Tena huwa wanasifiwa kuwa ni Wajanja !!Mkuu samahani kwako wewe wezi wa mabilioni wapo sahihi na wala wizi wao hauna madhara ?
Nchi hii kweli nimeamini wananchi wake wamejaa roho mbaya saana ,unawezaje kuhalalisha wizi wa mabilioni ambayo ilikuwa inaweza kwenda kujenga vituo vya afya ama kununua madawa hospitalini.
Hujawahi kujiuliza vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa huduma kuwa mbali ama ukosefu wa dawa vipi vingapi ?
Billionaire gani mkuu, kwa pesa za wizi.?Bilionea hawezi kuuliwa kizembe
Watu weusi tuna ila kichwani mkuu!Mkuu samahani kwako wewe wezi wa mabilioni wapo sahihi na wala wizi wao hauna madhara ?
Nchi hii kweli nimeamini wananchi wake wamejaa roho mbaya saana ,unawezaje kuhalalisha wizi wa mabilioni ambayo ilikuwa inaweza kwenda kujenga vituo vya afya ama kununua madawa hospitalini.
Hujawahi kujiuliza vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa huduma kuwa mbali ama ukosefu wa dawa vipi vingapi ?
Ila ni upumbavu pia kumtetea MTU anayeiba hela huku watu wanahitaji madawa na huduma za afya bora,wanakufa Kwa kukosa Barabara nzuri za kuwafikisha vituo vya afya,wanapata shida Kwa kukosa maji Safi na salama ya uhakika,wafanyakazi kulipwa hela kidogo ila huku watu wengine wakiiba mabilioni ya hela.
Billionaire wengi bongo ni wakwepa kodi na mafisadi sasa unafikiri ni jambo jepesi kuwaua? Huyo anayetakiwa kuua akipewa million 100 hawezi kuthubutu kupiga hata risasiBillionaire gani mkuu, kwa pesa za wizi.?
Watu wana roho mbaya kisenge 😂😂😂
Hahahahahah dah kmmmk walai,Bokoboko mabapa mixer mabanzi ila pilau kwa kua lina viungo vingi unakatwakatwa .Jamaa yangu alikutana nao akachagua pilau aisee usiombe.Halafu hawa chupi sijui wanasema nini hawa.
🤣🤣🤣 kumbee ndo inamaanisha hivi. Bora umetuambia siku nikukutana nao bora nichague bokoboko.Bokoboko mabapa mixer mabanzi ila pilau kwa kua lina viungo vingi unakatwakatwa .Jamaa yangu alikutana nao akachagua pilau aisee usiombe.Halafu hawa chupi sijui wanasema nini hawa.
Kwamba unafikiri ni rahisi kuridhisha watu million 60?Hayo mabilioni wangetumia kuwapa watu Maisha mazuri usingewaona hayo wakata mapanga.
Sawa mkuu!Kwa kweli kwa matukio niliyoyashuhudia ya hawa vijana wanaoitwa panya road Sina huruma nao hata chembe na hata siwezi kumuombea adui yangu kukutana nao.....
Ukitazama kwa jicho la kibinadamu ni kama wanafanyiwa ukatili lakini ukishuhudia matukio yao na wahanga wa hayo matukio nafsi yako inabadilika hapo....
Kwa kifupi ikitokea umekutana nao ni tukio la kufa au kupona........
Haki na ustawi kwenye jamii ni pamoja kila mmoja kuheshimu haki na usalama wa wengine.....
Najaribu kulaani vitendo vya polisi lakini nikivaa viatu vya wahanga na majeraha wanaoyouguza naishiwa nguvu kabisa.....
Oya hicho kideo hakifunguki ntumie mkuu wasap
Sawa mkuu!
Je hawa wanaoiba pesa zetu za kodi ambazo zingesaidia kununua vifaa Tiba ili kuondoa vifo vya watoto, wajawazito na wagonjwa mbalimbali wanaokosa huduma mahospitalini, watu hawa sio wauwaji.?
Good!Hayo mabilioni wangetumia kuwapa watu Maisha mazuri usingewaona hayo wakata mapanga.
Wote wachapwe shaba tuu! Hakuna cha aliye nafuu hapoAcheni kutetea ujinga, hao wezi wa mabilioni wamemshikia nani panga, hao wezi wa mabilioni wamembaka nani?? Hujasiki mama na mtoto wakibakwa na hao panya road??.. pesa zinatafutwa lakini uhai wa mtu haupatikan popote ukishapotea, hao unaosema wezi wa mabilioni si unaona wanakufa na kuyaacha tunaanza kung'ang'aniana Tena. Panya road wafe TU hao wezi wa mabilioni tutajua namna ya kudili nao tu
Tena wangetundikwa mtaani kila mtu akipita achape apo bakora 3Mtu anakuchana chana na sijui nyembe, panga mara bisibisi ili akunyang'anye simu ya laki hana maana.
Kuna kundi linajinasibu sana kila siku sijui tozo zinaibiwa, sijui serikali ni wezi lkn siku ukiwadaka walete ushahidi utaskia nilisoma jf,Watanzania ni wajinga ,na ujinga huo wamejazwa na CCM yaani wezi wa tozoooo wanasifiwa wezi wa pikipiki wanapigwa risasi huku vijana Kwa wazee wakisifiana kuwa huyu aliyeiba fedha nyingi ni mtu mzuri ,watanzania acheni ubinafsi tubadilike tunagawanywa kama paka na CCM huku wao na watoto wao wakisoma shule za ulaya
Akiingia kwenye rada zako mpe Shaba tu, ila sijui kwenye hilo nani atapona Maana watanzania asilimia kubwa ni wezi, unaweza kumnyooshea huyo anayeona anaiba nyingi unajisahau wewe unayemuibia muhindi, fundi ujenzi anamuibia boss wake kwa kutaja bei kubwa ya vifaa tofauti na Bei halisi, muuza duka naye atamuibia boss wake na boss wake naye anamuibia boss wake, sisi tumeanza na wanaotumia mapanga na kutudharirishaWote wachapwe shaba tuu! Hakuna cha aliye nafuu hapo
Kwani hujui pia hao wezi wa mabilioni nao ni wauwaji?
Kosa halishindanishwi na kosa bali kwa kutatuliwa.......uharaka wa kushughulika kosa unatokana na madhara ya kosa kwa muda huo......wezi wa mabilioni ni watu wabaya sana na wa kuangamiza lakini madhara yake yanakwenda kwa process kuweza kuyaona......lakini unakutana nae hapo anakukata mkono na kuchukua kilicho chako......hawa wote ni waharifu lakini wanashughulikiwa kwa namna tofauti......Sawa mkuu!
Je hawa wanaoiba pesa zetu za kodi ambazo zingesaidia kununua vifaa Tiba ili kuondoa vifo vya watoto, wajawazito na wagonjwa mbalimbali wanaokosa huduma mahospitalini, watu hawa sio wauwaji.?