Panya road katika matukio yao ni lazima wajeruhi kila mtu?

Panya road katika matukio yao ni lazima wajeruhi kila mtu?

Uwongo ndio utakukamata. Wacha ugaidi wa mtandaoni. Gaidi wewe


Huna lelote lile unaweza 'Kusolve' Tanzania. Matamshi yako yamejaa lugha ya Ukimbari, ni mkimbari tuu. You are a bigoted racist twaat!
Watu kama wewe nakula nao sahani moja

Panya Road ndio nini? Wacha upuuzi msela.

Umeharisha tuu. Hakuna kipande chochote ambayo ulitoa pendekezo la 'kuwasaidia' Vijana badala yake umekuwa unawakandia.....Ati kuwasaidia?....na unasaidia vipi watu ambao sio watu? Wacha ugaidi.
We endelea kukaa uko ushuani mbezi masaki sijui kisarawe tykutane mtandaoni ya uswahilini huyajui ko sikushangai
 
Idd n,
Hawa magaidi hawana hoja...wanachokifanya ni kuleta kejeli, kuweka maneno ya kupumbaza, maneno ya kudumaza n.k

Mara nyingi huwa wanafanya hivyo kwa kuchangia, ni kundi au niseme ni genge, wana ma iD lukuki tu za kurusha vijembe maneno mengi n.k Lakini kikubwa ni Jumbe zao. Lengo kuu ni kudumaza Jamii tajwa....kwa kufanya kufanya Ugaidi wa matabaka. Ugaidi wa Tamaduni. Ugaidi wa Mila n.k

Kinachosikitisha ni pale vyombo vya habari, viongozi katika nyanja zao mbali mbali kuanza kuhemeka na kurudia ujumbe wenye lugha na misamiati ya Ukimbari. Ni aibu kubwa Kiongozi yeyote yule kutumia msamiati wa Panya Road. Ni faraja kubwa kwa hawa mabeberu na magaidi wa mtandao kwani huwa wanatumia vielelezo vyao kama haki kwao kuendeleza ugaidi huo...kuna mapungufu gani wakisema hao wanaofanya hivyo ni Majambazi?.

Viongozi wao wanaeleweka, nashauri TCRA wafanye kazi kweli kweli.
Idara zenye wajibu wa kuzuia Ugaidi wafanye kazi mara mbili ya hapa, sio kuweka usalama kwa Viongozi wa siasa bali Jamii nzima kwa Ujumla.

Tujifunze kuenda sambamba nao, wakibadilisha mbinu, spidi, jumbe(ujumbe) na misamiati yao...yaani tuende nao bega kea bega, kwata kwa kwata, risasi kwa risasi ....kwani Hawa ni maadui wa Taifa natu wachukulie hivyo.

Aluta Continua
Tujifunze kuenda sambamba nao, wakibadilisha mbinu, spidi, jumbe(ujumbe) na misamiati yao...yaani tuende nao bega kea bega, kwata kwa kwata, risasi kwa risasi ....kwani Hawa ni maadui wa Taifa natu wachukulie hivyo.

Umeongea kizalendo sana COMRADE.
 
Back
Top Bottom