kutokujua wakidakwa wafyekwe miguu wooote alafu ndio wachukulie maelezo...mwamba unawajua askari wetu au yan hapo ukute panya road watatu tu wengine wote jumba bovu
Kwenye hili naungana na wewe, Raisi alishaweka msimamo wazi. Hakuna kukamatwa bila upeelelezi. Polisi hawezi kutoa hukumu, polisi kazi yake ni kutoa ushahidi tu
tatizo lipo wapi ujue umejichanganya night upo ghetto nikanunue chips wanakudaka halaf hawana ule weledi wa kujua huyu ndie huyu sie halaf wanataka namba kubwa ya washitakiwa siku moja mia?Tushawachoka hakuna cha kujua wala kutokujua wakidakwa wafyekwe miguu wooote alafu ndio wachukulie maelezo...
HUNA AKILITukikamata sisi tunawakata miguu wewe hayo utajua na wenzako uko mliko ila mjue tukiwadaka tunawakata miguu.. Acha kuwatetea tena wafikishie huu ujumbe uko mliko
Tukikukakamata tunakukata miguu nenda kawaambie na wenzako unaowatetea.. mnapiga na kuua watu alafu mnaleta kauli za kukubariana eti tulikubariana subiri udakwe utaelewa km ulikubariana au ulifanyajeHUNA AKILI
Jf ni zaidi ya facebookTukikukakamata tunakukata miguu nenda kawaambie na wenzako unaowatetea.. mnapiga na kuua watu alafu mnaleta kauli za kukubariana eti tulikubariana subiri udakwe utaelewa km ulikubariana au ulifanyaje
jembd sisi wenyewe tushapigwa sana hawa wasenge sema wafanye haki katika kukamataTukikukakamata tunakukata miguu nenda kawaambie na wenzako unaowatetea.. mnapiga na kuua watu alafu mnaleta kauli za kukubariana eti tulikubariana subiri udakwe utaelewa km ulikubariana au ulifanyaje
Haki ya kuachwa huru kwa dhamana waje kuchinjachinja tena mtaani au unazungumzia haki ipi kwa mfano? Emu fafanua hapo mkuujembd sisi wenyewe tushapigwa sana hawa wasenge sema wafanye haki katika kukamata
maafande wetu hawapo fair wana mtindo was kukusanya sasa mpaka hakimu akuachie sio Leo ujueHaki ya kuachwa huru kwa dhamana waje kuchinjachinja tena mtaani au unazungumzia haki ipi kwa mfano? Emu fafanua hapo mkuu
Ndio iwe hivyo km wewe ni msafi huna kosa huwezi kua kwenye orodha hio ila km wewe ndio wale wale lazima utadakwa tu na mimi nasemaje wakikudaka wakukate miguu kwanza kabla mahakimu hawajakuona kitaeleweka mbele ya safari tushawachoka kwanza.. msako wa nyani ngedere haponimaafande wetu hawapo fair wana mtindo was kukusanya sasa mpaka hakimu akuachie sio Leo ujue