Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mkiona wanavyonyofolewa viungo hao vijana huko central mtaanza kusema kuwa police ni wakatili.Lile halikuwa karipio kali π
Mkuu.....Hapo si ni jirani kabisa na kambi ya jeshi ya lugalo? Haifiki hata 5km
We jamaa MAGUFULI SIJUI AMEKUPA KITU GANI?[emoji1787]raisi ahangaike na panya road kweli?OCD NA RPC WANAFANYA NINI?PUNGUZA MAHABA NIUE KWA JPM,AMESHATANGULIA MBELE ZA HAKI...Magufuli aliwakuta wanatamba akawafuta kabisa.
Enzi za JK awa watoto walikuwa wanafunga mtaa na ikasemekana walishindikana.
Pamoja na Rais wa nchi kusimama na kutoa kalipio kali kwa vijana wahalifu wa Panya Road.
Wameendeleza harakati zao za kujeruhi watu na kuiba mali.
Inabidi Rais sasa aonyeshe uongozi hii ni dalili mpaka watoto kama hawa ambao hata Makonda aliweza kuwafuta kwenye mitaa hawamuogopi na wanampuuza.
Kipindi hiki ndio uwa wananchi wanalia machozi kumisss uongozi strong wa Magufuli.
Soma: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani
Raisi aliongea kiwepesi sana na kwa sauti ya kike nzuri ila watakaoshughulika nao ni wengine si yeye.
Jamani, Tuwaonye hawa watoto, Pay back itakapoanza katoto kako kakawa mbele ya chatu mwenye njaa huku kapakawa unga na mafuta ya kuteleza hatakuwepo wa kumsaidia.
ATAOGOPA SANA LAKINI HATOPONA.
Wazazi na jamii mnaowafahamu hawa vijana nafasi ni hii ya kumsikiliza raisi na kuwaonya. Hii nchi ina raisi mwenye sauti nzuri ila ina watu katili wanaoilinda.
Dawa yao inachemka ,jamii imewapa muda wa kujitafakari ngoja dakika zao zinakaribia kuishaRaisi aliongea kiwepesi sana na kwa sauti ya kike nzuri ila watakaoshughulika nao ni wengine si yeye.
Jamani, Tuwaonye hawa watoto, Pay back itakapoanza katoto kako kakawa mbele ya chatu mwenye njaa huku kapakawa unga na mafuta ya kuteleza hatakuwepo wa kumsaidia.
ATAOGOPA SANA LAKINI HATOPONA.
Wazazi na jamii mnaowafahamu hawa vijana nafasi ni hii ya kumsikiliza raisi na kuwaonya. Hii nchi ina raisi mwenye sauti nzuri ila ina watu katili wanaoilinda.
Nakumbuka heka heka ya kipindi kile kusaka panya road walitembeza marungu ya ugoko wenyewe wakatuliaPolisi wanacheza na hawa watoto na kingine watoto wamejua aliyeko juu ni mtu mpole mwenye huruma.
Leo hii Sirro akitoa amri kwa watu wake Panga road ni makaratasi dakika moja wameisha tunazika.
Mama akicheka na kima atavuna mabua
Anapoongelewa marehemu lazma ucommentItafika mahali hata mambo binafsi atahusishwa marehemu
Ohooo,Naona unaongea nadhalia hujui kabisa panya road ni vijana wa aina gani.
Wanachagua wanyonge tu?Hao kuna maeneo wanaenda kuvamia
Wanajua huko wanyonge
Ova
Shauri yaoπDawa yao inachemka ,jamii imewapa muda wa kujitafakari ngoja dakika zao zinakaribia kuisha
Sehemu ambazo zina wahuni wao (walinda mtaa) huko wanakutana na resistance sio ya Dunia hii, maeneo kama manzese kwenye target yao hayapoWanachagua wanyonge tu?
Mtoto wako, mke wako, pesa zako zikiporwa utamaliza kwa kutoa kauli?Rais alitoa kauli maanake they are out of control. Maeneo yote ya Temeke, Chanika, Mbagala na ukanda wote huo watu wanaishi kama wapo vitani.
Magu alitoa kauli ya kiume sanaaaaSasa Magufuli anaingiaje hapa?
Wanachagua wanyonge tu?
HahahaSehemu ambazo zina wahuni wao (walinda mtaa) huko wanakutana na resistance sio ya Dunia hii, maeneo kama manzese kwenye target yao hayapo