Panya road katika matukio yao ni lazima wajeruhi kila mtu?

We endelea kukaa uko ushuani mbezi masaki sijui kisarawe tykutane mtandaoni ya uswahilini huyajui ko sikushangai
 
Tujifunze kuenda sambamba nao, wakibadilisha mbinu, spidi, jumbe(ujumbe) na misamiati yao...yaani tuende nao bega kea bega, kwata kwa kwata, risasi kwa risasi ....kwani Hawa ni maadui wa Taifa natu wachukulie hivyo.

Umeongea kizalendo sana COMRADE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…