Panya road katika matukio yao ni lazima wajeruhi kila mtu?

Panya road katika matukio yao ni lazima wajeruhi kila mtu?

Natamani mitaa yangu ahamie au apatikane kiongozi mkubwa polisi wawe wanafanya patrol.huku mitaani tumeachwa tu lakini kodi tunalipa kuputia manunuzi yetu.hii nalo mlitazame sio sawa wote tunalipa KODI.Hakuna anayelipa zaidi.
Huku mikoani tunaona askar wa misitu na mali asili ni wengi sana,wangekuwa ni polisi na yale magari yao yalivyotapakaa yangetutosha lakini ndio hivyo magari ya hawa askar wa misitu ni kuwapeleka na kuwarudisha ila ni mengi kwa doria yangefaa sana.
 
wanaume wa dar waoga sana mnaogopa vitoto vidogo panya road shenz nyie fanyen misako wachinjen kabisa nyau hao ...waambien panya road waje usukuman huku tuwachinje kama kuku shenz zao
 
polisi yuko kituoni zaidi ya miaka 20 kazi yake kupambana na vibaka inakuwaje asiwajue? mpaka wanavamia watu na kuwaumiza alafu unauliza polisi wafanyeje?
Kwanza sikukuukiza wewe.
Pili,majibu yako yamejaa chuki.
...niseme hivi, huna ushahidi wowote ule kuwa Askari kukaa sehemu miaka 20 ndio unamfanya awajue vibaka wote


. Wewe binafsi unawajua watu wenye chuki wangapi? Sitaki unijibu. Jiulize na uishie huko.

Mnajaza posting zenu na lugha za ukimbari, mnategemea nini?
Mnaleta madai ambayo kiuahalisia hayafanyiki/hayatendeki Tanzania au Afrika kwa Ujumla.

Maneno yenu yakipuuzi hayajengi jamii, wala hayatii moyo sehemu yeyote ile....mna chuki za ajabu.

Nyie ndio magaidi wenyewe.
 
Saa Panya Road wanaiba, watu huwa wanalia na kuwaona ni vijana wadogo na hata watoto, saa Polisi wakishughulika nao, watu huwatetea na kusema Polisi wanawaonea, hebu tuwe na chaguo moja, Panya Road washughulikiwe au haki za binadamu wawatetee Panya Road
 
Afande Mwita ka-maindi ?..😂😂
Tatizi lenu hamna chochote kile zaidi ya kueneza chuki na misamiati yenu ya Ukimbari.

Kuna....nimejisitiri.

Kawaulize wazazi wako walipata machungu gani kutokwambia kama walikuwa na mapenzi au la wakati wanatunga mimba yako?
 
Ngoja niwaambie kitu kimoja pengine watu hawajui, binafsi nimekulia sana kitaa hao panya road ni wadogo zetu, kaka zao uo upuuzi tushauacha saivi tupo tunaendesha boda boda na wengine tunajishughulisha na shughuli zingine yani usela tushaacha wengine washaenda maisha ya mbele n.k wachache sana bado wapo ktk uhuni,

Panya road ni vijana wa miaka 16-24 wale wa 28-35 ndo baadhi kama viongozi na wengine ndo wanajiita matembo hawa hawafanyi uahalifu wao wanawatoa madogo chambo

Hawa madogo hawana roho ya huruma hata kidogo yani wametuzidi hadi kaka zao enzi zetu uhuni wetu haukuwa kiwango iki mpka tunawaogopa

Hawa watoto wamekulia katk uhuni wameanza kuvuta bangi mapema sana, wameshuhudia matukio mengi tofauti na umri wao, yani wamevaa roho za kishetani mapema sana, yani akikushikia kisu huwa ni nadra sana kirudi bila damu,

Sasa kilichopo ni kwamba wana hasira na wananzengo maana waidokoa wakidakwa ni kifo so na wao wakiingia sehemu watu lazima mchakae ,

Kwaiyo ni kisasi na wizi, hao wanaovamia bunju hawakai bunju unakuta wanatoka sehem za uswahilini, wanakinukisha kila mtu anarudi ktk shimo lake,

Hii trend itaenda watazoea damu za watu wataona kawaida watatamani kuona damu zaidi hapo ndipo mauaji yanapoanzia, polisi wakiwamata au raia wakiwauwa kisasi kinazid kuchochewa,

Kuwapata kwao au ukitaka kuwashuhudia mmoja auwawe alafu wamwache akazikwe na raia ndo utakapo waona panya road live , sasa kumjuwa yupi ni yupi ndo kazi ilipo ,wale ambao ni konki huwa wanakaa kimachale machale sana hata difenda zikija ni nadra sana wakamatwe wao, watakamatwa wavuta bangi tu ila panya wenyewe unakuta washa escape kitambo

Yani bora liwepo hata likiwanda linaloweza ajiri watu elfu tano wazolewe wakakae uko kama kambi wawe bize bila ivo
Shughuli ipo
 
Saa Panya Road wanaiba, watu huwa wanalia na kuwaona ni vijana wadogo na hata watoto, saa Polisi wakishughulika nao, watu huwatetea na kusema Polisi wanawaonea, hebu tuwe na chaguo moja, Panya Road washughulikiwe au haki za binadamu wawatetee Panya Road
Idd n,
Hawa magaidi hawana hoja...wanachokifanya ni kuleta kejeli, kuweka maneno ya kupumbaza, maneno ya kudumaza n.k

Mara nyingi huwa wanafanya hivyo kwa kuchangia, ni kundi au niseme ni genge, wana ma iD lukuki tu za kurusha vijembe maneno mengi n.k Lakini kikubwa ni Jumbe zao. Lengo kuu ni kudumaza Jamii tajwa....kwa kufanya kufanya Ugaidi wa matabaka. Ugaidi wa Tamaduni. Ugaidi wa Mila n.k

Kinachosikitisha ni pale vyombo vya habari, viongozi katika nyanja zao mbali mbali kuanza kuhemeka na kurudia ujumbe wenye lugha na misamiati ya Ukimbari. Ni aibu kubwa Kiongozi yeyote yule kutumia msamiati wa Panya Road. Ni faraja kubwa kwa hawa mabeberu na magaidi wa mtandao kwani huwa wanatumia vielelezo vyao kama haki kwao kuendeleza ugaidi huo...kuna mapungufu gani wakisema hao wanaofanya hivyo ni Majambazi?.

Viongozi wao wanaeleweka, nashauri TCRA wafanye kazi kweli kweli.
Idara zenye wajibu wa kuzuia Ugaidi wafanye kazi mara mbili ya hapa, sio kuweka usalama kwa Viongozi wa siasa bali Jamii nzima kwa Ujumla.

Tujifunze kuenda sambamba nao, wakibadilisha mbinu, spidi, jumbe(ujumbe) na misamiati yao...yaani tuende nao bega kea bega, kwata kwa kwata, risasi kwa risasi ....kwani Hawa ni maadui wa Taifa natu wachukulie hivyo.

Aluta Continua
 
Ngoja niwaambie kitu kimoja pengine watu hawajui, binafsi nimekulia sana kitaa hao panya road ni wadogo zetu, kaka zao uo upuuzi tushauacha saivi tupo tunaendesha boda boda na wengine tunajishughulisha na shughuli zingine yani usela tushaacha wengine washaenda maisha ya mbele n.k wachache sana bado wapo ktk uhuni
Hearbeatss, ni wapi huko? Kitaa ndio wapi, na kama unawajua umepeleka taarifa zako kituo cha polisi? Unayo ripoti? Ni kituo gani cha polis. Nani mkuu wa kituo hicho cha polisi?
Panya road ni vijana wa miaka 16-24 wale wa 28-35 ndo baadhi kama viongozi na wengine ndo wanajiita matembo hawa hawafanyi uahalifu wao wanawatoa madogo chambo
Umefanya utafiti huo wapi?
Hawa madogo hawana roho ya huruma hata kidogo yani wametuzidi hadi kaka zao enzi zetu uhuni wetu haukuwa kiwango iki mpka tunawaogopa
Kumbe na wewe ulikuwa muhuni?
Hawa watoto wamekulia katk uhuni wameanza kuvuta bangi mapema sana, wameshuhudia matukio mengi tofauti na umri wao, yani wamevaa roho za kishetani mapema sana, yani akikushikia kisu huwa ni nadra sana kirudi bila damu,
Hiyo lugha ni ya Kimbari. Unajenga nadharia ambayo haina mashiko. Ukumbuke Bangi imetumiwa kama silaha moja yapo ya kukandamiza jamii wakati ikieleweka kuwa hakuna ushqhidi wowote, hakuna uhusiano wowote ule wa mvuta bangi kuwa ni muhuni au Jambazi
Sasa kilichopo ni kwamba wana hasira na wananzengo maana waidokoa wakidakwa ni kifo so na wao wakiingia sehemu watu lazima mchakae ,

Hiyo juu pia ni lugha ya kimbari....'wanahasira' Wanahasira na nini haswa? Fafanua
Kwaiyo ni kisasi na wizi, hao wanaovamia bunju hawakai bunju unakuta wanatoka sehem za uswahilini, wanakinukisha kila mtu anarudi ktk shimo lake,

Hapo juu unqjenga dhana ya 'Wale wa kule' wakati ulipoanza ulidai umeishi 'Kitaa' ukiwa na maana umeiwahi kuishi huko uswahilini au? Unabisha?
Hii trend itaenda watazoea damu za watu wataona kawaida watatamani kuona damu zaidi hapo ndipo mauaji yanapoanzia, polisi wakiwamata au raia wakiwauwa kisasi kinazid kuchochewa,
Hapo juu unaleta ndharia ya kuwa hao ni 'Wanyama' hawana akili za 'Ubinadamu' na hayo maneno yako bado yanadondokea kwenye lugha za ukimbari....Bigoted, and Racist connotation.
Kuwapata kwao au ukitaka kuwashuhudia mmoja auwawe alafu wamwache akazikwe na raia ndo utakapo waona panya road live , sasa kumjuwa yupi ni yupi ndo kazi ilipo ,wale ambao ni konki huwa wanakaa kimachale machale sana hata difenda zikija ni nadra sana wakamatwe wao, watakamatwa wavuta bangi tu ila panya wenyewe unakuta washa escape kitambo

Wapi huko ulipo shuhudia hayo juu? Ulifanya nini kama Raia mwema kuona hao wanakamatwa? Je ulishindwaje kuwapiga picha na kuwapa taarifa polisi? Wacha kuchagiza Ukimbari. Wacha ugaidi
Yani bora liwepo hata likiwanda linaloweza ajiri watu elfu tano wazolewe wakakae uko kama kambi wawe bize bila ivo
Shughuli ipo

Yale yale....Unapendekeza Utumwa.

Kitaelweka....wacheni Ugaidi nyinyi maharamia.
 
Hearbeatss, ni wapi huko? Kitaa ndio wapi, na kama unawajua umepeleka taarifa zako kituo cha polisi? Unayo ripoti? Ni kituo gani cha polis. Nani mkuu wa kituo hicho cha polisi?

Umefanya utafiti huo wapi?

Kumbe na wewe ulikuwa muhuni?

Hiyo lugha ni ya Kimbari. Unajenga nadharia ambayo haina mashiko. Ukumbuke Bangi imetumiwa kama silaha moja yapo ya kukandamiza jamii wakati ikieleweka kuwa hakuna ushqhidi wowote, hakuna uhusiano wowote ule wa mvuta bangi kuwa ni muhuni au Jambazi


Hiyo juu pia ni lugha ya kimbari....'wanahasira' Wanahasira na nini haswa? Fafanua


Hapo juu unqjenga dhana ya 'Wale wa kule' wakati ulipoanza ulidai umeishi 'Kitaa' ukiwa na maana umeiwahi kuishi huko uswahilini au? Unabisha?

Hapo juu unaleta ndharia ya kuwa hao ni 'Wanyama' hawana akili za 'Ubinadamu' na hayo maneno yako bado yanadondokea kwenye lugha za ukimbari....Bigoted, and Racist connotation.


Wapi huko ulipo shuhudia hayo juu? Ulifanya nini kama Raia mwema kuona hao wanakamatwa? Je ulishindwaje kuwapiga picha na kuwapa taarifa polisi? Wacha kuchagiza Ukimbari. Wacha ugaidi


Yale yale....Unapendekeza Utumwa.

Kitaelweka....wacheni Ugaidi nyinyi maharamia.
Mi nimekulia mitaa ya wahuni so hao panya road tunawahukumu kulingana na itikeli ya wahuni ndo maana huwezi sikia panya road wamevamia mbagala au keko au mburahati au manzese never, niwapige picha mi kwani mwandishi w habari, jifunze kumind your own shit suala unaloweza solve solve lililo nje ya uwezo wako achana nalo

Huwezi kamata mtu tu eti kisa yupo kihuni huni ukamterm ni panya road mkamate ktk tukio , mi muhuni na msela haswa ila tushakuwa watu wazima ujinga nishauacha ,yani panya road wakitukuta njiani watakushambulia wewe mi wataniacha ,

Iangaliwe namna ya kuwasaidia hawa vijana wahuni sio watu
 
DC wa Kinondoni nasikia anasema eti hakuna Panya road ni uzushi, hivi hawa ma DC wa aina hii wanatoka wapi? Mh. Rais fukuza kabisa DC wa aina hii
 
Mi nimekulia mitaa ya wahuni so hao panya road tunawahukumu kulingana na itikeli ya wahuni ndo maana huwezi sikia panya road wamevamia mbagala au keko au mburahati au manzese never, niwapige picha mi kwani mwandishi w habari,
Uwongo ndio utakukamata. Wacha ugaidi wa mtandaoni. Gaidi wewe

jifunze kumind your own shit suala unaloweza solve solve lililo nje ya uwezo wako achana nalo
Huna lelote lile unaweza 'Kusolve' Tanzania. Matamshi yako yamejaa lugha ya Ukimbari, ni mkimbari tuu. You are a bigoted racist twaat!
Watu kama wewe nakula nao sahani moja
Huwezi kamata mtu tu eti kisa yupo kihuni huni ukamterm ni panya road mkamate ktk tukio , mi muhuni na msela haswa ila tushakuwa watu wazima ujinga nishauacha ,yani panya road wakitukuta njiani watakushambulia wewe mi wataniacha ,
Panya Road ndio nini? Wacha upuuzi msela.
Iangaliwe namna ya kuwasaidia hawa vijana wahuni sio watu
Umeharisha tuu. Hakuna kipande chochote ambayo ulitoa pendekezo la 'kuwasaidia' Vijana badala yake umekuwa unawakandia.....Ati kuwasaidia?....na unasaidia vipi watu ambao sio watu? Wacha ugaidi.
 
Mi naona wauliwe kwasababu hawana mchango wowote zaidi ya kutuongezea kinyesi hapa duniani
Hyo ni violation of law , na ni criminal case , Maghufuli alitembea na hii shortcut mkamsema Sana , tena yeye alitembea nayo Kwa wote , jambazi Kwa vibaka , no majadiliano just kill them
 
Ngoja niwaambie kitu kimoja pengine watu hawajui, binafsi nimekulia sana kitaa hao panya road ni wadogo zetu, kaka zao uo upuuzi tushauacha saivi tupo tunaendesha boda boda na wengine tunajishughulisha na shughuli zingine yani usela tushaacha wengine washaenda maisha ya mbele n.k wachache sana bado wapo ktk uhuni,

Panya road ni vijana wa miaka 16-24 wale wa 28-35 ndo baadhi kama viongozi na wengine ndo wanajiita matembo hawa hawafanyi uahalifu wao wanawatoa madogo chambo

Hawa madogo hawana roho ya huruma hata kidogo yani wametuzidi hadi kaka zao enzi zetu uhuni wetu haukuwa kiwango iki mpka tunawaogopa

Hawa watoto wamekulia katk uhuni wameanza kuvuta bangi mapema sana, wameshuhudia matukio mengi tofauti na umri wao, yani wamevaa roho za kishetani mapema sana, yani akikushikia kisu huwa ni nadra sana kirudi bila damu,

Sasa kilichopo ni kwamba wana hasira na wananzengo maana waidokoa wakidakwa ni kifo so na wao wakiingia sehemu watu lazima mchakae ,

Kwaiyo ni kisasi na wizi, hao wanaovamia bunju hawakai bunju unakuta wanatoka sehem za uswahilini, wanakinukisha kila mtu anarudi ktk shimo lake,

Hii trend itaenda watazoea damu za watu wataona kawaida watatamani kuona damu zaidi hapo ndipo mauaji yanapoanzia, polisi wakiwamata au raia wakiwauwa kisasi kinazid kuchochewa,

Kuwapata kwao au ukitaka kuwashuhudia mmoja auwawe alafu wamwache akazikwe na raia ndo utakapo waona panya road live , sasa kumjuwa yupi ni yupi ndo kazi ilipo ,wale ambao ni konki huwa wanakaa kimachale machale sana hata difenda zikija ni nadra sana wakamatwe wao, watakamatwa wavuta bangi tu ila panya wenyewe unakuta washa escape kitambo

Yani bora liwepo hata likiwanda linaloweza ajiri watu elfu tano wazolewe wakakae uko kama kambi wawe bize bila ivo
Shughuli ipo
Kama hukai Magomeni basi unakaa Mburahati, naotea!!
 
Ngoja niwaambie kitu kimoja pengine watu hawajui, binafsi nimekulia sana kitaa hao panya road ni wadogo zetu, kaka zao uo upuuzi tushauacha saivi tupo tunaendesha boda boda na wengine tunajishughulisha na shughuli zingine yani usela tushaacha wengine washaenda maisha ya mbele n.k wachache sana bado wapo ktk uhuni,

Panya road ni vijana wa miaka 16-24 wale wa 28-35 ndo baadhi kama viongozi na wengine ndo wanajiita matembo hawa hawafanyi uahalifu wao wanawatoa madogo chambo

Hawa madogo hawana roho ya huruma hata kidogo yani wametuzidi hadi kaka zao enzi zetu uhuni wetu haukuwa kiwango iki mpka tunawaogopa

Hawa watoto wamekulia katk uhuni wameanza kuvuta bangi mapema sana, wameshuhudia matukio mengi tofauti na umri wao, yani wamevaa roho za kishetani mapema sana, yani akikushikia kisu huwa ni nadra sana kirudi bila damu,

Sasa kilichopo ni kwamba wana hasira na wananzengo maana waidokoa wakidakwa ni kifo so na wao wakiingia sehemu watu lazima mchakae ,

Kwaiyo ni kisasi na wizi, hao wanaovamia bunju hawakai bunju unakuta wanatoka sehem za uswahilini, wanakinukisha kila mtu anarudi ktk shimo lake,

Hii trend itaenda watazoea damu za watu wataona kawaida watatamani kuona damu zaidi hapo ndipo mauaji yanapoanzia, polisi wakiwamata au raia wakiwauwa kisasi kinazid kuchochewa,

Kuwapata kwao au ukitaka kuwashuhudia mmoja auwawe alafu wamwache akazikwe na raia ndo utakapo waona panya road live , sasa kumjuwa yupi ni yupi ndo kazi ilipo ,wale ambao ni konki huwa wanakaa kimachale machale sana hata difenda zikija ni nadra sana wakamatwe wao, watakamatwa wavuta bangi tu ila panya wenyewe unakuta washa escape kitambo

Yani bora liwepo hata likiwanda linaloweza ajiri watu elfu tano wazolewe wakakae uko kama kambi wawe bize bila ivo
Shughuli ipo
Umeongea mambo ya msingi sana na yenye mashiko mno,hawa wanadhuru watu kwa visasi na hawataacha kudhuru raia kwa maana hiyo.

Wana visasi na jamii salama,it's a mental issue na imewafanya wamekua na envy,

Fikiria mtu anakuvamia na kwakua anashindwa kuing'oa tv ukutani anaamua kuivunja vunja ili upate hasara tu kukupiga mapanga ili udhurike tu.

Na hawa asilimia 90 wanatoka maeneo yenye maisha ya hali ya chini tumezoea kupaita " uswazi au uswahilini" sehemu zisizostaarabika,huku ndio kuna maskani au vijiwe vingi vya majobless

Na hayo yote yamechangiwa na sababu nyingi kama malezi mabovu au kufuata mkumbo kwakua ni rahisi kufuata ile mobb psychology yanayofanya hawa vijana kukosa muelekeo sahihi wa kimaisha.

Ikumbukwe kua huku uswazi ndio kunatoa wadada poa ( changudoa)wengi zaidi kuliko sehemu zilizostaarabika.
 
Back
Top Bottom