Panya Road waua mtu mmoja Kawe na kujeruhi wengine watatu
Hiyo Mikoa mingine ambayo huibuka Kila wanapojisikia tu ni ya Kagera kwa Wahaya, Singida kwa Wanyaturu na Wanyiramba, Kigoma kwa Waha, Dodoma hasa kwa Warangi Kondoa, Mwanza hasa kwa Wakara na Tabora kwa Wanyamwezi ambako ndiko Kumejaa Raia Waoga Waoga tupu Tanzania nzima.

Na muwaambie hao Panya Road wenu kuwa Siku wakikanyaga tu Mkoa wa Mara ( Musoma ) ndiyo utakuwa mwisho Wao na watajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na Nyoka hana Ugoko halafu hakuna Kibao cha Karibu Mkoani Mara.

Watani zangu tajwa hapa mpo?
 
Uangalie na resources zilizopo, unawez kuta mtaa mzima mweye smart phone ni mmoja, wakati dar kati ya watu kumi unaweza kuta nane wana smartphone,

Unadhani North Korea ingekua na resources isingevamiwa? Au unadhani wamagharibi wanamuogopa kiduku?
 
Hiyo Mikoa mingine ambayo huibuka Kila wanapojisikia tu ni ya Kagera kwa Wahaya, Singida kwa Wanyaturu na Wanyiramba, Kigoma kwa Waha, Dodoma hasa kwa Warangi Kondoa, Mwanza hasa kwa Wakara na Tabora kwa Wanyamwezi ambako ndiko Kumejaa Raia Waoga Waoga tupu Tanzania nzima.

Na muwaambie hao Panya Road wenu kuwa Siku wakikanyaga tu Mkoa wa Mara ( Musoma ) ndiyo utakuwa mwisho Wao na watajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na Nyoka hana Ugoko halafu hakuna Kibao cha Karibu Mkoani Mara.

Watani zangu tajwa hapa mpo?
Wale panya Road wa Kawe wanakaa kule bondeni, wengi wao ni Wakurya baba zao ni wanajeshi wastafu.
 
Uangalie na resources zilizopo, unawez kuta mtaa mzima mweye smart phone ni mmoja, wakati dar kati ya watu kumi unaweza kuta nane wana smartphone,

Unadhani North Korea ingekua na resources isingevamiwa? Au unadhani wamagharibi wanamuogopa kiduku?
Mkuu yaani Nimecheka mpaka basi hasa hapo uliposema kuwa Mkoa mzima wa Mara ( Musoma ) unaweza kukuta mwenye Smartphone Mtaa mzima ni Mru Mmoja tu.

Tuombe Radhi wana Mara tafadhali.
 
Hiyo Mikoa mingine ambayo huibuka Kila wanapojisikia tu ni ya Kagera kwa Wahaya, Singida kwa Wanyaturu na Wanyiramba, Kigoma kwa Waha, Dodoma hasa kwa Warangi Kondoa, Mwanza hasa kwa Wakara na Tabora kwa Wanyamwezi ambako ndiko Kumejaa Raia Waoga Waoga tupu Tanzania nzima.

Na muwaambie hao Panya Road wenu kuwa Siku wakikanyaga tu Mkoa wa Mara ( Musoma ) ndiyo utakuwa mwisho Wao na watajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na Nyoka hana Ugoko halafu hakuna Kibao cha Karibu Mkoani Mara.

Watani zangu tajwa hapa mpo?
Dar imajaa.wakurya kibao!...
 
Hakuna mtoto anaezaliwa akiwa panya road. Hili ni kundi la vijana ambao wamejitoa mhanga baada ya kushindwa kutofautisha faida kati ya kuishi na kufa. Ni kundi la vijana ambao hawana Cha kupoteza,
Mifumo yote ya kiuchumi imewafungia nje.

hakuna kijana anaependa kuzunguunga na mizigo kichwani na mikononi kwenda Huku na huko kuuzia watu bidhaa barabarani, kwenye mabaa, na kwenye magari kuuzia waheshimiwa wanaostarehe baa na kwenye ma V8 barabarani. Ni kazi ngumu sana sana sana kwa vijana.

sera zetu mbovu ndizo zinazozalisha panya road ambao tunaona dawa Yao ni kuwanyamazisha kwa risasi badala ya kuwapa chakula, mavazi, matibabu, malazi na elimu Bora na sahihi.

panya road wako kwenye kundi moja na wamachinga, madada poa, watumia dawa za kulevya, waokota chupa za plastics majalalani, wauza chuma chakavu na wanaobet kwenye mitandao. Wanabadilishana TU shughuli zao za kujioatia riziki.

badala ya kuwaua kwa risasi hebu Wana siasa kaeni kitako kwanza kutafakari kwa kina kuhusu chanzo na suluhisho la panya road ili mjue tatizo ni nini na wapi tumekosea badala ya kuhalalisha kuwamiminia risasi watoto wetu wenyewe kwa makosa yetu. Kuua mtanzania mmoja sio jambo la kujivunia.
 
Mara ya Kwanza Panya waliibuka sana wakati Watanzania wengi wakiwa wameguswa na wanaongelea mno Kuwekwa Segerea kwa Mwenyekiti Taifa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe.

Panya Road wakaja kuibuka tena pale Watanzania wengi walipoanza Kuguswa na Suala zima la kudai Katiba Mpya.

Panya Road wakaibuka tena pale lilipotokea Sakata la Wabunge Waasi 19 wa CHADEMA huku Fukuto la Watu Kuhoji uhalali wao likizidi na Watu wengi kuonekana kuwa wanapinga Wao kuwepo Bungeni kwakuwa wameshafukuzwa Uanachama ndani ya Chama chao.

Sasa Panya Road wameibuka tena wakati Watanzania ( GENTAMYCINE nikiwemo ) tukiwa na Hasira na Mitozo isiyo na idadi pamoja na mpangilio huku mfumuko wa Bei ukiongezeka na Maisha ya Watanzania ( Mtanzania ) yakiendelea tu kuwa magumu.

Endeleeni kudhani kuwa Watanzania wote ni Hamnazo mkisahau kuwa wapo wengine wamepewa Zawadi ya Akili Kubwa ( Fikra Tukuka ) na Mwenyezi Mungu na wanachokifanya ni Kuwachora tu huku wakiwadharau vile vile kwa kufanya Kwenu Mambo Kitoto, Kishamba na Kipuuzi vile vile.
Panya Road ni zao la CCM na wanatumika kutuhamisha kutoka kwenye wazo la msingi au wazo mama
 
Hili huwezi kuwasikia wakilisema, wanapambana na dalili za ugonjwa badala ya kupambana na chanzo cha ugonjwa.......badala ya kujenga uchumi imara na shirikishi ambao utagusa asilimia kubwa ya watu wa kawaida wapo bize kuhimizana kujipimia kwa urefu wa kamba, ubinafsi umewatawala ndo maana mtu bila aibu anaagiza gari ya milioni 500 ya kutumia ofisini huku wananchi anaowakamua tozo wakibahatisha kupata walau mlo mmoja kwa siku.​
 
Halafu viongozi hao hao wanasema kama hali ni mbaya tuhame nchi . Na hao hao wanasema bidhaa lazima zipande bei. Tena kwa sauti nyororo, isiyo na matumaini!
Hao hao wanasema bei zimepanda kwa ongezeko dogo.
Hakuna uwiano kati ya wasio nacho na wenye nacho.
Mtaani watu wanalia na hakuna anayejali.
Viongozi wako busy kufanya ziara za ndani na nje ya nchi za kuimarisha status zao!
Wanadhani hizi ni zama za ujima!
Watu wamechoka kuwa watumwa!

Tozo ni wizi
 
badala ya kuwaua kwa risasi hebu Wana siasa kaeni kitako kwanza kutafakari kwa kina kuhusu chanzo na suluhisho la panya road ili mjue tatizo ni nini na wapi tumekosea badala ya kuhalalisha kuwamiminia risasi watoto wetu wenyewe kwa makosa yetu. Kuua mtanzania mmoja sio jambo la kujivunia.
Watu wamesomea maswala ya Social stuffs na Anthropology mpaka Phd lakini hawewezi kutatua vitu kama hivi. Muda si mrefu watasema ni vijana wa Chadema😅😅
 
Hili huwezi kuwasikia wakilisema, wanapambana na dalili za ugonjwa badala ya kupambana na chanzo cha ugonjwa.......badala ya kujenga uchumi imara na shirikishi ambao utagusa asilimia kubwa ya watu wa kawaida wapo bize kuhimizana kujipimia kwa urefu wa kamba, ubinafsi umewatawala ndo maana mtu bila aibu anaagiza gari ya milioni 500 ya kutumia ofisini huku wananchi anaowakamua tozo wakibahatisha kupata walau mlo mmoja kwa siku.​
Issue yoyote ambayo haina athari kwa viongoz wenye madaraka huwa hawana habari nayo.

Linganisha wanavyoshughulikia Panya road na wanavyoshughulikia Watanzania waliokutana kuelimishana kuhusu Katiba Mpya.
 
Panya road ni mradi wa watu wazito, vinginevyo wametoa wapi magari ya kuwakimbiza baada ya tukio?
 
Back
Top Bottom