ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
2025 mikopo, tozo, kodi, itatuua ni too late kwa wananchi wengi milioni 60 ya Watz kuongonzwa na mtu asiye na uwezo wowote wa kiungozi.Ndio shida ilipo hajui yupo pale kwa shughuli gani.
Alisha tuonyana lakini ni ‘kudra za mwenyezi mungu’.
Inabidi aelezwe kudra za mwenyezi mungu mwisho 2025.
Tatizo ni mfumo wa Jeshi la polisi jinsi linavyojiendesha wala sio issue ya Rais atamke! Police walitakiwa wawe active kuchukua hatua.Magu alitoa kauli ya kiume sanaaaa
Si kwel mzee hizi ni theories, yaan jeshi la police liwashindwe panya road? C kwel nadhan ni hatua madhubuti hazijachukuliwa tu, lkn huez sema eti flan alitokomeza wakat hua inakua ni operation ya jeshi!Magufuli aliwakuta wanatamba akawafuta kabisa.
Enzi za JK awa watoto walikuwa wanafunga mtaa na ikasemekana walishindikana.
Hata mimi niliwaza hivyoTatizo ni mfumo wa Jeshi la polisi jinsi linavyojiendesha wala sio issue ya Rais atamke! Police walitakiwa wawe active kuchukua hatua.
Mnahangaika Nini? It is simple. Mkiwaona tena piga simu polisi uwaambie CHADEMA wanaandamana na kusumbua raia !Pamoja na Rais wa nchi kusimama na kutoa kalipio kali kwa vijana wahalifu wa Panya Road.
Wameendeleza harakati zao za kujeruhi watu na kuiba mali.
Inabidi Rais sasa aonyeshe uongozi hii ni dalili mpaka watoto kama hawa ambao hata Makonda aliweza kuwafuta kwenye mitaa hawamuogopi na wanampuuza.
Kipindi hiki ndio uwa wananchi wanalia machozi kumisss uongozi strong wa Magufuli.
Soma: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani
Na sioni ubaya kama tukitumia mbinu zilizofanikisha kuwatuliza enzi za hayati, muhimu ni amani irudi mitaaniMagufuli aliwakuta wanatamba akawafuta kabisa.
Enzi za JK awa watoto walikuwa wanafunga mtaa na ikasemekana walishindikana.
Unataka panya road wapewe ajira? Au wewe ndo Mwenyekiti wao umekuja kupima upepo wa mitandaoni? Kawaambie kuwa serikali iko imara na hakika watapukutika sana!!Ndugu,
Panya road ni mwanadamu kama wengine, anaweza kupewa ajira itakazomwezesha kupata kipato kilicho halali na kwa usalama HATA wa kwake kibaka mwenyewe, akatulia.
Hata Magufuli angekuwa MKWELI, kwenye takwimu za fursa na ajira alizokuwa anadai kutoa/kutengeza, tatizo hilo lingeweza kuendelea kupungua.
Lile halikuwa kalipio Mkuu lilikuwa Ombi. Na Ombi linamawili kukubaliwa au kukataliwa. Waliombwa waache wanaweza kuumia( panya road)Pamoja na Rais wa nchi kusimama na kutoa kalipio kali kwa vijana wahalifu wa Panya Road.
Wameendeleza harakati zao za kujeruhi watu na kuiba mali.
Inabidi Rais sasa aonyeshe uongozi hii ni dalili mpaka watoto kama hawa ambao hata Makonda aliweza kuwafuta kwenye mitaa hawamuogopi na wanampuuza.
Kipindi hiki ndio uwa wananchi wanalia machozi kumisss uongozi strong wa Magufuli.
Soma: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani
Nadhani sirro nae kama kaamua kukaa kimya tu ili mama wa mipasho aamue atakachoamuaPolisi wanacheza na hawa watoto na kingine watoto wamejua aliyeko juu ni mtu mpole mwenye huruma.
Leo hii Sirro akitoa amri kwa watu wake Panga road ni makaratasi dakika moja wameisha tunazika.
Mama akicheka na kima atavuna mabua
Hizi ni akili ndogo mnoo zilizojaa mahaba na mtu flan! System za usalama ndizo hushughulika na masuala ya kiusalama! Eti wanafunga mtaa 🤣🤣🤣 kwahiyo Jeshi la polisi walizidiwa nguvu na panya road? Acheni mahaba kwa marehem, ni muda kudili na walio hai!!Magufuli aliwakuta wanatamba akawafuta kabisa.
Enzi za JK awa watoto walikuwa wanafunga mtaa na ikasemekana walishindikana.
Sirro aliwambia muache kuzaa watoto wa hovyo mkamtukana,amewaacha mle matunda ya mlichopanda hapoNadhani sirro nae kama kaamua kukaa kimya tu ili mama wa mipasho aamue atakachoamua
Sio waathirika wao wanalindwa,Mambo ya panya road ni mpaka raisi?.. OCD RPC wanafanya nini.
Mswahili bila fimbo haiendi,magu alichapa fimbo watendaji wake nao wakaenda.Hizi ni akili ndogo mnoo zilizojaa mahaba na mtu flan! System za usalama ndizo hushughulika na masuala ya kiusalama! Eti wanafunga mtaa 🤣🤣🤣 kwahiyo Jeshi la polisi walizidiwa nguvu na panya road? Acheni mahaba kwa marehem, ni muda kudili na walio hai!!
Ukweli unauma.Itafika mahali hata mambo binafsi atahusishwa marehemu
Alishakufa na kuzikwa mwaka mmoja uliopita.Magufuli hatakufa
Alishakufa na kuzikwa mwaka mmoja uliopita.