Raia wana wajibu wa kujilinda wakisaidiana na vyombo vya dola.Ila hii nchi watu hatupo serious. Kama jeshi la polisi limeshindwa wawape go ahead wanachi wajilinde wenyewe.
Huu upumbavu hauvumiliki. Raia na mali zao kutokuwa salama ni upuuzu wa hali ya juu. Toeni tu go ahead japo nayo ni mbaya maana wasio na hatia pia wanaweza kuwa targeted.
Pale unapoona kuna hatari iondoe kama una uwezo, halafu toa taarifa polisi kwa hatua zaidi.
Uzalendo ni pamoja na kujilinda wewe na pia raia wengine unapoweza.