Panya Road wavamia Bunju Magengeni, maduka yafungwa kwa kuhofia usalama

Boko na Bunju kumejaa viongozi na majeshi yote yana kambi huku. Kama doria za Polisi zinashindwa waombe msaada wa majeshi mengine kufanya operation mtaa kwa mtaa.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sawa lakini Polisi au Wanajeshi mpaka waje anzeni nyie mkinukishe haswa watakapokuja hao polisi au wanajeshi basi walao wakute mizoga walau 5-7 au zaidi. Wakiwauliza nyie semeni hivi: "Wameuawa na watu wenye hasira kali"
 
Yaan momepita hapo Bunju B Kama do 10 zilizopita, nimeona heka heka, defender na police wengi, aisee... Amani ni kitu muhimu Sana.
Hivi kumiliki Bastola masherti yake ni yapi?
Aaaah! Mjomba, Mpaka uje kuimiliki hiyo bastola kwa urasimu uliopo; hao panya watakuwa wesha sepa. Ww anza hata na panga, rungu, nondo, mshale, gobore n.k. twanga wapuuzi hao.
 
Mmmh yaani ulikimbia mpaka ukaacha na gari yako ukadandia daladala!!! Yaani nyinyi ndio mnaosababisha sisi ngosha wa Dar tuitwe wanaume wa Dar! Tena walikuwa hawajafika hata hapo Mianzini!!? Wewe ni mwanamke au!!???
 
Hivyo ni vitoto tu. NIni maana ya Dar kuwa kanda maalum? Kama hivyo vitoto vimejipambanua hivyo inamana wanaosimamia usalama wa raia na mali pamoja na silaha zao wameshindwa kazi
 
Pigaa risasiii wakafiee hukoo aiseee hakuna kesi ya Ujambazi ni kupoteza mudaa
 
Mmmh yaani ulikimbia mpaka ukaacha na gari yako ukadandia daladala!!! Yaani nyinyi ndio mnaosababisha sisi ngosha wa Dar tuitwe wanaume wa Dar! Tena walikuwa hawajafika hata hapo Mianzini!!? Wewe ni mwanamke au!!???
KhaKhaKhaa; Polepole jamani. Huyo alikuwa anainusuru nafsi yake kwanza. Gari si atanunua nyingine ila sio roho yake. Panya rodi wapo pia wanawake au ???.
 
Ila watu wa Dar bwana!! Kwahiyo hao vijana 8 tena wameshika bisibisi ndio wakuwajadili kweli?
 
Hivi hawa ni panya road au kuna kikundi cha uhalifu kikubwa kinapoozwa kwa kuitwa 'panya road'? Kwa ninavyojua mimi, sidhani kama kuna kijana wa kitanzania ambaye wataji organise wawe na mapanga bila nguvu ya kundi kubwa la kihalifu nyuma yao.
 
Mmmh yaani ulikimbia mpaka ukaacha na gari yako ukadandia daladala!!! Yaani nyinyi ndio mnaosababisha sisi ngosha wa Dar tuitwe wanaume wa Dar! Tena walikuwa hawajafika hata hapo Mianzini!!? Wewe ni mwanamke au!!???
Usiwe kiazi babu ndo maana nyie mnaitwa wa shamba,kitendo cha kutoka na gari me binafsi sikuona usalama zaidi kwa watumiaji wengine wa barabara,watu wanakimbia hovyo alafu niwashe gari unanitakia nini mimi na watu wengine huoni kama yangekuwa maafa,kuna watoto wadogo ambao nimesaidia mpaka wapande daladala kabla ya kupost fikiria,na hapo unaona kundi kama la watu mia linakimbia wewe usikimbie pia kimbia lakini usilete madhara kwa watu wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…